Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,284
- 10,665
Kuna dada nilimkopesha elfu 30,alisema atanilipa,lakini kwa kadiri nilivyozidi kumdai akasingizia namtongoza na nikome kumpigia simu,Je how can I get my money,sikuwa na sina mpango wa kumtongoza.