Namna ya Kumbadilisha Mpenzi wako

Rocky kumbadili mtu mzima ni kazi sana, unaweza ila asilimia ndogo saana, mtu awezi acha asili yake, anaeza badilika kwa muda kama ni mwanzo wa mahusiano ili akuvutie, with time anarudia lifestyle yake, hiyo naongelea tabia tu ya mtu, ulevi na mengine asilimia ya kubadilika inaongezeka

Gaga nakubali ila kuna mahali ambapo hata kama ni tabia yake anafikia kipindi anajikataa na kutaka mabadiliko. Hapo ni pale ambapo utakapotumia ushawishi wako na maneno yenye hekima anaweza kubadilika na kuyjikuta alikuwa mlevi anarudi kuwa baba wa familia
 
binafsi naamini kubadilika ni lazima mtu uamue mwenyewe kutoka ndani yako,unaweza ukawa influenced kuvaa,the way u talk etc lakini mtu hawezi kukulazimisha ulale na mwanamke/mwanamme kama wewe hujaamua,i can influence a friend to drink beer today but kama hajaipenda then sitegemei kama kesho atakunywa unless ameamua kufanya hivyo.
Thumbs up Nailyne, kitu kingine mimi nafikiri partner wako akiwa kama rafiki yako basi ni rahisi sana kujadili vitu vingi sana na vichache vinaweza kubadilika
 
Tukijifunza kuheshimiana, kuthaminiana kuongea kwa lugha ya staha katika mahusiano yetu basi ni dhahiri kwamba tunajenga mahusiano yaliyo bora na msingi wa mahusiano yoyote yale ni kupeana heshima kwa wahusika wawili haijalishi kipato au umri kama tukiweza kufuata na kujali ni kitu gani tunapaswa kufanya basi ni dhahiri tutadumisha hata pale ambapo tulikuwa hatuwezi kuparekebisha

TF asante sana kwa maneno yako. Kweli ndoa ni kuheshimiana na kuvumiliana. Mambo mengine unajua ni matokeo tuu na kila tunachokifanya ni mwanzo wa maisha bora ya mbeleni ya familia.
 
Thumbs up Nailyne, kitu kingine mimi nafikiri partner wako akiwa kama rafiki yako basi ni rahisi sana kujadili vitu vingi sana na vichache vinaweza kubadilika

Kweli kabisa. Tatizo ndani ya nyumba ni uadui na kuogopana na familia moja baba na mama ni kama mbuzi na chui. Hawana kuongea kwa amani hawajadiliani wanaogopana na maongezi yao ni yale ya mtumwa na mmiliki wake. Woga umetawala. Hata ule muda kujadiliana mambo ya familia haupo. Hapo kweli hata kubadilishana ni pagumu
 
binafsi naamini kubadilika ni lazima mtu uamue mwenyewe kutoka ndani yako,unaweza ukawa influenced kuvaa,the way u talk etc lakini mtu hawezi kukulazimisha ulale na mwanamke/mwanamme kama wewe hujaamua,i can influence a friend to drink beer today but kama hajaipenda then sitegemei kama kesho atakunywa unless ameamua kufanya hivyo.

Hapo nasema kuwa yale mnayoyaongea kama hakuna kukerana au kulaumiana mabadiliko ni inevitable. Mnashauriana na mnakuwa na muda wa kubadilishana na kuambiana mapungufu yenu na namna ya kuyarekebisha na naamini kila kitu kinawezekana
 
sweetie we si juzi tu umesusa mmu,kulikoni? Lakini du karibu tena maana tulikumissssooo!!!!!
Bishanga mbele ya Rocky atakuja tuu.
Tulibembeleza sana sana bana so lazima abaki
BTW mkuu uko salama
Do u believe in changes b
 
Kweli kabisa. Tatizo ndani ya nyumba ni uadui na kuogopana na familia moja baba na mama ni kama mbuzi na chui. Hawana kuongea kwa amani hawajadiliani wanaogopana na maongezi yao ni yale ya mtumwa na mmiliki wake. Woga umetawala. Hata ule muda kujadiliana mambo ya familia haupo. Hapo kweli hata kubadilishana ni pagumu
Tatizo linaanza pale mmoja anapojiona ana mamlaka zaidi juu ya mwenzake
 
