Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Majukumu yalibana kidogo, muda wa kuingia JF ukakosekana.
Jumlisha na ile ajali ya mkonga wa mawasiliano kule Mombasa basi ndo visingizio kuzidi. Mtu wenu nimerudi tena, ingawa ushiriki wangu utakuwa umedorora kidogo... Good enough ni kuwa nimeweka avatar yangu ya ukweli kwa wale mloimiss.
Here I Come!
Jumlisha na ile ajali ya mkonga wa mawasiliano kule Mombasa basi ndo visingizio kuzidi. Mtu wenu nimerudi tena, ingawa ushiriki wangu utakuwa umedorora kidogo... Good enough ni kuwa nimeweka avatar yangu ya ukweli kwa wale mloimiss.
Here I Come!