Namna ya Kumbadilisha Mpenzi wako

BPM Hapo sijakuelewa hali zao za chini kwa maana gani kuwa huko kwa wazazi alikotokea au huyo mume aliyemuoa?kama unamaanisha alikotokea vip kuhusu (wanandoa) wale walioanza na kitanda kimoja na chumba kimoja cha kupanga baada ya muda wakabarikiwa kujenga ghorofa then mwanaume akaanza makeke? Na hapa tusemeje?

hali ya kipato pasipo kuwa hata na mafanikio ya ghorofa ...
 
semina zipo sema watu hawapendi kujifunza. Mtu gari ikiisha tairi yupotayari kununua ingine ila kulipia semina ya ndoa hawawezi kazi kunywa pombe tu siku kuna matatizo ndani eti ndo soln damn....?

Bebii taratibu aise usije ukaipiga hiyo key board yako
Wengi hawataki kukubali ukweli kuwa ndoa zao zina matatizo so wanahiari kufa na tai shingoni

Wako tayari kuvaa usio wa fisi wa kucheka wakati anapoona mzoga wakati kile anachokiona kimeoz a
hawataki kukuibali mabadiliko wala ushauri wa nini kifanyike katika kuweka uhai ndoa zao
 
ni heri hata wangefanya ndoa ni utu wengine wanachukulia kama ni stage fulani mtu anapita katika maisha kama vile ubatizo au kipaimara etc

Yaani mkuu wanatimiza ile kitu kuwa lazima mtu azaliwe then aoe na afikie tamati ya maisha yake
So ndoa ni wajibu au ni lazima maishani
ila ukimuuliza maana ya ndoa ni nini au ni nini dhima ya kuwa na ndoa hajui
Ni ajabu sana
 
BPM Hapo sijakuelewa hali zao za chini kwa maana gani kuwa huko kwa wazazi alikotokea au huyo mume aliyemuoa?kama unamaanisha alikotokea vip kuhusu (wanandoa) wale walioanza na kitanda kimoja na chumba kimoja cha kupanga baada ya muda wakabarikiwa kujenga ghorofa then mwanaume akaanza makeke? Na hapa tusemeje?

Kuna watu wanapata kipato na wanakuwa stable yaani huwezi ukaona mabadiliko yao
Kama ni ndoa yake bado anaiheshimu
Ila kuna watu ndo wanaanza sas akufungulia kile walichokikosa muda mrefu
Na kama ni ndoa anaiona haina maana tena hata mwenza wake waliyeteseka nae anaonekana hana maana
Na yote hii tunarudi pale pale ukosefu wa majadiliano ndani ya nyumba
Kuwa kipato kisiwe kitu cha kumbadilisha mtu ila kiwe kichechea cha kujenga familia bora
 
ni heri hata wangefanya ndoa ni utu wengine wanachukulia kama ni stage fulani mtu anapita katika maisha kama vile ubatizo au kipaimara etc
kweli rocky yaani watu wanaona kufanya harusi ni issue sana mimi huwa nasema suppose uko kituo cha daladala ubungo wewe ni abiria unaenda zako kigamboni likija basi la kibaha utapanda tu kisa upo kituoni ? Kila mtu asubiri gari yake ndo safari itakuwa nzuri na utakaa kwa amani maana unapoenda ndo nyumbani kwako loh
 
kweli rocky yaani watu wanaona kufanya harusi ni issue sana mimi huwa nasema suppose uko kituo cha daladala ubungo wewe ni abiria unaenda zako kigamboni likija basi la kibaha utapanda tu kisa upo kituoni ? Kila mtu asubiri gari yake ndo safari itakuwa nzuri na utakaa kwa amani maana unapoenda ndo nyumbani kwako loh

Bebii na wengi ni hawa
Wale ambao wanaoa au kuolewa kwa kuw afulani ameolewa au ameoa
Yaani hawana mpango kabisa wa ndoa ni nini
Hata ukuwauliza ni sababu gani iliyowafanya waingie kwenye marriage institution hawana
Au umri umewaforce kuoa maana wamepitiliza na wamekuwa wapweke
Sasa hawa ndio matatizo kila siku hayaishi ndani ya ndoa zao
 
