Namna ya Kumbadilisha Mpenzi wako

kweli, hivi hadi mnakuwa wapenzi si ina maana ulishaona anafaa.
Nilishawahi kuliongea hili la kubadilishana na watu wakabisha.
Nafikiri kama mpenzi wako ameanza kubehave tofauti na awali ndio unaweza mbadilisha arudi katika hali yake ya awali. Mengine yote yabaki kama ulivyoyakuta.

kama imejitokeza ndani ya uhusiano i agree with u anaweza kubadilika. Bt kama unamkuta mtu tayar ana tabia zake dah hapo inakua ngumu bt kiasi flani inawezekana kumtuliza.
 
QUOTE=luckyperc;2551726]Mr. Rocky umegusa kwenye swala ambalo lilinisumbua mwanzo wa mahusiano yangu, nilikuwa namtreat hash my G bt wkt wamaongezi nilijikuta nakuwa naongea myself yy kimya anakuwa ansikiliza 2.
Ss cku nikaja na gear mpya ya polite language aiseee nilienjoy maongezi kwan mama alifunguka mbaya!
Thn akaniambia nikuendelea na hash treatment asingebadilika kwa tabia ambazo nilikuwa czitaki.
Member mama amechange kiasi kwamba nimeshangaa sana.[/QUOTE]
Mkuu asante sana kwa kufunguka na kuitetea dhana nzima ya mabadiliko kufuatia maongezi m
 
kama imejitokeza ndani ya uhusiano i agree with u anaweza kubadilika. Bt kama unamkuta mtu tayar ana tabia zake dah hapo inakua ngumu bt kiasi flani inawezekana kumtuliza.

kuna mengine unaweza kumkuta nayo lakini akabadilika kulingana na wewe utakavyokuwa na muda wa kutumia kuwa nae ... mkiwa wawili mnaweza kuigana tabia kulingana na ukaribu mlio nao tu
 
kuna mengine unaweza kumkuta nayo lakini akabadilika kulingana na wewe utakavyokuwa na muda wa kutumia kuwa nae ... mkiwa wawili mnaweza kuigana tabia kulingana na ukaribu mlio nao tu

Hapo umeongea mkuu. Mnaweza jikuta mshaigana tabia na mnafanana kwa baadhi ya mambo. Na hapo ni baada ya kukaa na kusomana wote wawili kila mmoja tabia zake
 
Hapo umeongea mkuu. Mnaweza jikuta mshaigana tabia na mnafanana kwa baadhi ya mambo. Na hapo ni baada ya kukaa na kusomana wote wawili kila mmoja tabia zake

hii inakuwepo iwapo mmoja wao atakuwa mwepesi kufuata ya mwenzake ila kuna wabishi hawakubali kubadilika
 
hii inakuwepo iwapo mmoja wao atakuwa mwepesi kufuata ya mwenzake ila kuna wabishi hawakubali kubadilika

Mkuu zingatia tuu lile la mawasiliano ya karibu ambayo yatakuwepo kati ya pandce zote mbili
 
Mkuu zingatia tuu lile la mawasiliano ya karibu ambayo yatakuwepo kati ya pandce zote mbili

mkuu hilo ni sawa kabisa na mawasiliano hayatafutwi nje .... maana hata wakija watu wa nje kuwakalisha mnaweza kujikuta mnaongea wakiondoka mnarudi kwenye utamaduni wa awali maana hamna misingi mizuri ya mawasiliano
 
hebu nipe tip hapa kama mpenzi wako ni msaliti utamchange vp?
kwanza hongera kwa vatar bebii, naona umevuka boda. back to your query, ni rahisi sana my dear. kwanza kabisa avoid being over reactive. take your time, find out the reason why he/she behaves so, then perfect the areas you think the weakness could have emanated from. show total commitment of building up the relationship by offering suggestions ( not commanding) on what you think appropriate. learn to listen first and dont be quick to critisize but always suggest. above all never ever compare or rate your partner with others in public but praise him/her during your pillow talk and suggest politely areas of improvement to build up strong and exemplary relationship. Lastly before changing your partner change yourself first.
 
Back
Top Bottom