Arvin sloane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 996
- 203
Daaaah pole sana kaka lakini unaweza kumwambia mkeo akaelewa au ukamwambia huyo binti uliyezaa naye nje kuwa una mke na watoto ila majukumu yote kwa watoto hao mapacha utakuwa unampa ila suala la kumuoa haitawezekana ataelewa tuu sababu huwezi kumuacha mkeo ukamuoe huyo mwingine.