Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,564
Apo unaenda kuanzia certificate babaMie ndoto zang n kugonga IT kwa sanaaa kiongoz ,,,Uwalim n kaz nzur sawa lakin kusoma Kitu usicho penda n kama kujitafutia kufail badae,,,
Was was wangu n kwamba hivi sasa ninalipiwa na loanboard course hii nisomayo(special dip) in sec,mathematics an ICT,na nataka kusoma diploma in computer engineering sasa Nahc naweza nisiwe selected pale nitapo apply ,,,,naomba ushaur wenu ,,