Namna ya Kumbadilisha Mpenzi wako

Ninachofahamu hakuna anaeweza kumbadilisha mtu,mtu hubadilika mwenyewe,kwanza kwanini abadilike?Unapotaka hayo unaenda nje ya maana halisi ya upendo!

kweli, hivi hadi mnakuwa wapenzi si ina maana ulishaona anafaa.
Nilishawahi kuliongea hili la kubadilishana na watu wakabisha.
Nafikiri kama mpenzi wako ameanza kubehave tofauti na awali ndio unaweza mbadilisha arudi katika hali yake ya awali. Mengine yote yabaki kama ulivyoyakuta.
 
hivi mkuu Mr Rocky kwa mfano mtu anataka kukubadilisha tabia ulioizoea kwa mfano kuduuu kila baada ya mwezi halafu anakuambia hakuna kuduu mpaka hapo atakapo amua yeye bila ya sababu yoyote utaelewa kweli au utafanya nini kuelewa hiyo hali? toa ushauri kwa hilo mkuu pamoja..
 
kweli, hivi hadi mnakuwa wapenzi si ina maana ulishaona anafaa.
Nilishawahi kuliongea hili la kubadilishana na watu wakabisha.
Nafikiri kama mpenzi wako ameanza kubehave tofauti na awali ndio unaweza mbadilisha arudi katika hali yake ya awali. Mengine yote yabaki kama ulivyoyakuta.

kama mtu ana vgezo vingi vinavyofaa ila kmoja 2 ambacho nacho inawezekana kubadilika try ur level bhana! Labda kama ni inborn errorz.
 
kama mtu ana vgezo vingi vinavyofaa ila kmoja 2 ambacho nacho inawezekana kubadilika try ur level bhana! Labda kama ni inborn errorz.

Yeah hapo umeongea. Kila mtu afanye kile anachoweza na sio kuishia kulalamika tuu kuwa huyu amenishinda na habadiliki. Hakuna kitu ambacho ni static bana kila kitu kinabadilika
 
Kubadilika inawezekana sana
Inategema upande unaotaka ubadilike
Tatizo wengi tunataka kuwabadilisha wapenzi wetu kwa muda mfupi tu
Huwa nafahamu kuwa lazima kukubali kuwa mjinga ili kumbadilisha mwenzio
Anza taratibu na usitake interests zako ndo zitawale kila wakati
Mi naamini ukienda naye polepole atabadilika tu
Cha muhimu acha papara
 
QUOTE=Felixonfellix;2546113]Kubadilika inawezekana sana
Inategema upande unaotaka ubadilike
Tatizo wengi tunataka kuwabadilisha wapenzi wetu kwa muda mfupi tu
Huwa nafahamu kuwa lazima kukubali kuwa mjinga ili kumbadilisha mwenzio
Anza taratibu na usitake interests zako ndo zitawale kila wakati
Mi naamini ukienda naye polepole atabadilika tu
Cha muhimu acha papara[/QUOTE]
Mkuu nakubaliana na wewe.
Na umeongea vyema sana. Maana naamini muda ni muhimu sana na maongezi mepesi na ya karibu ambayop hayana kero wala kukasirishana. Asante sana mkuu m
 
hivi mkuu Mr Rocky kwa mfano mtu anataka kukubadilisha tabia ulioizoea kwa mfano kuduuu kila baada ya mwezi halafu anakuambia hakuna kuduu mpaka hapo atakapo amua yeye bila ya sababu yoyote utaelewa kweli au utafanya nini kuelewa hiyo hali? toa ushauri kwa hilo mkuu pamoja..

Mkuu ndo maana nakazia sana kwenye maongezi na majadiliano maana kila kitu kinawezekana kwa maongezi
Akupe sababu za kwa nini afanye hayo may be kuna sababu za kiugonjwa
Ila kama hakuna sababu hilo linatatulika kwa kuongea na kujadiliana
 
Uraaaa!
mi penzi mingine kama imelaaniwa haibadiliki wala nini hata ufanyeje kudadadadeki.

Nakubaliana na wewe
Kuna watu wamefanya vitabia fulani jakpo vinakera kuwa mazoea na kuwa ni hulka zao
Ila msingi wa mabadiliko ya aina yoyote sio kumwambia kwa kumkera kuwa hii tabia yako inaniudhi ila nenda na mtu wa aina hii taratibu hata kama itachukua miaka ila mwishoni utafanikiwa
 
Kubadilika inawezekana sana
Inategema upande unaotaka ubadilike
Tatizo wengi tunataka kuwabadilisha wapenzi wetu kwa muda mfupi tu
Huwa nafahamu kuwa lazima kukubali kuwa mjinga ili kumbadilisha mwenzio
Anza taratibu na usitake interests zako ndo zitawale kila wakati
Mi naamini ukienda naye polepole atabadilika tu
Cha muhimu acha papara

Ni kweli mkuu, swala la kumbadilisha mtu kitabia ni gumu sana na linahitaji uvumilivu na subira ya hali ya juu, kumbuka kwamba mtu kubadilika kitabia ni mpaka apende mwenyewe, sasa je utawezaje kumfanya apende mwenyewe kubadilika. Ushauri uliotolewa na mtoa mada ni wa kuzingatiwa na hata hii QUOTE hapo juu ina mchango mzuri................changanyeni na za kwenu
 
