Namtafuta baba watoto wangu. Donge nono & SEXY digits Litatolewa!!!

wajukuu wote wanakupenda na wanapenda kukaguliwa na wewe. nipe siri ya mafanikio babu Asprin. :bounce:
Hahahaha........ inbox yangu iko wazi kwa ajili yako. Naweza kukufafanulia zaidi kwenye PM...... Come this way Erotica

Hivi kwanini wewe hunipendi kama wajukuu wengine? Au ndo ushakuwa mkubwa?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha........ inbox yangu iko wazi kwa ajili yako. Naweza kukufafanulia zaidi kwenye PM...... Come this way Erotica

Hivi kwanini wewe hunipendi kama wajukuu wengine? Au ndo ushakuwa mkubwa?


Kaaaaah! kumbe ndio maana toka unikague mara ya kwanza hunikagui?

babu mbona mimi I love you. babu mbona mimi thinkin about u and misin ur expert ukaguzi? mwaaaaaah.
 
Bahati nzuri mwenye summary ya hii topic ni Erotica mwenyewe....that list has got about 10 or so names.....hapo chacha. Ila mimi , mmmmmhhhh!


Kirusha roho Fidel80 niachie mimi. hanielewag eti sbb tulionana club ila nyt haikuitika.
 
Last edited by a moderator:
Kaaaaah! kumbe ndio maana toka unikague mara ya kwanza hunikagui?

babu mbona mimi I love you. babu mbona mimi thinkin about u and misin ur expert ukaguzi? mwaaaaaah.
Tatizo unasema kwa sauti, watasikia wengine ujue? Haya baada ya kusoma hii posti nenda ukaidiliti kabla hawajatuloga.
 
Nimeenda park leo baada ya kutoroka kazini na kukuta vi baby vizuri kweli. Nikavitamani na nikaona why not na mimi nizae na niitwe mama. Uwezo wa kulea ninao na niya pia ninayo.

Nataka viwe vi mapacha. Baada ya kwenda home na kumuangalia boyfie nimeona ana mapungufu, anafaa
kuwa baba, ila sio kuni mimba.

Kuna utafiti uliopostiwa na Dr. MziziMkavu ulionesha sifa za mtoto hutegemea sifa wazazi pia.
Tumekubaliana na boyfie nitafute huyo mwanaume na nijipatishe mimba. Baada ya hapo mimi na yeye tutaendelea na mahusiano, vikinoga vya baba na mama kama vilivo noga vya u boyfie na u galfrend tutafunga ndoa.

Natafuta mwanaume mwenye sifa zote ambao ziwe kwa watotot wangu hao. Huyo mwanaume awe na sifa zifuatazo…

Awe mzuri kama kirusha roho changu Ndahani, Charming na lovable kama klorokwini, wawe wanapendwa na opposite sex kama babu Asprin, awe na bahati na pesa kama Bishanga, awe na akili kama Mzee Mwanakijiji, Msiri kama The Boss, ana mvuto kwa jinsia zote kama Kaunga, Mkali kama Invisible, Caring kama Rejao, Mjanja kama Boflo, magnetically Irresistible kama Nyani Ngabu, sauti nzuri na sexy kama fazaa, wa ukweli kama EMT, hasomeki hadi aamue kama Kongosho, creative kama TANMO, macho mazuri kama Erickb52, mpole kama BAK na mwenye busara kama babu Dark City. Awe na bahati kama Mwali.

Kama una hizo sifa niambie.. nitaku pm mwenyewe baada ya kuona kweli nimepata baba watoto wangu.


Mwaaaaaaah. :baby:

ushanipata..sifa zote ninazo! Kazi ni Kwakoooo
 
Tatizo unasema kwa sauti, watasikia wengine ujue? Haya baada ya kusoma hii posti nenda ukaidiliti kabla hawajatuloga.


Kumbe hunipendi? mbona wengine hujawahi wambia wafute?

Kwani babu kukagua wajukuu dhambi? :disapointed::disapointed::disapointed:
 
Kumbe hunipendi? mbona wengine hujawahi wambia wafute?

Kwani babu kukagua wajukuu dhambi? :disapointed::disapointed::disapointed:
Hahahaha....... wale siwakagui kama navyokukagua wewe.... nakufanyia upendeleo ujue...

Afu kukagua wajukuu si dhambi kwakuwa Sex relieves tension - Love causes it
A,P20S-heart-2.gif.pagespeed.ce.REfxtyui7R.gif
No multipications kwenye ukaguzi.
Haya nigongee LIKE nipandishe mzuka.
 
Nimeenda park leo baada ya kutoroka kazini na kukuta vi baby vizuri kweli. Nikavitamani na nikaona why not na mimi nizae na niitwe mama. Uwezo wa kulea ninao na niya pia ninayo.

