Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,421
- 85,862
hahahaa ngoja ninywe chai kwanza, ntarudi baadae
Kwani aje?nimekugusa?
Kwani aje?nimekugusa?
hahahaa ngoja ninywe chai kwanza, ntarudi baadae
Nimekuja kustuka mada ya mwaka juzi hii, we kunywa tu chai kwa amani. Ila usinywe chai na picha ya chapati tu.
Hahahahaaaaa unazidi uchokozi sasa, naandaman ana jeshi la Green Guard......
sikulipwa na sikufuatilia tena nduguhebu sema kama ulilipwa au imekuwaje
teh teh teh una masihara wewe nilishapotezea bwananitumie namba zenu wewe na uyo dada niwatwange dolla 300 kila mmoja. harafu muombane msamaha uyo msichana si makosa yake bali poverty.umaskin unafanya mtu akuchenjie sasa hivi.
Niliassume nimedondosha vileAlaaaa, kumbe ni thread ya mwaka juzi?! Nafikiri atakuwa alishalipwa au kusamehe muda mrefu!!!
we mrembo by Nature vipi bwana hujui mateso ya mchimba kokoto wewe,after all ni kitambo niliassume nimepoteza.30,000 tu ndo hadi umekuja kuileta JF?????? kweli sisi ni watanzania. Tena wewe kama si mpare utakuwa mchaga.
30,000 tu ndo hadi umekuja kuileta JF?????? kweli sisi ni watanzania. Tena wewe kama si mpare utakuwa mchaga.
onyesha zako!au tuma buku au jero tu ktk 0657445777,ndio nitaamini kweli elfu30 pesa ndogo kwako,sio maneno tuuuu
onyesha zako!au tuma buku au jero tu ktk 0657445777,ndio nitaamini kweli elfu30 pesa ndogo kwako,sio maneno tuuuu
Nyo.....ko, hujui hiyo hela hata wigi hainunui?
Nimekuja kustuka mada ya mwaka juzi hii, we kunywa tu chai kwa amani. Ila usinywe chai na picha ya chapati tu.
Yeap, vipi kwani Doctor?hahahaaa.... Watu wanaamsha vilivyolala!!!!...... Tangu mwaka juziiii.. Lol!!!!!!