Mzee Mtei hajafilisika mawazo - kasema ukweli

Mzee Mtei umeona mbali kwa jicho la tatu, kesheni mkiomba Taifa lisije kuingia majaribuni. Mkuu anajaribu kunawa mikono kwa dini yake kabla hajaachia madaraka! be watchful
 
Niliuliza "Kulalamika waislamu wanapendelewa dhidi ya wakristo ndio msimamo wa chadema mpaka Zito aonekane anahujumu chama kwa kukemea udini wa Mtei?"

Na je utetezi wa religion balance wa muasisi Mtei ni Ktk Mambo yepi? Kila idara ya serikali au tume ya katiba tu? Hizo idara nyengine wakristo pia wachache au kuna balance kati yao na Waislamu? Baraza la mawaziri linachaguliwa na JK pia, je waislamu na wakristo wapo sawa kwa idadi? Hata kipindi yeye Mtei alipokuwa member wakati wa Kambarage je idadi ili balance au wakati huo alikuwa mkomunisti hakuona? Ba mkwe una ajenda gani?

Nikahitimisha kuwa, kwangu mimi hapa ba nkwe anadhihirisha tu ukweli juu ya ajenda ya siri ya Chadema. We dogo hukusikia siku Lema alipoenguliwa ubunge Arusha, kupitia clouds FM mdada akilalami "huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, ............yehova unaacha wanao tunahukumiwa mchana peupee!!!!!.." Kwako wewe Lema ni Mchungaji, Padiri au Askofu???!!!!

Kama hujaelewa nenda kwa babu loliondo ukapate kikombe!!! Kwi kwi kwiiii-wajinga ndio waliwao!

