Godwin peter
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 360
- 605
Habarini za humu wanajf, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27.
Nilikuwa na kazi katika taasisi moja hivi ya private sector amabapo nilikuwa napewa mshahara wa sh 1,000,000 kwa mwezi, katika harakati zangu za hapa na pale nikawa naomba kazi kwenye taasisi nyingine bahati nzuri nikapata, ambapo mshahara sasa ni mara mbili ya wa awali pamoja na marupurupu, ila naogopa na nina wasiwasi nitazingua kwasababu kazi hii mpya inahitaji umakini sana na kuwa sharp ambapo mimi huwa naona na mapungufu.
Msaada wadau on how to go about it, hela ninaitaka ila naogopa maana hapa probation yenyewe miez 9
Nilikuwa na kazi katika taasisi moja hivi ya private sector amabapo nilikuwa napewa mshahara wa sh 1,000,000 kwa mwezi, katika harakati zangu za hapa na pale nikawa naomba kazi kwenye taasisi nyingine bahati nzuri nikapata, ambapo mshahara sasa ni mara mbili ya wa awali pamoja na marupurupu, ila naogopa na nina wasiwasi nitazingua kwasababu kazi hii mpya inahitaji umakini sana na kuwa sharp ambapo mimi huwa naona na mapungufu.
Msaada wadau on how to go about it, hela ninaitaka ila naogopa maana hapa probation yenyewe miez 9