jamani,tulipewa hiyo pesa wote pamoja na mawakala wa vyama vingne nao wakaridhia kubatilisha matokeo...nitafute sifa gan hapa maana hakuna mtu anayenijua
Ikiwa Lukuvi alipita bila kupingwa je mlichakachua kura za diwani au Rais ? na ninani aliyekukabizi hizo pesa? Bila shaka majibu yako yatakuwa msaada wa kulinda kura za wananchi 2015.
Mkuu naona lugha uliyotumia ni kali mno, kweli hii ni siasa au vita? Naomba tuelimishane kwa ustaarabu kuliko kupeana laana na kuitana majina yasiofaa.SI KUJUTA TU BALI MLAANIWE NYOTE MLOMCHAGUA KWANI MADHIRA AYA TNAYOPATA NI MATOKEO YA UPUMBAFU NA UDHAIFU MLOFANYA WEWE NA WAPUMBAFU WENGINE RIL MLAANIWe
Mkuu naona lugha uliyotumia ni kali mno, kweli hii ni siasa au vita? Naomba tuelimishane kwa ustaarabu kuliko kupeana laana na kuitana majina yasiofaa.
Laana ya ubaguzi inawaandama.......Mmemkataa Salim ambaye yuko straight ktk uongozi kwasababu za kibaguzi tu
umenena kabsa