NACTE mlisema Leo mnafungua udahili mbona kimya

msaada jamani eti nacte kuna uwezekano wa kuongeza vyuo vya afya na kama wasipo ongeza je ni lini watafungua tena pamoja na ongezeko la vyuo vya afya
 
Wakuu Kuna mdogo wangu anataka abadilishe chuo asomee computer science mnaweza npe info nikamchekie maana sisi wengine hatujasoma vyuoni kabisa so process hatuelew
 
Msaada tafadhali,aliyehitimu form four 2009 anaweza kuaply afya mwaka huu,form six 2012.
 
Back
Top Bottom