snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,638
Halafu ukishachunwa urudi hapa na kuanza kulialia....Naombeni ushauri wanaJF yule demu kanichuna kila kitu....Furniture zangu zote kabeba, jiko na kafriji kangu ndio kwanza nimetumia kwa miezi sita tu ...Bank accounts mbili kakwangua kila kitu yaani kaniacha uchi...Chezeya wachunaji weye!!!
bhaeleze BAK ye anafikir watu kukalia beseni la barafu wanapenda?kazi ndo msingi wa maendeleo oh!
Last edited by a moderator: