Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 6,995
Last edited by a moderator:
hahahaaa.... Watu wanaamsha vilivyolala!!!!...... Tangu mwaka juziiii.. Lol!!!!!!
Nyo.....ko, hujui hiyo hela hata wigi hainunui?
hahaaaaaaaaaaaaaaaa siki hizi kwenye pesa hakuna cha mpare wala mchaga, hihi ni kabila gani ambao sio wabahili kabisa?taratibu na maneno yako Mpwa
hahaaaaaaaaaaaaaaaa siki hizi kwenye pesa hakuna cha mpare wala mchaga, hihi ni kabila gani ambao sio wabahili kabisa?
Wala...wewe tena Doctor unidai, Lol!!!!haina mbaya, WA-UKENYENGE kwani tunadaiana!? Lol!!!!!
Wala...wewe tena Doctor unidai, Lol!!!!
Karibu saana doctor jisikie huru...:coffee::coffee: nipo hapa Coffee shop mtaa mmoja.hahahaaa...... Halafu ninampango wa kukopa kwako ila husinidai
Karibu saana doctor jisikie huru...:coffee::coffee: nipo hapa Coffee shop mtaa mmoja.
Waoo...Doctor, usijali nakusubiria!!!!.nakuja nisubirie hapo hapo, ila uje na hicho kitita basi