Nafurahia mapenzi nikiwa na binamu yangu kuliko mume wangu

Ushauri wa bure
Kwa sababu shetani yupo katika kazi yake ya kuupoteza uzao wa Adam aende nao katika nyumba ile jehanam.Eidha tubu au endelea kufanya hio dhambi katika siku za maisha yako yote zilizosalia.
Unaambiwa licha ya maisha kuwa magumu lakini mshahara wa dhambi ni ule ule tu haujabadilika. Jitahidi kushindana na nafsi yako ushinde hivyo vishawishi ili uishi kwa amani na upendo na mume wako.
 
Aisee imeniumaaa khaaaa... Kweli kuna wanawake mna roho ngumuu zaidi ya jiwee!! Namuonea sana hurumaa jamaa analea watotoo sio wake...
 
Niaje guys? Hope ur good

Kuna cousin angu ambae ni mtoto wa shangazi yangu, nimelelewa, kusoma na kukua kwao, Nilienda hapo nikiwa std two baada ya baba kufariki, wazazi hawakua na ndoa, walipena tu mimba kama marafiki, mama alirudi mkoani kwao na amekua akiishi huko miaka yote

Nikiwa form three nilianzisha uhusiano wa kimapenzi na huyo cousin angu, wote tulikua boarding school, wakati wa likizo ndio tunakua pamoja, tumbo lao wapo wanne, watatu wasichana, yeye pekee ndio mwanaume, tumekua na uhusiano wa siri hadi chuo, mm nilisoma sheria yeye alifanya bachelor of Commerce, baadae tukaanza kazi na kupata familia zetu, kiukweli tangu kuanza mapenzi sijawahi kumpenda mtu mwingine the way navyompenda huyu cousin angu

Nimemzoea mno, kiasi kwamba baada ya chuo Tulikubaliana kila mtu atafute mpenzi mwingine maana uhusiano wetu hauna future Kutokana na kuwa ndugu, nikapata mtu kazini lakini nilishindwa tukarudiana na cousin yangu, baadae ndipo nikampata huyu alienioa, lakini bado sikuweza kumsahau cousin, tunaendelea na uhusiano wetu hadi sasa kwa kuiba, nina watoto wawili wa huyu cousin yangu Ingawa husband anajua ni wa kwake, hawajafanana sana na cousin yangu lakini ukimuona mtoto wa cousin yangu aliepata na mkewe na hawa mapacha wangu wanafanana kila kitu na huyo wa kule, sio kwamba nilizaa nae kwa Bahati mbaya nilimbebea mimba purposely, yaani nilikua kama vile niko obsessed, nilikua kama vile bado naamini ipo siku tutaishi pamoja, lakini kadri miaka inavoenda uwezekano huo unapotea kabisa, ni shetani ndio amekua akinidanganya na sio akili yangu
Huwa namwambia Mr wangu kuwa watoto wamefanana na kule kwa shangazi yangu, Mungu ni wa ajabu, na yy anasema amina, ni kweli kabisa,

Mke wa cousin angu huwa hatuelewani sijajua kwa nn, Ingawa hatujawahi kugombana ila ndio hivyo hanipendi kabisa, cousin yangu ameshasema kwa maslahi ya ndoa zetu tuachane for good, lakini kwa kweli nimeshindwa kabisa kumuondoa moyoni, hata yy pia huwa anasema tu kwa maneno lakini tukionana tunakumbatiana hadi tunalia, naweza kujitahidi hata kwa miezi mitatu mnne lakini baadae nashindwa, namtafuta nambembeleza tunajikuta tumefanya

Natafuta namna nimuondoe kabisa moyoni tuliache kabisa jambo hili kabla halijaleta madhara kwa pande zote, maana hadi sasa mwingine anaejua suala hili ni dada yake wanaefuatana nae, na ambae ameshatuonya sana tuliache bila mafanikio

Naomba mnisaidie nifanye nn nivuke jaribu hili

Asante
Na Binamu anafahamu kuwa hao watoto ulionao ni wakwake au hajui
 
Nimekubaliana na mmoja hapa kwamba adhabu yako itakuja baada ya hao watoto wa cousin kugegedana wenyewe kwa wenyewe
 
From''......tumbo lao wapo wanne, watatu wasichana, yeye pekee ndio mwanaume......''

selina rose

Member, Male

selina rose was last seen:

A moment ago
  • About
    Gender:
    Male....???????????????????????
Daaahhh hata siamini

Niaje guys? Hope ur good

Kuna cousin angu ambae ni mtoto wa shangazi yangu, nimelelewa, kusoma na kukua kwao, Nilienda hapo nikiwa std two baada ya baba kufariki, wazazi hawakua na ndoa, walipena tu mimba kama marafiki, mama alirudi mkoani kwao na amekua akiishi huko miaka yote


Naomba mnisaidie nifanye nn nivuke jaribu hili

Asante
ARE YOU A DUME JIKE???
selina rose
Member, Male

selina rose was last seen:

2 minutes ago
  • About
    Gender:
    Male

    Birthday:
    March 14

    MBONA UNACHEZA NA SISI WEWE MTOTO??
 
Hahaha gelofriend unaua watu huku ujue. "All men cheat" naona ime- backfire Leo. I hope kuna mtu Leo ufahamu wake utafunguka kidogo, kabla hajaona kumcheat mkewe na kumletea watoto awalee ni haki yake, atakuwa amepata picha kuwa cheated kunaumizaje. Maumivu ya kusalitiwa hayana me/ ke coz wote tuna mioyo ya nyama

Hahaha gelofriend Acha hizo, otherwise watoto tutaanza kuwashindisha na helmet, watapimwaje na ile kitu vichwani (DNA asilia). Cheating inaumaaaa, let alone mtu akuletee mtoto wa nje. Wanandoa wahurumiane tu na waheshimu viapo vyao vya ndoa
But binafsi nafurahi kuona wanaume wamechachawa hapa mie si unajua ni TEAM ROHO MBAYA ha ha ha ha ha, wanaume huona wana haki kuzaa nje kuleta watoto nyumbani walelewe tena sio kwa kuomba na kunyenyekea mtoto analetwa kwa nguvu ha ha ha kumbe ya mwanamke ndo kiboko kabisa analeta kimimba cha njemba ingine mwanaume henyeshwa jambishwa lete mihogo ya kuchoma, maembe, udongo, mishkaki ya bata kumbe mwenye mimba katulia tu, kimbia huku na kule toa taarifa my wife kaniletea mtoto kumbe mtoto wa watu uuuwiii again POLENI WANAUME
 
cousin cousin daaaah!!! mwenzio nmeweza kuacha tokea mwaka Jana japo wote hatupo kwenye ndoa and this month anaolewa!!! jitahidi na umuombe Mungu sana utaweza...
ucckie wanaokulaumu hawajajua inavyokua. pigania utaweza mdada
 
Sipati picha wanaume maumivu wanayoyapata pale wanapogundua wanalea watoto wasio kuwa wa kwao..... Poleni sana wanaume hii inawezekana ikawa ni Zaidi ya 49% ya mkemia

Binamu nyama ya hamu.... Hainaga ushemeji tunakulagaa, ni kipindi cha kuhofia ndugu kuliko watu wa mbali!!!! Pole Selina
Siku ambayo nitaenda jela kwa murder ni pale ambapo ntagundua nalea mtoto asiye wangu maana ntaanza na mke halafu hawala
 
Back
Top Bottom