Wote mliompa kura Jk mlaaniwe.
Dr. Jakaya Kikwete hana mpinzani
1. mwaka 2005 alimwaga DJ Mbowe
2. mwaka 2010 alimpa kipigo cha mbwa mwizi Padre Mtoro Dr. Slaa
Dr. Jakaya Kikwete hana mpinzani
1. mwaka 2005 alimwaga DJ Mbowe
2. mwaka 2010 alimpa kipigo cha mbwa mwizi Padre Mtoro Dr. Slaa
Kama kweli JK ni chaguo la Mungu, Simwamini tena huyo mungu, hospitali hazina madawa, watoto wanazaliwa sakafuni, ajari kila siku, piliccm wanatuua kila siku. Na JK na serikali yake inawalinda MAFISADI, wahujumu wa uchumi.JK ni chaguo la Mungu acheni kulalamika hata askofu wa Katoliki mhasham Methidis Kilaini alisema so acheni kulalamika tumshukuru Mungu kwa kila jambo maana hatujui kwa nini aliamua kama alivoamua
Jaman wanaJF wazima?
Mimi mwaka 2005 milikuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi ktk kata moja iliyopo ktk jimbo la Ismani(kwa Lukuvi),kiukweli tulichakachua sana matokeo yan sikutangaza matokeo halisi, nilipewa laki 2 na kuipendelea CCM.
Najutia hayo maana leo ndo nimeenda kijiji kimoja kilichopo jimbon humo hali ni mbaya yan barabara mbovu sana (km 60 tu toka mjin but unatumia masaa4), hakuna hospitali,maji safi,shule zimechoka na kila aina ya ubovu.
Naona mateso wanayopata watu wale yanatokana na uamuz wangu wa kuchakachua matokeo. Naombeni wanaismani na tanzania kwa ujumla mnisamehe, najuta nimegundua CCM ni janga na hatari kwa maisha ya watanzania.
jamani,tulipewa hiyo pesa wote pamoja na mawakala wa vyama vingne nao wakaridhia kubatilisha matokeo...nitafute sifa gan hapa maana hakuna mtu anayenijua
Kweli hili janga limesababishwa na wengi
Dr. Jakaya Kikwete hana mpinzani
1. mwaka 2005 alimwaga DJ Mbowe
2. mwaka 2010 alimpa kipigo cha mbwa mwizi Padre Mtoro Dr. Slaa
Dr. Jakaya Kikwete hana mpinzani
1. mwaka 2005 alimwaga DJ Mbowe
2. mwaka 2010 alimpa kipigo cha mbwa mwizi Padre Mtoro Dr. Slaa
Jaman wanaJF wazima?
Mimi mwaka 2005 milikuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi ktk kata moja iliyopo ktk jimbo la Ismani(kwa Lukuvi),kiukweli tulichakachua sana matokeo yan sikutangaza matokeo halisi, nilipewa laki 2 na kuipendelea CCM.
Najutia hayo maana leo ndo nimeenda kijiji kimoja kilichopo jimbon humo hali ni mbaya yan barabara mbovu sana (km 60 tu toka mjin but unatumia masaa4), hakuna hospitali,maji safi,shule zimechoka na kila aina ya ubovu.
Naona mateso wanayopata watu wale yanatokana na uamuz wangu wa kuchakachua matokeo. Naombeni wanaismani na tanzania kwa ujumla mnisamehe, najuta nimegundua CCM ni janga na hatari kwa maisha ya watanzania.