abrah kingunge
Member
- Oct 18, 2012
- 14
- 0
Jamani hao jamaa walishachukua toka tarehe 17 july mwaka huu watu waliripoti mlale songea kambini ss hvi ni miez mitatu sasa na ilikuwa kimyakimya we subiri watangaze mwaka utaisha huu utaona kimya.
Vijana wa siku hizi kazi kweli kweli! JWTZ kwa mwaka huu hawakua na mpango wa kuajiri vijana wapya ila kutokana na development kadhaa kwenye mambo ya ulinzi wamelazimika kuomba waajiri so subirieni majibu mpaka baraza la mawaziri wakipitisha!
Hakuna cha Mlale wala Mafinga huko ni kwa watu wa JKT wanaojitolea
Mimi sio mwanaJESHI Ila ni mhitimu wa Kunduchi( kabla haijafungwa) na TMA
Jamani hao jamaa walishachukua toka tarehe 17 july mwaka huu watu waliripoti mlale songea kambini ss hvi ni miez mitatu sasa na ilikuwa kimyakimya we subiri watangaze mwaka utaisha huu utaona kimya.
Vijana wa siku hizi kazi kweli kweli! JWTZ kwa mwaka huu hawakua na mpango wa kuajiri vijana wapya ila kutokana na development kadhaa kwenye mambo ya ulinzi wamelazimika kuomba waajiri so subirieni majibu mpaka baraza la mawaziri wakipitisha!
Hakuna cha Mlale wala Mafinga huko ni kwa watu wa JKT wanaojitolea
Mimi sio mwanaJESHI Ila ni mhitimu wa Kunduchi( kabla haijafungwa) na TMA
hata mie nashangaa
mliokua depo mtupe updates au hamna net huko?