Msaada: Naogopa kazi mpya

Godwin peter

JF-Expert Member
May 12, 2019
360
605
Habarini za humu wanajf, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27.

Nilikuwa na kazi katika taasisi moja hivi ya private sector amabapo nilikuwa napewa mshahara wa sh 1,000,000 kwa mwezi, katika harakati zangu za hapa na pale nikawa naomba kazi kwenye taasisi nyingine bahati nzuri nikapata, ambapo mshahara sasa ni mara mbili ya wa awali pamoja na marupurupu, ila naogopa na nina wasiwasi nitazingua kwasababu kazi hii mpya inahitaji umakini sana na kuwa sharp ambapo mimi huwa naona na mapungufu.

Msaada wadau on how to go about it, hela ninaitaka ila naogopa maana hapa probation yenyewe miez 9
 
Kaa ulipo tu , kama ulipo ushajikita, pambana hapo .
Kuna dogo nilimtafutia kazi kwa showroom ya magari msahara +bonus alikuwa 1.2M hakosi kwa mwezi . Mazda na Honda wakaja wakitafuta wauzaji waliokomaa so wakamshawishi na 1.8M mshahara. Jamaa akajump ship kuendea hela , mwaka haukuisha akafutwa kazi na kubaki bila kitu . Pale alipokuwa zamani bado panaendelea mpaka leo . Be keen usipoteze vyote

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kaa ulipo tu , kama ulipo ushajikita, pambana hapo .
Kuna dogo nilimtafutia kazi kwa showroom ya magari msahara +bonus alikuwa 1.2M hakosi kwa mwezi . Mazda na Honda wakaja wakitafuta wauzaji waliokomaa so wakamshawishi na 1.8M mshahara. Jamaa akajump ship kuendea hela , mwaka haukuisha akafutwa kazi na kubaki bila kitu . Pale alipokuwa zamani bado panaendelea mpaka leo . Be keen usipoteze vyote

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

So kama fursa imetokea tuiache?
 
Kaa ulipo tu , kama ulipo ushajikita, pambana hapo .
Kuna dogo nilimtafutia kazi kwa showroom ya magari msahara +bonus alikuwa 1.2M hakosi kwa mwezi . Mazda na Honda wakaja wakitafuta wauzaji waliokomaa so wakamshawishi na 1.8M mshahara. Jamaa akajump ship kuendea hela , mwaka haukuisha akafutwa kazi na kubaki bila kitu . Pale alipokuwa zamani bado panaendelea mpaka leo . Be keen usipoteze vyote

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mkuu habari, naomba connection ya kazi za showroom.
Natanguliza shukrani
 
Kijana
Jitose kwenye kazi

Fanya kama kutongoza tu😁😁

Hujui kitakachotokea ila unatongoza

Unaweza pigwa kibao ila we unatongoza

Unaweza ukatukanwa tusi zito ila we unatongoza

Unaweza hata ukachaniwa shati ila wewe UNATONGOZA

Ila pia unaweza ukashangaa slope hii hapa mtoto akakubali hadi ukawa unajiuliza ulikua wapi siku zote hizo😂😂😂

Natumai utaenda kwenye hio kazi mpya
Hela hazionewi aibu mkuu
 
Kijana
Jitose kwenye kazi

Fanya kama kutongoza tu

Hujui kitakachotokea ila unatongoza

Unaweza pigwa kibao ila we unatongoza

Unaweza ukatukanwa tusi zito ila we unatongoza

Unaweza hata ukachaniwa shati ila wewe UNATONGOZA

Ila pia unaweza ukashangaa slope hii hapa mtoto akakubali hadi ukawa unajiuliza ulikua wapi siku zote hizo

Natumai utaenda kwenye hio kazi mpya
Hela hazionewi aibu mkuu

And how about mapungufu yangu
 
Kwenye kazi huwa hatuangalii mshahara tu ,bali tunaangalia mazingira ya kazi. Jinsi wanavyojali wafanyakazi pamoja na kubalance familia na kazi etc. Pia tunaangalia uwezekano wa kukua katika kazi, usiende tu kichwakichwa.

Nishaingia ila naogopa ogopa
 
Kaa ulipo tu , kama ulipo ushajikita, pambana hapo .
Kuna dogo nilimtafutia kazi kwa showroom ya magari msahara +bonus alikuwa 1.2M hakosi kwa mwezi . Mazda na Honda wakaja wakitafuta wauzaji waliokomaa so wakamshawishi na 1.8M mshahara. Jamaa akajump ship kuendea hela , mwaka haukuisha akafutwa kazi na kubaki bila kitu . Pale alipokuwa zamani bado panaendelea mpaka leo . Be keen usipoteze vyote

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Habari mkuu. Ukiwa na nafasi ya kazi naomba uniconnect. Nina shahada ya benki na fedha. Nina uzoefu katika mauzo pamoja na usimamizi wa stocks. (Building materials )
 
Kwenye kazi huwa hatuangalii mshahara tu ,bali tunaangalia mazingira ya kazi. Jinsi wanavyojali wafanyakazi pamoja na kubalance familia na kazi etc. Pia tunaangalia uwezekano wa kukua katika kazi, usiende tu kichwakichwa.
Naunga mkono hoja!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom