Nafasi JWTZ ..

don urassa inaonekana umenimaidi sana ,usijali lakini magreat thinkers saa zingine they think differ.best of luck keep waiting defence force recruitment
 
kwa taarifa niliyokuwanayo ili nafasi zianze mpaka bajeti ya mwaka mpya wa fedha kwa hiyo naamini mwezi wa 7 au 8
 
Ofcoz, great thinkers sometimes make urgument so as to pave way of others, bt not to clash by telling some1 ndocha, always great thinkers make their argument in the proffesional manner, Urassa kip it up bro, coz being a soldier it is a spirit not bcoz u ar a job seeker. waungwana wote wamefunzwa kusubiri toka hawajaja kwenye uso wa dunia
 
Pole ndugu hizo nafasi zimeshatoka na watu wameshaenda cardet tayari hivi sasa wana three weeks.
Heshima mbele wana'JF naulizia vipi kuhusu nafasi za kujiunga jwtz &jkt kwa professionals. Kwa karibu mwaka mmoja sasa nimekuwa nikifuatilia humu JF na information zilionyesha kwamba wangetoa mwezi february.. And as time goes on, imekuwa kama danadana kwa takribani mwaka na miezi sasa. Hivyo mwenye valid info azitoe tunateseka huku mtaani. GOD BLESS YOU !
 
watu wanapima afya zao teyari kwa ajili ya kuanza course nyie mnapigizana kelele kubishania nafasi, kama hauamini nenda Upanga kaulizie!! nchi ishatolewa posa kitambo.
 
Wakubwa punguzeni mizuka. ngoma bado inafanyiwa kazi, subirini kwanza hawa polisi waondoke then mpango wa bakabaka unafuata. Ila nafasi kweli ni ngumu na taaluma zitakazo hitajika mwaka huu hapo ndio mtihani. Alafu wakubwa waambieni hao wadogo zenu wasifikiri jeshini ni kama CRDB,NMB au MABENKI MENGINE. Wao kutwa kutuma CV zao makao makuu ya jeshi. Huku hatuangalii CV mapema hivyo kama sehemu nyingine. Huku wote mtaitwa then Afya ndio kigezo cha kwanza then mengine yanafuata baadae.
 
Wakubwa punguzeni mizuka. ngoma bado inafanyiwa kazi, subirini kwanza hawa polisi waondoke then mpango wa bakabaka unafuata. Ila nafasi kweli ni ngumu na taaluma zitakazo hitajika mwaka huu hapo ndio mtihani. Alafu wakubwa waambieni hao wadogo zenu wasifikiri jeshini ni kama CRDB,NMB au MABENKI MENGINE. Wao kutwa kutuma CV zao makao makuu ya jeshi. Huku hatuangalii CV mapema hivyo kama sehemu nyingine. Huku wote mtaitwa then Afya ndio kigezo cha kwanza then mengine yanafuata baadae.

Lini sasa ndugu? Twataka kujua mchakato ukoje coz mambo yanakwenda kimya kimya sana na kunatetesi kuwa zoezi limeshafanyika tayari, hebu funguka jembe!
 
Wakubwa punguzeni mizuka. ngoma bado inafanyiwa kazi, subirini kwanza hawa polisi waondoke then mpango wa bakabaka unafuata. Ila nafasi kweli ni ngumu na taaluma zitakazo hitajika mwaka huu hapo ndio mtihani. Alafu wakubwa waambieni hao wadogo zenu wasifikiri jeshini ni kama CRDB,NMB au MABENKI MENGINE. Wao kutwa kutuma CV zao makao makuu ya jeshi. Huku hatuangalii CV mapema hivyo kama sehemu nyingine. Huku wote mtaitwa then Afya ndio kigezo cha kwanza then mengine yanafuata baadae.
 
Wakubwa punguzeni mizuka. ngoma bado inafanyiwa kazi, subirini kwanza hawa polisi waondoke then mpango wa bakabaka unafuata. Ila nafasi kweli ni ngumu na taaluma zitakazo hitajika mwaka huu hapo ndio mtihani. Alafu wakubwa waambieni hao wadogo zenu wasifikiri jeshini ni kama CRDB,NMB au MABENKI MENGINE. Wao kutwa kutuma CV zao makao makuu ya jeshi. Huku hatuangalii CV mapema hivyo kama sehemu nyingine. Huku wote mtaitwa then Afya ndio kigezo cha kwanza then mengine yanafuata baadae.

Tofauti na HIV, na BP ni kigezo kingine kipi muhimu cha afya? wanaangalia kimo? Uzito? Umri or? Kwa anaejua funguka!
 
Vijana wengi wanadanganyana nafasi zinatoka kati ya wiki hii au inayokuja. Lakini kuwatoa hofu ni kwamba nafasi bado hazijatangazwa. vijana watakao hitajika mwaka huu ni wengi waliosoma masomo ya sayansi vyuoni, hivyo hatuwezi kuchanganya application za polisi na JWTZ. Msije kuchanganyikiwa na miruzi ya huku na huku ukajikuta umekosa kote. Ila wakubwa hawapendi kuona CV zikitumwa makao mara kwa mara.
 
Mkuu Bologna tafadhali jaribu kwenda makao (upanga) ukafatilie kama kuna watu wanaendelea na usaili au la.. bt trust mi watu wanaendelea kuchekiwa afya zao, na halijawekwa tangazo lolote, popote, hata waliopo Makao wengi nao hawajui unless wapande juu wakaulize!! kama ni kusuburi mtachoka wenyewe na mta expire!! najua itawauma wengi ila ndo ukweli halisi.
 
Back
Top Bottom