Bokassa,
Hiyo uliyompa ni mifano michache, balance ya kidini anayoitaka Edwin Mtei-Muasisi wa Chadema,balance hii ndani ya chama alichokiasisi ikoje? Uwiano wa waislam na wakristo ukoje? Mbona hatujamsikia aki-defend religious inbalance ndani ya CDM? Zungumzia kuhusu wajumbe wa baraza kuu la chadema,kamati kuu,mkutano mkuu,BAWACHA,BAVICHA,wabunge,..Au uwiano usio sahihi ameuona kwenye tume peke yake? Labda mnaotetea sumu ya udini na Mtei mngelitolea ufafanuzi na hili.
Hawa walikuwa ni wagombea wa ubunge wa Chadema 2010. Hili nalo walizungumziaje?
Jina la mgombea na jimbo atokaloDini
KILIMANJARO.
1 Moshi Mjini. Philemon NdesamburoMkristo
2 Hai Freeman MboweMkristo
3Moshi Vijijini. Anthony KomuMkristo
4 Rombo Joseph Selasini.Mkristo
5 Vunjo John Mrema.Mkristo
6 Mwanga Shafi Yaperi Msuya.Muislam
7 Siha Eng. Humprey Tuni.Mkristo
8 Same Magharibi Eneza Elikunda Mshana.Mkristo
9 Same Mashariki Naghenjwa Livingstone KaboyokaMkristo
MANYARA.Mkristo
1 Kiteto Victor Kimesera.Mkristo
2 Mbulu Mustapha AkunaayMkristo
4 Hanang Rose KamiliMkristo
5 Babati Mjini Pauline Philipo GekulMkristo
6 Babati Vijijini Francis Peter QamaraMkristo
MARA
1 Tarime Mwita MwikwabeMkristo
2 Rorya Martine Ochola Ndira.Mkristo
3 Musoma Mjini. Vincent Nyerere.Mkristo
4 Mwibara David ChirikoMkristo
5 Bunda Elias Kajeri MaarunguMkristo
6 Serengeti Marwa Ryoba ChachaMkristo
7 Musoma Vijijini Michael M. MakenjiMkristo
DAR ES SALAAM
1 Ubungo John Mnyika.Mkristo
2 Kawe Halima Mdee.Mkristo
3 Ukonga James BinagiMkristo
4 Kinondoni Philip Nyanchini MogendiMkristo
5 Kigamboni Maulidah Komu.Mkristo
6 Ilala Naomi Kaihula.Mkristo
7 Temeke Dikson NghillyMkristo
8 Segerea Fred Mpendazoe.Mkristo
MWANZA
1 Ukerewe Eng. Salvatory Machemuli.Mkristo
2 Kwimba Leticia NyerereMkristo
3 Nyamagana Ezekiah WenjeMkristo
4 Buchosa Martine KaswahiliMkristo
5 Geita Florence MsabilaMkristo
6 Ilemela Hyness David KiwiaMkristo
6 Magu Ndimanya BahatiMkristo
7 Busega Jacta Katinde Levi.Mkristo
8 Nyanghwale Nduru Bright TanganyikaMkristo
9 Busanda Finias Magessa.Mkristo
11 Misungwi Jane Deogratias Kajoki.Mkristo
12 Sumve Milton Fikiri Lutabana.Mkristo
KAGERA
1 Muleba Kaskzn Msedemu MilangaMkristo
2 Karagwe Deusdedit JovinMkristo
3 Bukoba Mjini Wilfred LwakatareMkristo
4 Kyerwa Innocent katoMkristo
6 Nkenge Walter Nyahoza.Mkristo
7 Bukoba vijijini Artides NdibalemaMkristo
8 Biharamulo Magharibi Dr. Anthony G. MbassaMkristo
9 Biharamulo Mashariki Vedastus LukumbuzyaMkristo
10 Ngara Robson Robert MushikaMkristo
MBEYA.
1 Mbeya Mjini. Joseph Mbilinyi.Mkristo
2 Mbeya Vijijini Sambwee ShitambalaMkristo
3 Mbarali Jidawa Hangwa KazamoyoMkristo
4 Kyela Eddo MakataMkristo
5 Mbozi Magharb Silinde David.Mkristo
6 Mbozi Mashark Mwampamba Mtela.Mkristo
7 Rungwe Mash. Balton Gwakisa.Mkristo
8 Rungwe Magh. Yusuph Asukile.Muislam
ARUSHA
1 Karatu Israel Yohana NatseMkristo
2 Arumeru Magh. Martine Ole KisambuMkristo
3 Arusha Mjini Godbless LemaMkristo
4 Arumeru Mash. Joshua Samwel NassariMkristo
5 Longido Paulina LaizerMkristo
6 Monduli Rev. Ole Silanga MollelMkristo
7 Ngorongoro Moringe Lazaro ParkipunyiMkristo
RUKWA
1 Mpanda kati Said ArfiMuislam
2 Nkasi Kaskazini Keissy Salum SoodMuislam
3 Sumbawanga Mjini Veronika Salma MwasaMkristo
4 Kwela Amir NkuluMkristo
5 Kalambo Leonard ChilamboMkristo
6 Mpanda Magh. Daniel Masanja. 7Mkristo
8 Nkasi Kusini Hypolito John KaningaMkristo
SINGIDA
1 Iramba Mash. Aaron Kikaya.Mkristo
