Mimi ni msichana tayari 32yrs sijawahi kuolewa na sina mtoto. Ninahitaji mume Mkristo tayari kupima VVU pia awe amesoma angalau kidato cha sita, awe ameajiriwa au amejiajiri mwenyewe. Mimi nina elimu ya Advance diploma na nimeajiriwa na kampuni fulani hapa Dar es salaam. Samahani najua wengi mtaniponda nakadhalika lakini mimi niko serious kabisa nimeshachoka maisha ya upweke na ubusy wa kazi kiasi kwamba hata muda wa kukutana na watu nakosa. Sitakasirika kwa wale watakaoniponda ila kwa wale walioko serious ni tumie message kwenye profile yangu then tutaendelea kuwasiliana. Naomba tafadhali uelewe niko serious sana kuhusu hili swala na siyo kwamba nina tabia mbaya au labda muhuni au mi mwenyewe sina mvuto hapana, nadhani kwa kadri tutakavyozidi kufahamiana utanifahamu na kunielewa vizuri. Niko nasubiri Private message (PM) kwa wale tu walioko serious karibuni.
Kwa kweli ni kuomba mungu mimi nilijitosa kwa mkaka humuhumu alitoa tangazo hamuwezi amini tulipofikia,wengine wako serious msiogope mnaotafuta uhusiano humu
Mimi ni msichana tayari 32yrs sijawahi kuolewa na sina mtoto. Ninahitaji mume Mkristo tayari kupima VVU pia awe amesoma angalau kidato cha sita, awe ameajiriwa au amejiajiri mwenyewe. Mimi nina elimu ya Advance diploma na nimeajiriwa na kampuni fulani hapa Dar es salaam. Samahani najua wengi mtaniponda nakadhalika lakini mimi niko serious kabisa nimeshachoka maisha ya upweke na ubusy wa kazi kiasi kwamba hata muda wa kukutana na watu nakosa. Sitakasirika kwa wale watakaoniponda ila kwa wale walioko serious ni tumie message kwenye profile yangu then tutaendelea kuwasiliana. Naomba tafadhali uelewe niko serious sana kuhusu hili swala na siyo kwamba nina tabia mbaya au labda muhuni au mi mwenyewe sina mvuto hapana, nadhani kwa kadri tutakavyozidi kufahamiana utanifahamu na kunielewa vizuri. Niko nasubiri Private message (PM) kwa wale tu walioko serious karibuni.
Hapo kwenye red soma vizuri, usimwekee maneno mtoto wa watu. Dada vuta subira mume mwema anakaribia.POLE BI MKUBWA! TATIZO LAKO..kwenye text yako palipopigwa nyekundu..! nafikiri hata huyu unayemtafuta hapa JF hamtadumu endapo hautarekebisha timetable yako na kuanza kukutana naye! ukiwa na muda wa kutosha hata "huyo uliyenaye anafaa kuwa mumeo"!nimesema hivi coz unadai hujawai kuolewa na una mtoto...so find enough time to close your Boyfriend..unless you have some other problems! sory if I misunderstood you!:hand:
Hongera sana Dinnah, tunafurahi kusikia hizo feedback. Nawatakia kila la heri, hope mtafikia pazuri na kutualika kwenye ubwabwa!
mushijack
Today 10:01 PM
#1
Junior Member
Join Date : 19th February 2011
Posts : 1
Thanks 0Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0
Samahani kwa kwenda ofu topik, hivi ulikumbuka kupitia kule sebuleni kwanza kabla ya kuingia humu chumbani?
Mimi ni msichana tayari 32yrs sijawahi kuolewa na sina mtoto. Ninahitaji mume Mkristo tayari kupima VVU pia awe amesoma angalau kidato cha sita, awe ameajiriwa au amejiajiri mwenyewe. Mimi nina elimu ya Advance diploma na nimeajiriwa na kampuni fulani hapa Dar es salaam. Samahani najua wengi mtaniponda nakadhalika lakini mimi niko serious kabisa nimeshachoka maisha ya upweke na ubusy wa kazi kiasi kwamba hata muda wa kukutana na watu nakosa. Sitakasirika kwa wale watakaoniponda ila kwa wale walioko serious ni tumie message kwenye profile yangu then tutaendelea kuwasiliana. Naomba tafadhali uelewe niko serious sana kuhusu hili swala na siyo kwamba nina tabia mbaya au labda muhuni au mi mwenyewe sina mvuto hapana, nadhani kwa kadri tutakavyozidi kufahamiana utanifahamu na kunielewa vizuri. Niko nasubiri Private message (PM) kwa wale tu walioko serious karibuni.
Mimi ni msichana tayari 32yrs sijawahi kuolewa na sina mtoto. Ninahitaji mume Mkristo tayari kupima VVU pia awe amesoma angalau kidato cha sita,
Wadada wengine ambao hawana wanaume waige mfano huu wanaume wengi nao wanatafuta wachumba.. ili wenye sifa takiwa waweze ku-match na hatimaye kumaliza tatizo kwani kwa jf tatizo kama hili soon litapata solution.
Kwa kweli ni kuomba mungu mimi nilijitosa kwa mkaka humuhumu alitoa tangazo hamuwezi amini tulipofikia,wengine wako serious msiogope mnaotafuta uhusiano humu
Dada,
Nakutakia mafanikio.
Mimi si kati ya wale watakaokusema vibaya, maana unachagua njia njema ya kuishi kiuwenza na kufarijiana na mwenzi wako!
Bahati mbaya mimi nishabukiwa, lakini vinginevyo ningekutumia ujumbe ili tuingie kwenye biashara serious!
Seriously ninaamini utapata mtu mwaminifu hapa ndani!
Lakini ukipata utoe feedback, na kwa kuwa umejiunga kwa kuanzisha mada hiyo, huu usiwe mwisho wako wa kuja hapa, hata kama matarajio yako yatakuwa ndivyo sivyo!
Tunakupenda sana!