Kwani hapo tatizo ni picha au contents? Kama vitafunwa hivyo vimetengezwa kwa vitu halali ni ruksa kula tena bila kutia shaka.Picha ya nguruwe haiwezi kuwa machukizo hivyo iwapo aliyemuumba ni yule yule Subhanna. Ingekuwa picha ni haramu basi watu wasingetembea kwenye miji yetu ambapo wasanii wetu mbwa wanatembea nusu uchi.
Kuruka ruka kwa maharage ndiyo kuiva kwake.Unadhani wakati gari hilo linapita na hakuna usafiri mwingine watapanda nini?
Hizo sijui ni mikate au nini lakini najua wanakula kama kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.