Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,681
- 112,898
Ya kawaida hayo yapo kila siku, isingekuwepo 49% japo sio za kweli zingetoka wapi?ndioooo
Ya kawaida hayo yapo kila siku, isingekuwepo 49% japo sio za kweli zingetoka wapi?ndioooo
MBONA BINAMU SIO KESI NAWAHANGAA TU HAPA.Heaven Sent kesi nyingine hii ya upande wa pili now.....
Mmh Mmh hapo ukioa/kuolewa ni utabaki tu kuwa bibi/bwana harusi ila mke/mume halisi ni binamu.Heaven Sent kesi nyingine hii ya upande wa pili now.....
umeniongezea bonge la chekoWazo la Leo
Si kila anayekwambia watoto Hawa jambo anamaanisha watoto wako. Wengine wanaulizia watoto waliowazaa na mkeo.
I mean story nyingine sio kesi kama kesiMBONA BINAMU SIO KESI NAWAHANGAA TU HAPA.
SOMA HATA BIBLIA. HUKU AFRICA NI TAMADUNI TU TUNAFATA ILA HAKUNA SHIDA YOYOTE BINAMU KUOANA
Niaje guys? Hope ur good
Kuna cousin angu ambae ni mtoto wa shangazi yangu, nimelelewa, kusoma na kukua kwao, Nilienda hapo nikiwa std two baada ya baba kufariki, wazazi hawakua na ndoa, walipena tu mimba kama marafiki, mama alirudi mkoani kwao na amekua akiishi huko miaka yote
Nikiwa form three nilianzisha uhusiano wa kimapenzi na huyo cousin angu, wote tulikua boarding school, wakati wa likizo ndio tunakua pamoja, tumbo lao wapo wanne, watatu wasichana, yeye pekee ndio mwanaume, tumekua na uhusiano wa siri hadi chuo, mm nilisoma sheria yeye alifanya bachelor of Commerce, baadae tukaanza kazi na kupata familia zetu, kiukweli tangu kuanza mapenzi sijawahi kumpenda mtu mwingine the way navyompenda huyu cousin angu
Nimemzoea mno, kiasi kwamba baada ya chuo Tulikubaliana kila mtu atafute mpenzi mwingine maana uhusiano wetu hauna future Kutokana na kuwa ndugu, nikapata mtu kazini lakini nilishindwa tukarudiana na cousin yangu, baadae ndipo nikampata huyu alienioa, lakini bado sikuweza kumsahau cousin, tunaendelea na uhusiano wetu hadi sasa kwa kuiba, nina watoto wawili wa huyu cousin yangu Ingawa husband anajua ni wa kwake, hawajafanana sana na cousin yangu lakini ukimuona mtoto wa cousin yangu aliepata na mkewe na hawa mapacha wangu wanafanana kila kitu na huyo wa kule, sio kwamba nilizaa nae kwa Bahati mbaya nilimbebea mimba purposely, yaani nilikua kama vile niko obsessed, nilikua kama vile bado naamini ipo siku tutaishi pamoja, lakini kadri miaka inavoenda uwezekano huo unapotea kabisa, ni shetani ndio amekua akinidanganya na sio akili yangu
Huwa namwambia Mr wangu kuwa watoto wamefanana na kule kwa shangazi yangu, Mungu ni wa ajabu, na yy anasema amina, ni kweli kabisa,
Mke wa cousin angu huwa hatuelewani sijajua kwa nn, Ingawa hatujawahi kugombana ila ndio hivyo hanipendi kabisa, cousin yangu ameshasema kwa maslahi ya ndoa zetu tuachane for good, lakini kwa kweli nimeshindwa kabisa kumuondoa moyoni, hata yy pia huwa anasema tu kwa maneno lakini tukionana tunakumbatiana hadi tunalia, naweza kujitahidi hata kwa miezi mitatu mnne lakini baadae nashindwa, namtafuta nambembeleza tunajikuta tumefanya
Natafuta namna nimuondoe kabisa moyoni tuliache kabisa jambo hili kabla halijaleta madhara kwa pande zote, maana hadi sasa mwingine anaejua suala hili ni dada yake wanaefuatana nae, na ambae ameshatuonya sana tuliache bila mafanikio
Naomba mnisaidie nifanye nn nivuke jaribu hili
Asante
Kumbe mpo wengicousin cousin daaaah!!! mwenzio nmeweza kuacha tokea mwaka Jana japo wote hatupo kwenye ndoa and this month anaolewa!!! jitahidi na umuombe Mungu sana utaweza...
ucckie wanaokulaumu hawajajua inavyokua. pigania utaweza mdada
KWELI MAMAHilo ni somo la ku separate watoto wa jinsia tofauti...
