Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,977
- 32,548
Huwa nakeleka sana na aina hii ya watu mtu et kisa ana kidegree kimoja na kivile huko nyuma alipata one basi wengine wote ambao walipata degree kwa kuunga unga anawaona wajinga acheni ufala na upumbavu wa akili
Naludia tena acheni ufala na upambuvu wa akili naomba nijue leo kipomo cha kumtambua mtu huyu ni kilaza ni kipi? Maana naona ata hao wenye mnajidai hapa ni filaza vile vile
Hii dharau ishanikuta ofisini mara mbili ya kwaza ilikuwa kipindi cha corona walati na maliza shift yangu jioni na mpa report dr na kumuelekeza akanijia juu et ww unanielekeza nini mimi mimi nina elimu kubwa kuliko yako nusu nipigane sema boss wangu akanituliza akasema nimuache
Nyingine kipindi nipo OPD nilijitambulisha nikasema mimi nina diploma ni msaidizi wa …. Boss akamuuliza jirani yangu na wewe ni diploma akasema ww unanionaje mimi siwezi kuwa na diploma nimesoma sana walimjibu maboss mimi sikuangaika kumjibu mimi huwa na mjibu mtu kwenyw utendaji wangu wa kazi tu
Ila sio siri ninyi wenye videgree acheni dharau za kishezi tena huo ni ulofa na upumbavu msomi alie soma akaelewa hawezi kumkashifu mtu yoyote
Na humu kuna watu madharau watu et kisa wana elimu ndogo wewe elimu yako kubwa imekufikisha kibo? Au umefika kwenye kiinincha dunia ndio maana nasemaga wenye degree wengi ni washamba na malimbukeni na hawajitambui na hawajui how to translate informantion na hawajui kabisa kucope na situationi ni malofa walio pindukia
Naludia tena acheni ufala na upambuvu wa akili naomba nijue leo kipomo cha kumtambua mtu huyu ni kilaza ni kipi? Maana naona ata hao wenye mnajidai hapa ni filaza vile vile
Hii dharau ishanikuta ofisini mara mbili ya kwaza ilikuwa kipindi cha corona walati na maliza shift yangu jioni na mpa report dr na kumuelekeza akanijia juu et ww unanielekeza nini mimi mimi nina elimu kubwa kuliko yako nusu nipigane sema boss wangu akanituliza akasema nimuache
Nyingine kipindi nipo OPD nilijitambulisha nikasema mimi nina diploma ni msaidizi wa …. Boss akamuuliza jirani yangu na wewe ni diploma akasema ww unanionaje mimi siwezi kuwa na diploma nimesoma sana walimjibu maboss mimi sikuangaika kumjibu mimi huwa na mjibu mtu kwenyw utendaji wangu wa kazi tu
Ila sio siri ninyi wenye videgree acheni dharau za kishezi tena huo ni ulofa na upumbavu msomi alie soma akaelewa hawezi kumkashifu mtu yoyote
Na humu kuna watu madharau watu et kisa wana elimu ndogo wewe elimu yako kubwa imekufikisha kibo? Au umefika kwenye kiinincha dunia ndio maana nasemaga wenye degree wengi ni washamba na malimbukeni na hawajitambui na hawajui how to translate informantion na hawajui kabisa kucope na situationi ni malofa walio pindukia