2 Singida Mash. Tundu A M. Lissu.Mkristo
3 Singida Mjini Josephat Isango Hadu NyimbaMkristo
4 Iramba Magh. Mkumbo ndasi ShamdabulaMkristo
5 Singida Kask. Msaghaa Omari Kimea.Muislam
6 Manyoni Mash. Musa MalecelaMkristo
7 Manyoni Magh. Donald Madeje LupaaMkristo
8 Singida Mash. Dr. Chritowaja MtindaMkristo
IRINGA.
1 Iringa Mjini. Rev. Peter Simon MsigwaMkristo
2 Njombe Kaskz. Alatanga Nyagawa.Mkristo
4 Kalenga Eng. Ben Isdor KihomweMkristo
5 Makete Moses Klaunt KyandoMkristo
7 Kilolo Dr. Michael MgattaMkristo
8 Njombe Magh. Thomas NyimboMkristo
RUVUMA
1 Songea Mjini Adv. Edson MboggoroMkristo
2 Mbinga Mash Boniface Ngonyani.Mkristo
3 Peramiho Joseph MuhagamaMkristo
4 Mbinga Magh. Cuthbert Ngwatta.Mkristo
7 Tunduru kaskz Abdalah landi DaidiMuislam
SHINYANGA
1 Shinyanga Mjini Phillip ShelembiMkristo
2 Kisesa Erasto TumboMkristo
3 Kahama Charles LubalaMkristo
4 Msalala Edward MlolwaMkristo
5 Meatu Meshakh OpurukwaMkristo
6 Kishapu Paulo Maghembe KanoguMkristo
7 Bukombe Prof. Kulikoyela Kahigi.Mkristo
8 Maswa Mash. Sylvesta KasulumbayiMkristo
9 Bariadi Magh. Zacharia Thomas MakonoMkristo
10 Bariadi Mash. Emmanuel Alphonce KuchibandaMkristo
11 Maswa Magh. John Magale ShibudaMkristo
DODOMA.
1 Kibakwe Benson KigailaMkristo
2 Dodoma Mjini Enock Paulo MhembanoMkristo
5 Bahi Antoni Lyamunda.Mkristo
6 Chilonwa Joel MwakaMkristo
7 Kondoa Kaskz Abbas KondoMuislam
8 Mtera John Lamecky LuboteMkristo
MOROGORO
1 Mvomero Owden matokeoMkristo
2 Kilombero Regia MtemaMkristo
3 Morogoro Kusini Juma Abdul TemboMuislam
4 Morogoro kusn mash Aquiline MagalambuMkristo
5 Morogoro Mjini Aman MwaipajaMkristo
6 Kilosa Zainab KisegereMuislam
7 Mikumi Onesmo Sambo MwaikamboMkristo
8 Gairo Daniel Yustin KambiMkristo
9 Ulanga Magh. Prof. Melchior Emeran MlambitiMkristo
TANGA
1 Korogwe Mjini Calistus Amiri SheikbahaMkristo
2 Tanga Mjini Kassimu Amari MbarakMuislam
3 Handeni Said Salehe MbwetoMuislam
4 Kilindi Pius Mseja MbettaMkristo
5 Korogwe Vijijini Aaron MashumveMkristo
6 Lushoto Deogratius Pio KisanduMkristo
7 Mlalo Charles Kagonji.Mkristo
8 Muheza Jumbe SaidMuislam
9 Pangani Abdallah Mzee OmaryMuislam
PWANI
1 Kibaha Mjini Habib MchangeMuislam
3 Kibaha Vijijini Agnes JuliusMkristo
4 Mkuranga Sifa MajuraMkristo
5 Chalinze Mustapha BalicheMuislam
9 Kisarawe Seleman Rajab MuhandoMuislam
MTWARA
1 Mtwara Athumani Jeda EdwinMuislam
2 Masasi Moses Ambros ChiwangaMkristo
3 Newala Adam Sijaona HangwandaMkristo
4 Lulindi Phanuel James MhaikiMkristo
5 Tandahimba Rashid Abubakar matumlaMuislam
6 Mtwara Vijijini AbdulRahman Said SinaniMuislam
LINDI
1 Nachingwea Ali Omar ChitandaMuislam
2 Ruangwa Juma Khamis Lichonyo.Muislam
3 Lindi Mjini Samson Ali NyagaliMkristo
4 Mchinga Rashid Abdallah Njecherani.Muislam
TABORA
1 Urambo Mashariki Msafiri MtemelwaMkristo
3 Igalula Faraji Hussein Katalambula.Muislam
4 Nzega John Masanja Mezza.Mkristo
5 Tabora kaskazini Subiri Salum mmetaMuislam
6 Tabora mjini Alhaji Jaji Musa Almasi Kikwima.Muislam
7 Bukene Dr. Joseph Buganga.Mkristo
8 Igunga Fredrick David KassitaMkristo
KIGOMA
1 Kigoma Kaskzn Zitto KabweMuislam
2 Kigoma Ujiji Ally KhalifaniMuislam
3 Kigoma Kusini Muslim HassanalMuislam
4 Muhambwe Arcardo NtagazwaMkristo
5 Kasulu Mjini Ishimaili Jonathan Luyagaza.Mkristo
6 Kasulu Vijijini Thadeo Gaudence Lukimisha.Mkristo
7 Buyungu Revocatus Sylivanus MasunzuMkristo
8 Kasulu Magharibi Basilus Budidantizirusha BudidaMkristo
 