Na kwa wale mnaopenda kupeleka watoto zenu waka spend nights kwa ndugu...somo linawahusu...
Hata General Galadudu?wapo mkuu na wanaume wengi huwa wanawakulaga mabinabu zao sema huyu kaenda mbali... halafu jf kila mtu ni mwema
Kumbe sio yeye selina pekeeKama ningekuwa na uwezo wa kujibadilisha kuwa mwarabu ningefanya hivyo ili nimuoe binamu yangu,
Kuna binamu wangu moja tunafanya mapenzi huu mwaka wa 7, amekwisha toa mimba 2 zangu,
Sasa dini na rangi zimetunyima kuoana
Niaje guys? Hope ur good
Kuna cousin angu ambae ni mtoto wa shangazi yangu, nimelelewa, kusoma na kukua kwao, Nilienda hapo nikiwa std two baada ya baba kufariki, wazazi hawakua na ndoa, walipena tu mimba kama marafiki, mama alirudi mkoani kwao na amekua akiishi huko miaka yote
Nikiwa form three nilianzisha uhusiano wa kimapenzi na huyo cousin angu, wote tulikua boarding school, wakati wa likizo ndio tunakua pamoja, tumbo lao wapo wanne, watatu wasichana, yeye pekee ndio mwanaume, tumekua na uhusiano wa siri hadi chuo, mm nilisoma sheria yeye alifanya bachelor of Commerce, baadae tukaanza kazi na kupata familia zetu, kiukweli tangu kuanza mapenzi sijawahi kumpenda mtu mwingine the way navyompenda huyu cousin angu
Nimemzoea mno, kiasi kwamba baada ya chuo Tulikubaliana kila mtu atafute mpenzi mwingine maana uhusiano wetu hauna future Kutokana na kuwa ndugu, nikapata mtu kazini lakini nilishindwa tukarudiana na cousin yangu, baadae ndipo nikampata huyu alienioa, lakini bado sikuweza kumsahau cousin, tunaendelea na uhusiano wetu hadi sasa kwa kuiba, nina watoto wawili wa huyu cousin yangu Ingawa husband anajua ni wa kwake, hawajafanana sana na cousin yangu lakini ukimuona mtoto wa cousin yangu aliepata na mkewe na hawa mapacha wangu wanafanana kila kitu na huyo wa kule, sio kwamba nilizaa nae kwa Bahati mbaya nilimbebea mimba purposely, yaani nilikua kama vile niko obsessed, nilikua kama vile bado naamini ipo siku tutaishi pamoja, lakini kadri miaka inavoenda uwezekano huo unapotea kabisa, ni shetani ndio amekua akinidanganya na sio akili yangu
Huwa namwambia Mr wangu kuwa watoto wamefanana na kule kwa shangazi yangu, Mungu ni wa ajabu, na yy anasema amina, ni kweli kabisa,
Mke wa cousin angu huwa hatuelewani sijajua kwa nn, Ingawa hatujawahi kugombana ila ndio hivyo hanipendi kabisa, cousin yangu ameshasema kwa maslahi ya ndoa zetu tuachane for good, lakini kwa kweli nimeshindwa kabisa kumuondoa moyoni, hata yy pia huwa anasema tu kwa maneno lakini tukionana tunakumbatiana hadi tunalia, naweza kujitahidi hata kwa miezi mitatu mnne lakini baadae nashindwa, namtafuta nambembeleza tunajikuta tumefanya
Natafuta namna nimuondoe kabisa moyoni tuliache kabisa jambo hili kabla halijaleta madhara kwa pande zote, maana hadi sasa mwingine anaejua suala hili ni dada yake wanaefuatana nae, na ambae ameshatuonya sana tuliache bila mafanikio
Naomba mnisaidie nifanye nn nivuke jaribu hili
Asante
Spirit ya ki alshabaab mie naipendaSasa ninyi na al shabaab au ISS mnatofauti gani???hamchelewi ku "commit suicide" kabisa
huyo hapana huwa anaongea mambo mazito mazitoHata General Galadudu?