Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,977
- 32,546
- Thread starter
- #21
Now siongei sana nikiongea kwenye kikao tu na hao wenye master zao washaniona na kielele na mjuaji sana soon natolewa pale EMDUngepuuza tu halafu utendaji wako ndo ungepigana naye.
Hakuna pigo zuri kwa adui wa aina hii kama pigo la kukutazama ukifanikiwa katika utendaji wako na kukua.