hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
Chupa ya bia!!!
kama anaenda kumbe anakuja
Chupa ya bia!!!
wadada wa kichaga ni zaidi ya hayo yanayosemwa, ni wacheshi, na kwa kuwa hawana mapenzi ya kweli si wasumbufu, na kwa ujasiriamali wapo juu kama unafikiria maisha ya watoto wako baada ya kifo chako wachaga ni ndio jibu.
lakini thatha huyu jamaa alivyothema hivi thi ni kweli? "Mweekee bajeti ya kiasi cha pesa, muonge mara ya kwanza, ya pili, ya tatu mpaka ya tano. Mara ya sita omba mzigo. Walahii Aruki"Inatokea na isipotokea wakikataliwa wanaleta malalamiko ya ajabu ajabu JeiEff!
kama anaenda kumbe anakuja
Hahahhahahahahahah!!!Embu acha uchokozi wewe!!!
Naomba ufute hiyo kauli tafadhali!!!!
lakini thatha huyu jamaa alivyothema hivi thi ni kweli? "Mweekee bajeti ya kiasi cha pesa, muonge mara ya kwanza, ya pili, ya tatu mpaka ya tano. Mara ya sita omba mzigo. Walahii Aruki"
ahahhahah !!! TAMWA wakikusikia hawakuachikama anaenda kumbe anakuja
Huo ndio upotoshaji wenyewe sasa!!!Hatudanganyiki na vijisent....mtu akikutaka amekutaka na akikukataa amekukataa hata kama una ama huna vijisent kama vya mafisadi!!!
mara ya kwanza nilijiuliza kama miguu inaweza kuhimili uzito wa mwili
hii haihitaji research, ninyi anromantiki kuliko kabila lolote hapa TZ, nimewahi kutoka na wachaga wengi kuliko kabila lolote hapa TZ.
ila mtoa mada atakuwa ashawahi kufanya hii kitu au mnatofautiana?
Naomba ufute hiyo kauli tafadhali!!!!
hii haihitaji research, ninyi anromantiki (un) kuliko kabila lolote hapa TZ, nimewahi kutoka na wachaga wengi kuliko kabila lolote hapa TZ.
kwahiyo unajuaje kama ni romantiki kabla hujatoa fedha zako au unaanza kwa kuuliza dada wewe ni kabila gani. (aina mpya ya kutongoja wadada wa kichaga)Mdau kula tano, huu ni ukweli 200%
mara ya kwanza nilijiuliza kama miguu inaweza kuhimili uzito wa mwili
kwahiyo unajuaje kama ni romantiki kabla hujatoa fedha zako au unaanza kwa kuuliza dada wewe ni kabila gani. (aina mpya ya kutongoja wadada wa kichaga)
Acha kunivunja mbavu. In maana miguu ni kama 1 na mwili ni kama pipa?????!!!