f de solver
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,339
- 1,834
Yaani Una panic balaa itakua una mental retardation sio bureSiko hapa JamiiForums kutoa Elimu kwa Wapumbavu wasioelewa kuwa neno Masikini ni very broad logically na kwamba Mtu Kujiita Masikini hamaanishi ambavyo Wapuuzi wengi mlivyokariri au mlivyokaririshwa.
Acheni tu Kunichosha Kuwaelimisha juu ya neno Masikini au kujiita Kwangu Masikini kwani Mnaniboa pia vile vile sawa? Kama unaona hunihitaji au sina Sifa za kuwa nawe achana na Mimi tafuta wa Level yako mbona wapo wengi tu hapa kwanini mhangaike na Masikini Mimi?
Sent using Jamii Forums mobile app