Utaiweza mahali yk lakini?
Utaiweza mahali yk lakini?
Nimesha ona swaiba nami nimeshamjibu hapo page ya pili lol!!!Cantaaaa..!! kijana kaweka mambo hadharan
Kisaka = Cantalisia,, promo @ work.
Tumuulize Mamuu...?Hee heee!swaiba mie nasubiri akiri kwa kinywa chache ndio nitasema chochote japo naona wananchi mko upande wake!
Etieeeee
Nikuonapo nakuwa bubu ghafla
Utaiweza mahali yk lakini?
Ukisikia fitina ndo hizo sasa!!!!
Mzee wa Totoz NasDaznundaz.. Kama Dogo kasepa najua ndio ushaanza kujipigia promo kucover nafasi hiyo
Duh, alivyoona ngoma ina full ma-confidence dogo kaona isiwe taabu; keshaingia mitini!!! Nawe lazima ujue unaongea na nani, ulitakiwa uende slow slow ili umjenge kisaikolojia...c unaona kijana keshasepa?!
Swaiba wengine mpaka tuambiwe live hatujazoea mafumbo lol!