Nikitu kimoja msaada basi wew unaijua kama dawa ya kutibu nini?Jina nililonalo ni gynoxin sijui kama tunaongelea kitu kimoja mkuu.
HgHujaeleza kuwa unavyo chat wakati gani? kama ni usiku kwenye giza au muangaza? kunywa supu ya mchicha au juisi ya karoti kwa wingi itakusaidia tengeneza mwenyewe usinunuwe juisi za Maboksi hazifai. Maumivu yakizidi kamuone Daktari.
habari! ningependa jua dawa ya kuondoa makovu ?
Nina UTI KILA NIKIPEWA DAWA NAAMBIWA NILUDI BAADA YA SIKU KAZAA NIKILUDI NAPIMWA NAAMBIWA BADO NINA UTI DAWA NAMALIZA SHIDA NN
Sasa Mkuu kama ukishatapika utarudia doz ama utafanyaje, Help Wakuu!Hellow Mrs. Rama Postinor 2 ni levonorgestrel(progestin hormone) ambayo tunayo mwilini.Kazi yake ni kuzuia kupevushwa(ovulation) kwa yai,Kubadilisha usafirishwaji wa mbegu za kiume hatimae kuzuia kurutubishwa kwa yai au kubadilisha mfumo wa kizazi(uterus) hatimae kuzuia yai lilorutubishwa kuegeshwa hapo.Kuna athari ambazo ukizipata unashauriwa umuone daktari papo hapo nazo ni:Kutoka damu kwa wingi,mfumo wa hedhi kubadilika badilika au kupoteza hedhi,kuumwa na eneo la tumbo au ukipata cramps.Athari za kawaida ambazo unazoweza kuzipata kutokana na jinsi mwili wako unavyoipokea dawa ni maumivu ya kawaida ya tumbo na maumivu kwenye matiti,Nyingine ni kizunguzungu,maumivu ya kichwa,kichefchef na kutapika.
Mkuu nenda kafanye kipimo kuumwa korodani sio tatizo dogo kama unavyozania wakati mwingine madokta utumie uzoefu kuliko vipimoSamahani mkuu mm nnatatizo la kuumwa korodana sana Mara kwa Mara nliwah kuenda hospital lkn dct akaniambia nna natatizo ya kisaikolojia kitu ambacho kmenkatsha tamaa naomba msaada /ushaur wako
Samahani ndugu, kifafa cha vipi ???Naomba kujua Dawa ya kutibu kifafa
Alipokuwa mdogo alishikwa na degedege baada ya kufikisha miaka 14 naona anaanguka kumpeleka hospital nikaambiwa ana kifafaSamahani ndugu, kifafa cha vipi ???