Bokassa,
Hiyo uliyompa ni mifano michache, balance ya kidini anayoitaka Edwin Mtei-Muasisi wa Chadema,balance hii ndani ya chama alichokiasisi ikoje? Uwiano wa waislam na wakristo ukoje? Mbona hatujamsikia aki-defend religious inbalance ndani ya CDM? Zungumzia kuhusu wajumbe wa baraza kuu la chadema,kamati kuu,mkutano mkuu,BAWACHA,BAVICHA,wabunge,..Au uwiano usio sahihi ameuona kwenye tume peke yake? Labda mnaotetea sumu ya udini na Mtei mngelitolea ufafanuzi na hili.
Hawa walikuwa ni wagombea wa ubunge wa Chadema 2010. Hili nalo walizungumziaje?
Jina la mgombea na jimbo atokaloDini
KILIMANJARO.
1 Moshi Mjini. Philemon NdesamburoMkristo
2 Hai Freeman MboweMkristo
3Moshi Vijijini. Anthony KomuMkristo
4 Rombo Joseph Selasini.Mkristo
5 Vunjo John Mrema.Mkristo
6 Mwanga Shafi Yaperi Msuya.Muislam
7 Siha Eng. Humprey Tuni.Mkristo
8 Same Magharibi Eneza Elikunda Mshana.Mkristo
9 Same Mashariki Naghenjwa Livingstone KaboyokaMkristo
MANYARA.Mkristo
1 Kiteto Victor Kimesera.Mkristo
2 Mbulu Mustapha AkunaayMkristo
4 Hanang Rose KamiliMkristo
5 Babati Mjini Pauline Philipo GekulMkristo
6 Babati Vijijini Francis Peter QamaraMkristo
MARA
1 Tarime Mwita MwikwabeMkristo
2 Rorya Martine Ochola Ndira.Mkristo
3 Musoma Mjini. Vincent Nyerere.Mkristo
4 Mwibara David ChirikoMkristo
5 Bunda Elias Kajeri MaarunguMkristo
6 Serengeti Marwa Ryoba ChachaMkristo
7 Musoma Vijijini Michael M. MakenjiMkristo
DAR ES SALAAM
1 Ubungo John Mnyika.Mkristo
2 Kawe Halima Mdee.Mkristo
3 Ukonga James BinagiMkristo
4 Kinondoni Philip Nyanchini MogendiMkristo
5 Kigamboni Maulidah Komu.Mkristo
6 Ilala Naomi Kaihula.Mkristo
7 Temeke Dikson NghillyMkristo
8 Segerea Fred Mpendazoe.Mkristo
MWANZA
1 Ukerewe Eng. Salvatory Machemuli.Mkristo
2 Kwimba Leticia NyerereMkristo
3 Nyamagana Ezekiah WenjeMkristo
4 Buchosa Martine KaswahiliMkristo
5 Geita Florence MsabilaMkristo
6 Ilemela Hyness David KiwiaMkristo
6 Magu Ndimanya BahatiMkristo
7 Busega Jacta Katinde Levi.Mkristo
8 Nyanghwale Nduru Bright TanganyikaMkristo
9 Busanda Finias Magessa.Mkristo
11 Misungwi Jane Deogratias Kajoki.Mkristo
12 Sumve Milton Fikiri Lutabana.Mkristo
KAGERA
1 Muleba Kaskzn Msedemu MilangaMkristo
2 Karagwe Deusdedit JovinMkristo
3 Bukoba Mjini Wilfred LwakatareMkristo
4 Kyerwa Innocent katoMkristo
6 Nkenge Walter Nyahoza.Mkristo
7 Bukoba vijijini Artides NdibalemaMkristo
8 Biharamulo Magharibi Dr. Anthony G. MbassaMkristo
9 Biharamulo Mashariki Vedastus LukumbuzyaMkristo
10 Ngara Robson Robert MushikaMkristo
MBEYA.
1 Mbeya Mjini. Joseph Mbilinyi.Mkristo
2 Mbeya Vijijini Sambwee ShitambalaMkristo
3 Mbarali Jidawa Hangwa KazamoyoMkristo
4 Kyela Eddo MakataMkristo
5 Mbozi Magharb Silinde David.Mkristo
6 Mbozi Mashark Mwampamba Mtela.Mkristo
7 Rungwe Mash. Balton Gwakisa.Mkristo
8 Rungwe Magh. Yusuph Asukile.Muislam
ARUSHA
1 Karatu Israel Yohana NatseMkristo
2 Arumeru Magh. Martine Ole KisambuMkristo
3 Arusha Mjini Godbless LemaMkristo
4 Arumeru Mash. Joshua Samwel NassariMkristo
5 Longido Paulina LaizerMkristo
6 Monduli Rev. Ole Silanga MollelMkristo
7 Ngorongoro Moringe Lazaro ParkipunyiMkristo
RUKWA
1 Mpanda kati Said ArfiMuislam
2 Nkasi Kaskazini Keissy Salum SoodMuislam
3 Sumbawanga Mjini Veronika Salma MwasaMkristo
4 Kwela Amir NkuluMkristo
5 Kalambo Leonard ChilamboMkristo
6 Mpanda Magh. Daniel Masanja. 7Mkristo
8 Nkasi Kusini Hypolito John KaningaMkristo
SINGIDA
1 Iramba Mash. Aaron Kikaya.Mkristo
