Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Nawapokeza CCM kwa operesheni JAZA WATU JANGWANI kwani imefaulu kwa kiwango kikubwa. Sasa ni wakati wetu sisi CUF kudhihirisha nguvu ya haki tuliyonayo. Si kama ile ya mafuso ni zaidi ya ile ya wapinzani wetu CDM. Upo wapi Maalim, Lipumba, Jussa, Mtatiro...?