Kama una umri huo na ujapata hata mchumba inaelekea muda wako wa matumizi umeisha.. LABDA nenda kwa Rev. Masanilo akuombee labda unaweza kupata mwanaume, na siyo mume.
Kama una umri huo na ujapata hata mchumba inaelekea muda wako wa matumizi umeisha.. LABDA nenda kwa Rev. Masanilo akuombee labda unaweza kupata mwanaume, na siyo mume.
Kila la kheri dada,usikatishwe tamaa na yeyote,saa aliyoipanga Mungu hakuna aijuaye.....Mungu akupe hitaji la moyo wako!!
Endelea kusubiria utumiwe hiyo PM kama itakuja wenzako wanatuma wewe unasubiri kutumiwaHi.Niko tayari.Ni2mie PM kwa communication zaidi.
Ndiyo maana naipenda JF kila kitu kinapatikana humu,ila mkifikia kuwoana mtupe taarifa tujumwiike pamoja naona itakuwa bomba sana
kila la kheri na Mungu awabariki kwa wale wote waliotuma application zao na mungu akujalie uweze kuchagua iliyo bora maana utapata nyingi sana
Halafu anabadilisha ID halafu anaendelea kucomment na ID yake humuhumu! hahahaha wadada msiwe waoga as i know huwezi kujiunga leoleo na kuanza kutafuta mume. Mimi nikitemwa na niliye nae nijajimwaga na hiihii ID yangu cause sina la kujutia. ni maoni yangu tu sio lazima ni kweli
Hongera Sana DinnahKwa kweli ni kuomba mungu mimi nilijitosa kwa mkaka humuhumu alitoa tangazo hamuwezi amini tulipofikia,wengine wako serious msiogope mnaotafuta uhusiano humu
Umejuaje??Halafu anabadilisha ID halafu anaendelea kucomment na ID yake humuhumu! hahahaha wadada msiwe waoga as i know huwezi kujiunga leoleo na kuanza kutafuta mume. Mimi nikitemwa na niliye nae nijajimwaga na hiihii ID yangu cause sina la kujutia. ni maoni yangu tu sio lazima ni kweli
Hongera Sana Dinnah
Kwa kweli ni kuomba mungu mimi nilijitosa kwa mkaka humuhumu alitoa tangazo hamuwezi amini tulipofikia,wengine wako serious msiogope mnaotafuta uhusiano humu