pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,020
Msaada kwa wa wataalam wa dawa 'amoxicilin comprimes dispensibles tablets 250mg. Naomba kujua matumiz kwa mtoto wa miaka 2 na miezi 8
Nami nasubiri jibuSwali;
Nina vipele ambavyo vimeniota kisogoni kwa miaka mingi sasa, ukibikamua vinatoa usaa kidogo na damu zaidi. Baadaya hapo vinakauka kabisa lakini baadaya siku chache hujaa tena.
Je, vinatibika? Na kama vinatibika dawa yake inaitwaje?
Ahsante.
Lips kuwa reddish, kavu na mwasho:- It's an easily fixable problem. Simply see your primary care physician or dermatologist for an anti-yeast medication, hiyo alergy!!Doc?,mbona hujanijibu swali langu?
Mkuu naona upo vizuri kwenye pharmacologyUnamaanisha sildenafil(VIAGRA)? Sildenafil ni PHOSPHODIESTERASE-5-INHIBITOR. Kazi yake ni kuinhibit/kuzuia enzyme phosphodiesterase type-5(PDE5) kwenye corpus carvenosum(sehem ya uume), Corpus carvenosa ni part ya erectile tissue iliyopo kwenye uume inayohifadhi damu kwenye uume unaposimama.
Tunapopata msisimko wa kimwili, nerve impulses zinatumwa kutoka kwenye ubongo kwenda kwenye corpus carvenosa, ambapo signal substance Nitrogen monokside(NO) inazuia kuvunjwavunjwa kwa GTP(Guanine-5-triphosphate) - cGMP(Cyclic Guanine monophosphate) inayosababisha muscles zirelax na uume usimame.
Kumbuka cGMP inavunjwavunjwa na PDE5. Kwahio PDE5 ikiwa inhibited na phosphodiesterase inhibitor/sildenafil kunakuwa na muongezeko wa cGMP inayosababisha uume kusimama.
Mkuu hakikisha nguo zako za ndani unazianika juani na zinakauka kabisa pia uwe unabadilisha nguo za ndani mara kwa mara angalau uwe nazo zaidi ya moja.nasumbuliwa fungus kwenye ngozi ya kichwa cha uume,,natumia candiderm naona hainipi matokeo mazuri,,ipi dawa sahihi na nzuri ambayo naweza kutumia
Pole mkuu hayo ndio matumizi mabaya ya condom na una bahati ungeshaukwaa ukimwi.dah kwel vikojolea ni nuksi nahisi nami ndo nilipoutoa huko kama usaf ninao sana,,hakuna namna ingine ni vikojolea tu,,ila kwa condom natumiaga au huenda zilikuwa na zenyewe (condom) zimesha expire,,maana hii ki2 cjawah kuipata isije ikakata hiki kichwa,nimekoma
Hujaeleza kuwa unavyo chat wakati gani? kama ni usiku kwenye giza au muangaza? kunywa supu ya mchicha au juisi ya karoti kwa wingi itakusaidia tengeneza mwenyewe usinunuwe juisi za Maboksi hazifai. Maumivu yakizidi kamuone Daktari.naombeni mnisaidie dawa ya macho yanauma chqnzo kuchati,screen, na kopyuta nitafte dawa gain lnaombeni msaada
Dr.naomba kujua nimepima mkojo nikaambiwa nina UTI na ishaanza kushambulia figo nini tiba yakeHellow wapendwa,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!
Karibuni sana.
A
B
C
D
E
F
Nitumie dawa gani nzuri niliandikiwa dawa mara ya kwanza baada ya kumaliza dozi nikaenda kupima nikakuta bado ipo nikapewa tena dawa sasa naona bado tatizo halijaisha naomba ushauri wako na dawa sahihi ya kutumiaDr.naomba kujua nimepima mkojo nikaambiwa nina UTI na ishaanza kushambulia figo nini tiba yake