Nachukia watu wanaodharau elimu ya mtu kisa elimu yao kubwa

Kwa thread hii inatosha kuonyesha kwa nini wanakudharau.
Nakazia mkuu.

Yani mtoa mada alipoanza kutukana tu nikathibitisha bila kuacha shaka kwamba anastahili kudharaulika.

Amejawa na 'inferiority complex' ya hali ya juu ambayo akiendelea kuiendekeza basi soon atapata presha ya kushuka ambayo haitamuacha salama.

Anasahau kwamba kimfaacho mtu chake. Wakimdharau haimpunguzii kitu, kwanza ni kwanini ajali at first place?

Bado tuna miaka mingi sana ya kuifikia Tanzania ya asali na maziwa kwa wote.
 
Huwa nakeleka sana na aina hii ya watu mtu et kisa ana kidegree kimoja na kivile huko nyuma alipata one basi wengine wote ambao walipata degree kwa kuunga unga anawaona wajinga acheni ufala na upumbavu wa akili

Naludia tena acheni ufala na upambuvu wa akili naomba nijue leo kipomo cha kumtambua mtu huyu ni kilaza ni kipi? Maana naona ata hao wenye mnajidai hapa ni filaza vile vile

Hii dharau ishanikuta ofisini mara mbili ya kwaza ilikuwa kipindi cha corona walati na maliza shift yangu jioni na mpa report dr na kumuelekeza akanijia juu et ww unanielekeza nini mimi mimi nina elimu kubwa kuliko yako nusu nipigane sema boss wangu akanituliza akasema nimuache

Nyingine kipindi nipo OPD nilijitambulisha nikasema mimi nina diploma ni msaidizi wa …. Boss akamuuliza jirani yangu na wewe ni diploma akasema ww unanionaje mimi siwezi kuwa na diploma nimesoma sana walimjibu maboss mimi sikuangaika kumjibu mimi huwa na mjibu mtu kwenyw utendaji wangu wa kazi tu


Ila sio siri ninyi wenye videgree acheni dharau za kishezi tena huo ni ulofa na upumbavu msomi alie soma akaelewa hawezi kumkashifu mtu yoyote

Na humu kuna watu madharau watu et kisa wana elimu ndogo wewe elimu yako kubwa imekufikisha kibo? Au umefika kwenye kiinincha dunia ndio maana nasemaga wenye degree wengi ni washamba na malimbukeni na hawajitambui na hawajui how to translate informantion na hawajui kabisa kucope na situationi ni malofa walio pindukia
Ni mjinga tu atakayejali elimu ya mtu pasipo kuangalia ufanisi wa kazi .

Pole sana ofisi za serikali ziko hivyo sio idara ipi wala ipi kila mtu anahitaji ajulikane ana elimu gani .

Haya usemayo yalishatufanya wengine hatuwezagi kueleza kuwa tumesoma nje kutoka utoto mpaka utu uzima hali iliyopelekea kote tupitako kuonekana kuwa vilaza hasa kwa kuhisi tulibebwa na kuwekwa tu maofisini sababu ya wazazi wetu.

Ikafika mahali wengine wakasema ni usalama wa taifa kisa hatuna historia ya elimu za kibongo .

Nafeli sana kueleza hizo habari sababu ni ukweli mtupu kuwa kila nilkopita huko mashuleni mimi ndiye nilikuwa funga dimba yaani nilkuwa kilaza .Ila sasa nikificha education background zangu basi wanahisi wananizidi elimu na kuhisi nimebebwa tu hivyo nikutie moyo usijali hii ndiyo Tanzania mdogo wangu .

Ni mijinga sana.
 
Ni mjinga tu atakayejali elimu ya mtu pasipo kuangalia ufanisi wa kazi .

Pole sana ofisi za serikali ziko hivyo sio idara ipi wala ipi kila mtu anahitaji ajulikane ana elimu gani .

Haya usemayo yalishatufanya wengine hatuwezagi kueleza kuwa tumesoma nje kutoka utoto mpaka utu uzima hali iliyopelekea kote tupitako kuonekana kuwa vilaza hasa kwa kuhisi tulibebwa na kuwekwa tu maofisini sababu ya wazazi wetu.

Ikafika mahali wengine wakasema ni usalama wa taifa kisa hatuna historia ya elimu za kibongo .

Nafeli sana kueleza hizo habari sababu ni ukweli mtupu kuwa kila nilkopita huko mashuleni mimi ndiye nilikuwa funga dimba yaani nilkuwa kilaza .Ila sasa nikificha education background zangu basi wanahisi wananizidi elimu na kuhisi nimebebwa tu hivyo nikutie moyo usijali hii ndiyo Tanzania mdogo wangu .

Ni mijinga sana.
Shida sana
 
Huwa nakeleka sana na aina hii ya watu mtu et kisa ana kidegree kimoja na kivile huko nyuma alipata one basi wengine wote ambao walipata degree kwa kuunga unga anawaona wajinga acheni ufala na upumbavu wa akili

Naludia tena acheni ufala na upambuvu wa akili naomba nijue leo kipomo cha kumtambua mtu huyu ni kilaza ni kipi? Maana naona ata hao wenye mnajidai hapa ni filaza vile vile

Hii dharau ishanikuta ofisini mara mbili ya kwaza ilikuwa kipindi cha corona walati na maliza shift yangu jioni na mpa report dr na kumuelekeza akanijia juu et ww unanielekeza nini mimi mimi nina elimu kubwa kuliko yako nusu nipigane sema boss wangu akanituliza akasema nimuache

Nyingine kipindi nipo OPD nilijitambulisha nikasema mimi nina diploma ni msaidizi wa …. Boss akamuuliza jirani yangu na wewe ni diploma akasema ww unanionaje mimi siwezi kuwa na diploma nimesoma sana walimjibu maboss mimi sikuangaika kumjibu mimi huwa na mjibu mtu kwenyw utendaji wangu wa kazi tu


Ila sio siri ninyi wenye videgree acheni dharau za kishezi tena huo ni ulofa na upumbavu msomi alie soma akaelewa hawezi kumkashifu mtu yoyote

Na humu kuna watu madharau watu et kisa wana elimu ndogo wewe elimu yako kubwa imekufikisha kibo? Au umefika kwenye kiinincha dunia ndio maana nasemaga wenye degree wengi ni washamba na malimbukeni na hawajitambui na hawajui how to translate informantion na hawajui kabisa kucope na situationi ni malofa walio pindukia
Ulilazimika katika utambulisho wako useme una elimu gani?
Bungeni kwa sasa, kiti ndio zake, anajiona hakuna wa kumzidi, wakati wizi ndio uliomuweka alipo.
 
Back
Top Bottom