Kuna watu wanapata kipato na wanakuwa stable yaani huwezi ukaona mabadiliko yao
Kama ni ndoa yake bado anaiheshimu
Ila kuna watu ndo wanaanza sas akufungulia kile walichokikosa muda mrefu
Na kama ni ndoa anaiona haina maana tena hata mwenza wake waliyeteseka nae anaonekana hana maana
Na yote hii tunarudi pale pale ukosefu wa majadiliano ndani ya nyumba
Kuwa kipato kisiwe kitu cha kumbadilisha mtu ila kiwe kichechea cha kujenga familia bora
Mr Rocky,nafikiri mwanaume / mwanamke wa hivi ndio wale wanaitwa malimbukeni ingawa haipendezi kufikia hapo ndio maana ni bora kila mmoja afanye wajibu wake pale tu anapoingia kwenye ndoa .(Sumtimes nimeskia wadada wanasema huu ni utumwa ila ukweli unabaki palepale kama inampendeza Mungu no way out)…..Enyi waume wapendeni wake zenu…..Enyi wake watiini waume zenu….mi naamini tutafundishana tuuuu mpaka mwisho
 
Mr Rocky,nafikiri mwanaume / mwanamke wa hivi ndio wale wanaitwa malimbukeni ingawa haipendezi kufikia hapo ndio maana ni bora kila mmoja afanye wajibu wake pale tu anapoingia kwenye ndoa .(Sumtimes nimeskia wadada wanasema huu ni utumwa ila ukweli unabaki palepale kama inampendeza Mungu no way out)…..Enyi waume wapendeni wake zenu…..Enyi wake watiini waume zenu….mi naamini tutafundishana tuuuu mpaka mwisho

Hapo hapo sasa
Yaani ukiona ndoa imefikia hapo ujue ni balaa
Ila najiuliza hivi umefikia kulalamika kuwa huu ni utumwa kwa kushinda kujua umekosea wapi
Yaani haiwezekani ndoa ikaanza kuwa kituko mara moja au mume au mke hawezi kuanza kubadilika siku moja yaani ni process ya muda mrefu
Je wewe unayelalamika umechangia nini katika kuifanya ndoa isifikie kuwa utumwa
Au umechangia wapi kuifanya ndoa iwe utumwa
 
hapo hapo sasa
yaani ukiona ndoa imefikia hapo ujue ni balaa
ila najiuliza hivi umefikia kulalamika kuwa huu ni utumwa kwa kushinda kujua umekosea wapi
yaani haiwezekani ndoa ikaanza kuwa kituko mara moja au mume au mke hawezi kuanza kubadilika siku moja yaani ni process ya muda mrefu
je wewe unayelalamika umechangia nini katika kuifanya ndoa isifikie kuwa utumwa
au umechangia wapi kuifanya ndoa iwe utumwa
ndoa zina mambo sana rocky,ila mungu tu ndo anasaidia
 
aise na huku nje kutamu kweli humu

Aise bado sitamani kurudi huko na better nikasuluhisha mambo yangu na nikaribishe majadiliano kabla sijaruhusu kutoka
Nikitoka ujue nimeshindwa kabisa
 
Kuna kitu katika dhana nzima ya mapenzi kimepungua
...........tatizo unajua tukishazoeana sana tunajisahau tunaona vitu vingine kama priviledge kwa yule anayepokea na ndo maana wengi wakiwa kwenye ndoa hata dhana nzima ya kukutana inakuwa kama anasa badala ya kitu cha lazima

naomba nikubaliane na hii kauli yako 100%.
 
Ninachofahamu hakuna anaeweza kumbadilisha mtu,mtu hubadilika mwenyewe,kwanza kwanini abadilike?Unapotaka hayo unaenda nje ya maana halisi ya upendo!

mbona km umekubali mabadiliko thn una uliza tena!

Maana ya upendo ni nn?

pindi mnapokuwa p1 tabia huwa zinatofautia ili kuweka usawa kwa pande zote haina budi kuchange 2 sm level na sio kuwarigid, mabadiliko ni muhimu.
 
ndoa zina mambo sana rocky,ila mungu tu ndo anasaidia

hayo mambo mengine ni ya kujitakia ambayo yanatokana na ulimbukeni katika maisha na mwisho wake ni majuto lkn kwa kipindi husika haoni kama kuna ulazima
 
Mr. Rocky umegusa kwenye swala ambalo lilinisumbua mwanzo wa mahusiano yangu, nilikuwa namtreat hash my G bt wkt wamaongezi nilijikuta nakuwa naongea myself yy kimya anakuwa ansikiliza 2.
Ss cku nikaja na gear mpya ya polite language aiseee nilienjoy maongezi kwan mama alifunguka mbaya!
Thn akaniambia nikuendelea na hash treatment asingebadilika kwa tabia ambazo nilikuwa czitaki.
Member mama amechange kiasi kwamba nimeshangaa sana.
 
Back
Top Bottom