Nataka viwe vi mapacha. Baada ya kwenda home na kumuangalia boyfie nimeona ana mapungufu, anafaa
kuwa baba, ila sio kuni mimba.

Kuna utafiti uliopostiwa na Dr. MziziMkavu ulionesha sifa za mtoto hutegemea sifa wazazi pia.
Tumekubaliana na boyfie nitafute huyo mwanaume na nijipatishe mimba. Baada ya hapo mimi na yeye tutaendelea na mahusiano, vikinoga vya baba na mama kama vilivo noga vya u boyfie na u galfrend tutafunga ndoa.

Natafuta mwanaume mwenye sifa zote ambao ziwe kwa watotot wangu hao. Huyo mwanaume awe na sifa zifuatazo…

Awe mzuri kama kirusha roho changu Ndahani, Charming na lovable kama klorokwini, wawe wanapendwa na opposite sex kama babu Asprin, awe na bahati na pesa kama Bishanga, awe na akili kama Mzee Mwanakijiji, Msiri kama The Boss, ana mvuto kwa jinsia zote kama Kaunga, Mkali kama Invisible, Caring kama Rejao, Mjanja kama Boflo, magnetically Irresistible kama Nyani Ngabu, sauti nzuri na sexy kama fazaa, wa ukweli kama EMT, hasomeki hadi aamue kama Kongosho, creative kama TANMO, macho mazuri kama Erickb52, mpole kama BAK na mwenye busara kama babu Dark City. Awe na bahati kama Mwali.

Kama una hizo sifa niambie.. nitaku pm mwenyewe baada ya kuona kweli nimepata baba watoto wangu.


Mwaaaaaaah. :baby:


Nadhani mmoja kati ya hao ulowataja anaweza kukufaa
 
Nimeenda park leo baada ya kutoroka kazini na kukuta vi baby vizuri kweli. Nikavitamani na nikaona why not na mimi nizae na niitwe mama. Uwezo wa kulea ninao na niya pia ninayo.

Nataka viwe vi mapacha. Baada ya kwenda home na kumuangalia boyfie nimeona ana mapungufu, anafaa
kuwa baba, ila sio kuni mimba.

Kuna utafiti uliopostiwa na Dr. MziziMkavu ulionesha sifa za mtoto hutegemea sifa wazazi pia.
Tumekubaliana na boyfie nitafute huyo mwanaume na nijipatishe mimba. Baada ya hapo mimi na yeye tutaendelea na mahusiano, vikinoga vya baba na mama kama vilivo noga vya u boyfie na u galfrend tutafunga ndoa.

Natafuta mwanaume mwenye sifa zote ambao ziwe kwa watotot wangu hao. Huyo mwanaume awe na sifa zifuatazo…

Awe mzuri kama kirusha roho changu Ndahani, Charming na lovable kama klorokwini, wawe wanapendwa na opposite sex kama babu Asprin, awe na bahati na pesa kama Bishanga, awe na akili kama Mzee Mwanakijiji, Msiri kama The Boss, ana mvuto kwa jinsia zote kama Kaunga, Mkali kama Invisible, Caring kama Rejao, Mjanja kama Boflo, magnetically Irresistible kama Nyani Ngabu, sauti nzuri na sexy kama fazaa, wa ukweli kama EMT, hasomeki hadi aamue kama Kongosho, creative kama TANMO, macho mazuri kama Erickb52, mpole kama BAK na mwenye busara kama babu Dark City. Awe na bahati kama Mwali.

Kama una hizo sifa niambie.. nitaku pm mwenyewe baada ya kuona kweli nimepata baba watoto wangu.


Mwaaaaaaah. :baby:

Hapa dawa ni kuzipata mbegu za watajwa na kuzichanganya for artificial insemination...:yawn:
 
BAK Boyfie nilimchagua kwa vigezo viwili. kwanza he can do it na pili muelewa.

there is mo to life than sex, nje ya sex yeye ni useless kabisa. sitaki wanangu wawe usless waweze tu sex.


....Nimekupata Erotica :):)



 
Last edited by a moderator:
Mwanzo kbs wkt nasomd thread niliogopa sn, kwa kujua mume wa mtoa mada atakua Bushoke flani hv. Asante Erotica, kwa ubunifu wako, nimecheka sana.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha....... wale siwakagui kama navyokukagua wewe.... nakufanyia upendeleo ujue...

Afu kukagua wajukuu si dhambi kwakuwa Sex relieves tension - Love causes it
A,P20S-heart-2.gif.pagespeed.ce.REfxtyui7R.gif
No multipications kwenye ukaguzi.
Haya nigongee LIKE nipandishe mzuka.


teh teh teh basi nafuta posti yangu na hii ya kwako.

Nimekugongea like, nyingine nimetuma kwa pm kibao! mwaaaaaaah babu Asprin.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom