Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Mkuu TIAMAJI, hata dhambi ulizoshawishiwa na CCM kufanya, kwenye uchaguzi wa mwaka 2005 na kweli ukafaya,
hakika hata kama dhambi ulizotenda zingekua NI NYEKUNDU KAMA DAMU lakini kwaku umeamua KUTUBU WEWE MWENYEWE KWA KINYWA CHAKO NA PIAA KUYAJUTIA kwa dhati kabisa moyoni, ni kweli kwamba dhambi zako zitakua zimesamehewa.
Na sisi wengine huku tunaendelea kukushirikisha ktika sala zetu binafsi. Ama kweli huu ni ujasiri na moyo wa uzalendo uliojee!!!!!!!!!!!!!!!!!
hakika hata kama dhambi ulizotenda zingekua NI NYEKUNDU KAMA DAMU lakini kwaku umeamua KUTUBU WEWE MWENYEWE KWA KINYWA CHAKO NA PIAA KUYAJUTIA kwa dhati kabisa moyoni, ni kweli kwamba dhambi zako zitakua zimesamehewa.
Na sisi wengine huku tunaendelea kukushirikisha ktika sala zetu binafsi. Ama kweli huu ni ujasiri na moyo wa uzalendo uliojee!!!!!!!!!!!!!!!!!
Jaman wanaJF wazima?
Mimi mwaka 2005 milikuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi ktk kata moja iliyopo ktk jimbo la Ismani(kwa Lukuvi),kiukweli tulichakachua sana matokeo yan sikutangaza matokeo halisi, nilipewa laki 2 na kuipendelea CCM.
Najutia hayo maana leo ndo nimeenda kijiji kimoja kilichopo jimbon humo hali ni mbaya yan barabara mbovu sana (km 60 tu toka mjin but unatumia masaa4), hakuna hospitali,maji safi,shule zimechoka na kila aina ya ubovu.
Naona mateso wanayopata watu wale yanatokana na uamuz wangu wa kuchakachua matokeo. Naombeni wanaismani na tanzania kwa ujumla mnisamehe, najuta nimegundua CCM ni janga na hatari kwa maisha ya watanzania.