Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Hakika labda kama jamaa anatufunga kamba.........kwetu ukiwa na 10,000 HUPATI CHENJI!!!
bwana wee...yaani we acha tu... kuna uzi wake hapa mwigine https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/276869-i-love-my-best-friends-sister.html ...sasa sijui ni tabia yake ya kupenda penda au la .. sasa sijui hiki kisa cha leo na hii thread yake zote zina ukwlei..ila sisi tunampa ushauri tu.