Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,995
Kama mkeo ni Mama wa nyumbani kuna nafuu kidogo, lakini kama mkeo na yeye ndio hawa Member wenzetu wa hapa JF, sinema mnaenda woten lunch mnakula pamoja na ile miwani yao kama bundi na yeye anayo na ana access ya kununuwa hata kavits basi una tatizo kubwa sana Jombaa.