Una umri gani?Mke wangu kila dakika ananiambia ananipenda mpaka nakasirika.
Wataalamu kuna haja gani ya kila mara kumwambia mtu haya maneno. Mbaya zaidi ananilazimisha na mimi kila mara nimwambie maneno haya haya!
Aisee sijawai kuwa kwenye mapenzi yenye usumbufu kama haya.
Mkuu sasa kama unaweza kuvumilia unakujaje kulalamika apa?Hapana hiko ni kitu kidogo aisee naweze vumilia
Imagine anaesema hivo ni mume wa Mtu.
Auusiani ovaUna umri gani?
Ova
Anything beyond normal is mental illnessesMental illness problem
Hamna sehemu nimeandika kuna ni lalamiko!!Mkuu sasa kama unaweza kuvumilia unakujaje kulalamika apa?
NadhaniKuna jambo anaficha.....
Endelea na cuba yakoTuliosoma Cuba tumekuelewa
Nini kimekukuta Mkuu mpaka uuliwe??,Nahisi wewe ni mimi coz wanawake wengi sana niliowaacha niwale walionipenda kupitiliza mi ni mwoga sana wakuwa chizi au kuuliwa
Unamwambia nakupenda mpenz wangu, anakujibu Asante 😂 😂Ngoja siku aache kukupenda
Utakuwa unamwambia nimekumis anasema aya bwana au unamwambia nakupenda mke wangu anakujibu aya bwana
Muache tu nyakati mbaya zinakuja,akikutana na makauzu kama mimi mbona atajutaUnamwambia nakupenda mpenz wangu, anakujibu Asante