2 Singida Mash. Tundu A M. Lissu.Mkristo
3 Singida Mjini Josephat Isango Hadu NyimbaMkristo
4 Iramba Magh. Mkumbo ndasi ShamdabulaMkristo
5 Singida Kask. Msaghaa Omari Kimea.Muislam
6 Manyoni Mash. Musa MalecelaMkristo
7 Manyoni Magh. Donald Madeje LupaaMkristo
8 Singida Mash. Dr. Chritowaja MtindaMkristo
IRINGA.
1 Iringa Mjini. Rev. Peter Simon MsigwaMkristo
2 Njombe Kaskz. Alatanga Nyagawa.Mkristo
4 Kalenga Eng. Ben Isdor KihomweMkristo
5 Makete Moses Klaunt KyandoMkristo
7 Kilolo Dr. Michael MgattaMkristo
8 Njombe Magh. Thomas NyimboMkristo
RUVUMA
1 Songea Mjini Adv. Edson MboggoroMkristo
2 Mbinga Mash Boniface Ngonyani.Mkristo
3 Peramiho Joseph MuhagamaMkristo
4 Mbinga Magh. Cuthbert Ngwatta.Mkristo
7 Tunduru kaskz Abdalah landi DaidiMuislam
SHINYANGA
1 Shinyanga Mjini Phillip ShelembiMkristo
2 Kisesa Erasto TumboMkristo
3 Kahama Charles LubalaMkristo
4 Msalala Edward MlolwaMkristo
5 Meatu Meshakh OpurukwaMkristo
6 Kishapu Paulo Maghembe KanoguMkristo
7 Bukombe Prof. Kulikoyela Kahigi.Mkristo
8 Maswa Mash. Sylvesta KasulumbayiMkristo
9 Bariadi Magh. Zacharia Thomas MakonoMkristo
10 Bariadi Mash. Emmanuel Alphonce KuchibandaMkristo
11 Maswa Magh. John Magale ShibudaMkristo
DODOMA.
1 Kibakwe Benson KigailaMkristo
2 Dodoma Mjini Enock Paulo MhembanoMkristo
5 Bahi Antoni Lyamunda.Mkristo
6 Chilonwa Joel MwakaMkristo
7 Kondoa Kaskz Abbas KondoMuislam
8 Mtera John Lamecky LuboteMkristo
MOROGORO
1 Mvomero Owden matokeoMkristo
2 Kilombero Regia MtemaMkristo
3 Morogoro Kusini Juma Abdul TemboMuislam
4 Morogoro kusn mash Aquiline MagalambuMkristo
5 Morogoro Mjini Aman MwaipajaMkristo
6 Kilosa Zainab KisegereMuislam
7 Mikumi Onesmo Sambo MwaikamboMkristo
8 Gairo Daniel Yustin KambiMkristo
9 Ulanga Magh. Prof. Melchior Emeran MlambitiMkristo
TANGA
1 Korogwe Mjini Calistus Amiri SheikbahaMkristo
2 Tanga Mjini Kassimu Amari MbarakMuislam
3 Handeni Said Salehe MbwetoMuislam
4 Kilindi Pius Mseja Mbetta Mkristo
5 Korogwe Vijijini Aaron MashumveMkristo
6 Lushoto Deogratius Pio KisanduMkristo
7 Mlalo Charles Kagonji.Mkristo
8 Muheza Jumbe SaidMuislam
9 Pangani Abdallah Mzee OmaryMuislam
PWANI
1 Kibaha Mjini Habib MchangeMuislam
3 Kibaha Vijijini Agnes JuliusMkristo
4 Mkuranga Sifa MajuraMkristo
5 Chalinze Mustapha BalicheMuislam
9 Kisarawe Seleman Rajab MuhandoMuislam
MTWARA
1 Mtwara Athumani Jeda EdwinMuislam
2 Masasi Moses Ambros ChiwangaMkristo
3 Newala Adam Sijaona HangwandaMkristo
4 Lulindi Phanuel James MhaikiMkristo
5 Tandahimba Rashid Abubakar matumlaMuislam
6 Mtwara Vijijini AbdulRahman Said SinaniMuislam
LINDI
1 Nachingwea Ali Omar ChitandaMuislam
2 Ruangwa Juma Khamis Lichonyo.Muislam
3 Lindi Mjini Samson Ali NyagaliMkristo
4 Mchinga Rashid Abdallah Njecherani.Muislam
TABORA
1 Urambo Mashariki Msafiri MtemelwaMkristo
3 Igalula Faraji Hussein Katalambula.Muislam
4 Nzega John Masanja Mezza.Mkristo
5 Tabora kaskazini Subiri Salum mmetaMuislam
6 Tabora mjini Alhaji Jaji Musa Almasi Kikwima.Muislam
7 Bukene Dr. Joseph Buganga.Mkristo
8 Igunga Fredrick David KassitaMkristo
KIGOMA
1 Kigoma Kaskzn Zitto KabweMuislam
2 Kigoma Ujiji Ally KhalifaniMuislam
3 Kigoma Kusini Muslim HassanalMuislam
4 Muhambwe Arcardo NtagazwaMkristo
5 Kasulu Mjini Ishimaili Jonathan Luyagaza.Mkristo
6 Kasulu Vijijini Thadeo Gaudence Lukimisha.Mkristo
7 Buyungu Revocatus Sylivanus MasunzuMkristo
8 Kasulu Magharibi Basilus Budidantizirusha BudidaMkristo

