Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,985
- 95,514
Selina anafuata nature. Mwanamke kiumbe hatari mnoHa ha ha hii ya Selina ni kiboko ya Cheating
Selina anafuata nature. Mwanamke kiumbe hatari mnoHa ha ha hii ya Selina ni kiboko ya Cheating
Mmejuaje mme ni innocent? Au Selina kasema?God will punish you! What does that innocent man did to deserve that shame from you? kumbebea mimba nje na uko ndani ya ndoa anakuhudumia day and night? You cheap bit…!
if U know what is good for you you better take action! Unatutia aibu wanawake wenzio
Hiyo ni kweli ingawa hajaelewa hilo hasa anaposema "tumsaidie aachane na hii tabia kabla ya mdhara hayajatokea"acha kumsingizia shetani sema mna laana, yaani mpaka umemzalia watoto basi usishange watoto wako wakianza kumegana na watoto wa huyo binamu yako mlioanzisha huo mchezo na kuufanya uwe endelevu, utarithi kizazi hadi kizazi
Teh namie nna roho hiyo sioneagi huruma wanaume, wanafanya mengi sana ya ajabu yakiwakuta mie huwa nacheka tuacha tu hawa viumbe wanatutesa sana ujue
zubutuuuu mke wa binamu kashtukia game nahisi anakusanya ushahidi walahihuyo shetani alikupitia mwende kwa binamu? ..........watoto sio wa mumeo na wala humpendi/hamu naye ......omba talaka ondoka na wanao kaanze maisha yako huku ukiendelea na binamu
wapo mkuu na wanaume wengi huwa wanawakulaga mabinabu zao sema huyu kaenda mbali... halafu jf kila mtu ni mwemaNami huwa najiuliza, hivi hakuna mwa JF aliyewahi kukuta story kama hii inayomhusu?
Cc Eva wa AdamCc mfalume Suleiman
shetani alimpa nauli.huyo shetani alikupitia mwende kwa binamu? ..........watoto sio wa mumeo na wala humpendi/hamu naye ......omba talaka ondoka na wanao kaanze maisha yako huku ukiendelea na binamu
wanawake wana hatari gani?Selina anafuata nature. Mwanamke kiumbe hatari mno
Mmhhh, kumbe mpo wengiKama ningekuwa na uwezo wa kujibadilisha kuwa mwarabu ningefanya hivyo ili nimuoe binamu yangu,
Kuna binamu wangu moja tunafanya mapenzi huu mwaka wa 7, amekwisha toa mimba 2 zangu,
Sasa dini na rangi zimetunyima kuoana
Nisamehe bure maana mke wa Cousin wa mlete mada anatakiwa asiwaamini ndugu wa kike wa mume wake. Kama mumewe anavyomfyamba wifi yake selina rose . Tumekuwa wote manyang'au tuPia ndugu wa kike wa mwanaume.... Balance ushauri
Heaven Sent kesi nyingine hii ya upande wa pili now.....Kama ningekuwa na uwezo wa kujibadilisha kuwa mwarabu ningefanya hivyo ili nimuoe binamu yangu,
Kuna binamu wangu moja tunafanya mapenzi huu mwaka wa 7, amekwisha toa mimba 2 zangu,
Sasa dini na rangi zimetunyima kuoana