Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Aliona nje hamna kitu akaamua kuchungulia ndani.
Mwenzangu...labda ana macho yenye darubini zenye kupita mpaka ukutani.
Aliona nje hamna kitu akaamua kuchungulia ndani.
Aliona nje hamna kitu akaamua kuchungulia ndani.
Ushwahi kusikia mtu anauziwa mbuzi kwa kusikiliza mlio? Yaani sura yangu hata hujawahi iona unasema unaniota....unaniotaje sasa? Yule aliyekuwa anakunyemelea labda ulishakutana naye sehemu ukamfurahia...tatizo hukumtaarifu BF wako..akawa anakuja bila kumtaarifu
Hio ni product ya one nyt stand. huna haja ya kujua mengine zaidi ya he can do it. tukanogewa.
Mwenzangu...labda ana macho yenye darubini zenye kupita mpaka ukutani.
Lizzy una akili wewe! teh teh teh. wea is Nyani Ngabu? namdai pesa.
Napita mama,
Sio kwamba nakata atamaa ila kama Torres, imnabidi nije makukumu yangu...I mean kukaa bench kwen 'fainali' kubwa kama hii sio mpango kabisa:shock::tongue:
Eroticaaaa Erocious!!!! all the best mamiiii hope ushapata by now!!