Thumbs up Nailyne, kitu kingine mimi nafikiri partner wako akiwa kama rafiki yako basi ni rahisi sana kujadili vitu vingi sana na vichache vinaweza kubadilika

mkiwa boyfriend n galfriend hilo linawezekana lakini mkisha kuwa kwenye ndoa kuwa na mahusiano kama marafiki huwa ni ngumu coz mara nyingi (sio zote) wanaume wanakuwa ndio wenye mamlaka na wanapenda kuogopwa,na pia wanapenda sana hata unapo adress certain issues to them uonyeshe sense ya kuwaogopa flani hivi, na hiyo ndio inawapa power n wanafeel respected, bt if u treat him like a friend atahisi kama unamuona kama mnalingana wakatii yeye anataka kufeel yupo juu zaidi yako..,
 
mkiwa boyfriend n galfriend hilo linawezekana lakini mkisha kuwa kwenye ndoa kuwa na mahusiano kama marafiki huwa ni ngumu coz mara nyingi (sio zote) wanaume wanakuwa ndio wenye mamlaka na wanapenda kuogopwa,na pia wanapenda sana hata unapo adress certain issues to them uonyeshe sense ya kuwaogopa flani hivi, na hiyo ndio inawapa power n wanafeel respected, bt if u treat him like a friend atahisi kama unamuona kama mnalingana wakatii yeye anataka kufeel yupo juu zaidi yako..,
Kuna ukweli ndani yake Nailyne
 
Nailyne hilo ndo tunalotaka kupambana nalo. Ile hali ya kule ndani kuwa kama simba na swala. Always swala anakuwa mnyonge tuu kwa simba. Na hilo ndo tunalojaribu kulipinga. Ndani ya nyumba ni lazima kuwe na ile hali ya kuelewana na kujadiliana na kuweka mambo sawa. Na majadiliano haya ndo yanaibua mazungumzo ya kubadilishana na kuchange tabia za watu.
 
You are absolutely right kabisa yaani huwa inakuwa ni tofauti kabisa, huwa najiuliza ni kweli ndio mtu uliyepangiwa uwe naye au ni mambo yanatokea tu kwenye maisha
Ukimpenda sana mtu unadhani anaweza fanya lolote kwa ajili yako ,na hata kubadilika kwa ajili ya mhusiano, na unapogundua haiwezekani inakuwa too late
 
Nailyne hilo ndo tunalotaka kupambana nalo. Ile hali ya kule ndani kuwa kama simba na swala. Always swala anakuwa mnyonge tuu kwa simba. Na hilo ndo tunalojaribu kulipinga. Ndani ya nyumba ni lazima kuwe na ile hali ya kuelewana na kujadiliana na kuweka mambo sawa. Na majadiliano haya ndo yanaibua mazungumzo ya kubadilishana na kuchange tabia za watu.

nikiona maandiko haya yanatoka kwa mwanaume napata amani sana kuwa at some degree na nyie mnatambua mahusiano bora ni yale ya kuheshimiana na kupendana na sio kuogopana ni kweli tunasaidiana kupitia hii mijadala kujua tabia zetu na namna ya kuzihandle ili kuboresha mahusiano yetu.
 
nikiona maandiko haya yanatoka kwa mwanaume napata amani sana kuwa at some degree na nyie mnatambua mahusiano bora ni yale ya kuheshimiana na kupendana na sio kuogopana ni kweli tunasaidiana kupitia hii mijadala kujua tabia zetu na namna ya kuzihandle ili kuboresha mahusiano yetu.
Tatizo ni lile kwamba watu hawataki kubadilika. Hawataki kukubaliana na ukweli kwamba majadiliano na mazungumzo yanadumisha ndoa na kudumisha uhusiano. Naamini katika majadiliano na mawasiliano ya karibu. Hili ndo litasaidia kuyaweka mahusiano katika mstari ulionyooka. t
 
Umeongea vyema mr rock ila vipi kama umetumia lugha zote ila njemba halibadiliki? Unaweza tumia vitisho?
 
Umeongea vyema mr rock ila vipi kama umetumia lugha zote ila njemba halibadiliki? Unaweza tumia vitisho?
Vitisho inategemea na mtu mwenyewe
Maana kama njemba imepanda juu na ndo haisikii lolote hapo unatafuta ugomvi.
 
Ninachofahamu hakuna anaeweza kumbadilisha mtu,mtu hubadilika mwenyewe,kwanza kwanini abadilike?Unapotaka hayo unaenda nje ya maana halisi ya upendo!
 
Back
Top Bottom