Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Aah! Hii ishu ya katiba ni sensitive sana,najaribu ku imagine kama oic na kadhi vitatakiwa kupigiwa kura miongon mwa wajumbe wa tume hii,unafikiri lipi litapitishwa?
it needs more logic to get answer