Usijali utampata tu wa Umri unaoutaka.Tatizo umr
Amina Mkuu sijachoka wala kukata Tamaa.Kila la kheri na usichoke kupambana kila binadamu na changamoto zake
Kila Binadamu hapa duniani ana Malengo yake ya Kimaisha na laiti ungeelewa niliposema kuwa nimepatwa na Changamoto wala usingehoji hivi.Pole mkuu kwa changamoto unazopitia. Nina maswali kadhaa kwako,
Kwanini katika umri wa 43yrs hujaoa bado, kwanini una amini hadi uoe ndo ufanikiwe why usikomae mwenyewe tu kwanza.!
Kila lakheri mkuu.! Mzee Mengi aliwahi kusema “kufanikiwa kimaisha hakuna umri” komaa.
Amen / Inshaallah.Mungu akufanyie wepesi mzee, akupe hitaji la moyo wako.
Asante kwa mchango wako Karibu tena.Hapa huwezi kumuona hata malaya mmoja wa JF!
Kweli umaskini haumpendezi mtu kama suti😅
Mwaka huu, nisiposhika milioni 200 au 300, nashika jegeje mwanangu, osterbay za kichwa, mnazi mmoja za kichwa, kariakoo za kichwa, woyo, woyooooHapa huwezi kumuona hata malaya mmoja wa JF!
Kweli umaskini haumpendezi mtu kama suti
Hahahahhaha mzee wa MjegejeMwaka huu, nisiposhika milioni 200 au 300, nashika jegeje mwanangu, osterbay za kichwa, mnazi mmoja za kichwa, kariakoo za kichwa, woyo, woyoooo
Mwaka wangu(video ya harmonize)
Yule mduwanzi kanivunja mbavu, pale mwisho kapiga miuno ya uzaziHahahahhaha mzee wa Mjegeje
Hahahahah yule jamaa ni mandazi huwa nachekaga sana!Yule mduwanzi kanivunja mbavu, pale mwisho kapiga miuno ya uzazi
Nakushukuru Rais wa Umasikini Tanzania.Sikuvunji moyo ila wewe bado ujaujua umaskini
Masikini hawezi kumiliki Smartphone wala kununua bandoNakushukuru Rais wa Umasikini Tanzania.
you didn't take my comment in positively manner,I should have skipped this thread but..... you are my brother in Islam and luckily enough we are facing the same shit and at least you got a balls to come out and speak your agonies..I respect your remark as you also have to respect my wish on the concerned thread.
Asante.Masikini hawezi kumiliki Smartphone wala kununua bando
Noted.you didn't take my comment in positively manner,I should have skipped this thread but..... you are my brother in Islam and luckily enough we are facing the same shit and at least you got a balls to come out and speak your agonies..