Ni kweli mkuu, swala la kumbadilisha mtu kitabia ni gumu sana na linahitaji uvumilivu na subira ya hali ya juu, kumbuka kwamba mtu kubadilika kitabia ni mpaka apende mwenyewe, sasa je utawezaje kumfanya apende mwenyewe kubadilika. Ushauri uliotolewa na mtoa mada ni wa kuzingatiwa na hata hii QUOTE hapo juu ina mchango mzuri................changanyeni na za kwenu

Mtambuzi asante sana
Hili nimelisema sana ni kuwa muda ni jambo la muhimu katika kufikia lengo linalotakiwa
hakuna njia nyepesi katika hilo ila muda na subira na mazungumzo yenye kuleta hamasa kuwa hili linawezekana
 
Thanks to mr Rocky,ww ndiye yule kefa (mwamba) nini?haa haaa
Im praying every nite for the changes to come in every soul that need peace in their marriage,na hii inatia moyo sana kuona kuna vichwa (mr) ambao sio selfish na ambao wanapenda kumaliza siku zao kwa kuvumiliana na kuheshimiana,ikiwa hivi hata kwa nusu ya wanaume wote walioowa na wanaotegemea kuoa dunia itabadilika.Nimefuatilia almost every post na inaonyesha ukomavu hii inaleta faraja sana kwetu wamama ..Tukiendelea hivi iko siku maana halisi ya ndoa itaheshimika na haitakuwa na maana ya kukatisha tamaa wale ambao hawajaingia na hata waliopo ambao wana vichwa sugu watasoma (watajifunza) kwenu......
 
Thanks to mr Rocky,ww ndiye yule kefa (mwamba) nini?haa haaa
Im praying every nite for the changes to come in every soul that need peace in their marriage,na hii inatia moyo sana kuona kuna vichwa (mr) ambao sio selfish na ambao wanapenda kumaliza siku zao kwa kuvumiliana na kuheshimiana,ikiwa hivi hata kwa nusu ya wanaume wote walioowa na wanaotegemea kuoa dunia itabadilika.Nimefuatilia almost every post na inaonyesha ukomavu hii inaleta faraja sana kwetu wamama ..Tukiendelea hivi iko siku maana halisi ya ndoa itaheshimika na haitakuwa na maana ya kukatisha tamaa wale ambao hawajaingia na hata waliopo ambao wana vichwa sugu watasoma (watajifunza) kwenu......

Suala la ndoa linawaumiza sana watu wengi vichwa maana wanaona walio ndani ya ndoa wanatamani kutoka nje na walio nje wanatamani kuingia ila kwa namna wanavyoona mambo wako tayari kubakia single
tatizo kubwa la ndoa nyingi ni lack of communication ndani ya ndoa zetu
Mke na mume hawana muda wa kujadliana na kila wakati wakiongea ni amri zinatolewa kutoka kwa baba kwenda kwa mama na hakuna ule muda ulioitengwa kujadiliana na kujaribu kusuluhisha masuala ya familia au matatizo au mapungufu ya ndoa husika kw anjia ya kujadiliana
Mambo mengine tunayakuza sisi wenyerwe na kuyafanya yaonekane makubwa wakati uhalisia ni madogo sana kama pande zote mbili zitajiwekea utaratibu wa kukaa pamoja kuyaongea
 
Ni kweli mkuu, swala la kumbadilisha mtu kitabia ni gumu sana na linahitaji uvumilivu na subira ya hali ya juu, kumbuka kwamba mtu kubadilika kitabia ni mpaka apende mwenyewe, sasa je utawezaje kumfanya apende mwenyewe kubadilika. Ushauri uliotolewa na mtoa mada ni wa kuzingatiwa na hata hii QUOTE hapo juu ina mchango mzuri................changanyeni na za kwenu

mabadiliko yanawezekana ila yako katika sehemu tatu tu
  1. muda mfupi
  2. muda wa kati
  3. muda mrefu
ila wengi hudhani kumbadilisha mtu ni kitu cha muda mfupi au papo kwa papo
tabia huchukua muda tofauti kutegemeana na malezi alikotoka
 
Suala la ndoa linawaumiza sana watu wengi vichwa maana wanaona walio ndani ya ndoa wanatamani kutoka nje na walio nje wanatamani kuingia ila kwa namna wanavyoona mambo wako tayari kubakia single
tatizo kubwa la ndoa nyingi ni lack of communication ndani ya ndoa zetu
Mke na mume hawana muda wa kujadliana na kila wakati wakiongea ni amri zinatolewa kutoka kwa baba kwenda kwa mama na hakuna ule muda ulioitengwa kujadiliana na kujaribu kusuluhisha masuala ya familia au matatizo au mapungufu ya ndoa husika kw anjia ya kujadiliana
Mambo mengine tunayakuza sisi wenyerwe na kuyafanya yaonekane makubwa wakati uhalisia ni madogo sana kama pande zote mbili zitajiwekea utaratibu wa kukaa pamoja kuyaongea

sio kujadiliana tu hawana hata muda wa kutaniana na hii imejengwa kwa wanandoa wengi hata zinapoyumba na matokeo yake kila mmoja ndani ya ndoa anakimbilia kulalamika nje kama kuomba ushauli au anaona ananyimwa haki ,...... imefikia hata haki ya ndoa unaenda kuomba ushauri kama si haki yako duh
 
Back
Top Bottom