NACTE mlisema Leo mnafungua udahili mbona kimya

Leo 23/01/2017 nacte walisema watafungua dirisha la udahili kwa ngazi ya cheti na diploma mpaka sasa hivi kwenye website yao hakuna jipya matangazo ni ya mwaka Jana tu na hata guide book hawajatoa ya mwaka wa masomo huu 2017/18 .

Nacte msitufanye sisi hatuna akili hii taasisi ina ubabaishaji sana.
nafikiri umeona ma it walivopita jf na kuona malalamiko yako na yamejibiwa kabla ya tarehe 23
 
Nataka kusoma IT kiongoz,,
Hivi sasa nasoma Uwalim wa secondary ,,mathematics and ict
da we jamaa angu bhana sasa mbona ualimu wa sayansi bado dili tu ama unataka mkopo maana diploma wanapewa mkopo mwaka huu ushauri wangu kwako soma kitu unachoona una future nacho na si kuangalia soko la ajira la sasa....
 
da we jamaa angu bhana sasa mbona ualimu wa sayansi bado dili tu ama unataka mkopo maana diploma wanapewa mkopo mwaka huu ushauri wangu kwako soma kitu unachoona una future nacho na si kuangalia soko la ajira la sasa....
Mie ndoto zang n kugonga IT kwa sanaaa kiongoz ,,,Uwalim n kaz nzur sawa lakin kusoma Kitu usicho penda n kama kujitafutia kufail badae,,,
Was was wangu n kwamba hivi sasa ninalipiwa na loanboard course hii nisomayo(special dip) in sec,mathematics an ICT,na nataka kusoma diploma in computer engineering sasa Nahc naweza nisiwe selected pale nitapo apply ,,,,naomba ushaur wenu ,,
 
Mie ndoto zang n kugonga IT kwa sanaaa kiongoz ,,,Uwalim n kaz nzur sawa lakin kusoma Kitu usicho penda n kama kujitafutia kufail badae,,,
Was was wangu n kwamba hivi sasa ninalipiwa na loanboard course hii nisomayo(special dip) in sec,mathematics an ICT,na nataka kusoma diploma in computer engineering sasa Nahc naweza nisiwe selected pale nitapo apply ,,,,naomba ushaur wenu ,,
mhhh upo mwaka wa ngap na diploma umebakiza muda gani kumaliza?
 
mhhh upo mwaka wa ngap na diploma umebakiza muda gani kumaliza?
Ndo kwanza bado niko first year second semester,,, kumalza had 2019,,af sasa nmeanzia diploma hii udom 2015 Ndo tukawa tumerudishwa home na kupangwa vyuo vya kati,,,l
 
Ndo kwanza bado niko first year second semester,,, kumalza had 2019,,af sasa nmeanzia diploma hii udom 2015 Ndo tukawa tumerudishwa home na kupangwa vyuo vya kati,,,l
ok poa waweza apply upya hamna tatizo ila zipo taratibu kama ulikuwa unasoma chuo A kwenda chuo B..
 
Ndo kwanza bado niko first year second semester,,, kumalza had 2019,,af sasa nmeanzia diploma hii udom 2015 Ndo tukawa tumerudishwa home na kupangwa vyuo vya kati,,,l
bado wanawalipa 5000 per day...
 
Mie ndoto zang n kugonga IT kwa sanaaa kiongoz ,,,Uwalim n kaz nzur sawa lakin kusoma Kitu usicho penda n kama kujitafutia kufail badae,,,
Was was wangu n kwamba hivi sasa ninalipiwa na loanboard course hii nisomayo(special dip) in sec,mathematics an ICT,na nataka kusoma diploma in computer engineering sasa Nahc naweza nisiwe selected pale nitapo apply ,,,,naomba ushaur wenu ,,
Ukiapply utapata tu mkuu
 
ok poa waweza apply upya hamna tatizo ila zipo taratibu kama ulikuwa unasoma chuo A kwenda chuo B..
vyuo vipo vizur tu kwa diploma in it... DIT,MUST,RUCO, ata udom apo apo pia wanayo
 
Kuna kitu nataka kufanya, nataka kubadilisha fani! Nikiomba system itanikubali maana sasa niko chuoni nilichaguliwa mwaka jana! Is this possible au ni kwa wale ambao hawakujisajili mwaka jana
Lipia uapply upya tu utachaguliwa unataka uapply course gani?
 
Back
Top Bottom