Weka na ccm! Weka na cuf ili uzi wako upate nyama!
 
Weka na ccm! Weka na cuf ili uzi wako upate nyama!

List ya CCM ni ndefu sana mkuu,na it is obvious kuwa at least kuna uwiano ingawa wakristo ni wengi. Unaweza kuona hata wabunge walioshinda CCM bungeni,utapata waislam japo wachache. CCM walithubutu hata kuweka wagombea wa dini tofauti kwa kila mkoa. It is shame kwa CDM kuwa vinara wa kuzungumzia udini kama Mtei,wakati kuna maeneo mkoa mzima hawakuthubutu kuweka mgombea muislam.(Dar es salaam,Kilimanjaro,Mwanza,Arusha..) Na hii inadhihirisha kuwa Chadema,ukristo kwanza,ndio sifa nyingine zitazamwe. Na hii inathitisha ukristo ndio dini rasmi ya chama(CDM). Kwa maana nyingine,muislam unaruhusiwa kwenda kuchukua fomu ya kugombea nafasi mbalimbali,ila kwenye mchujo wa kupata mgombea there is a line that you will never cross as long as you are a muslim!
 
List ya CCM ni ndefu sana mkuu,na it is obvious kuwa at least kuna uwiano ingawa wakristo ni wengi. Unaweza kuona hata wabunge walioshinda CCM bungeni,utapata waislam japo wachache. CCM walithubutu hata kuweka wagombea wa dini tofauti kwa kila mkoa. It is shame kwa CDM kuwa vinara wa kuzungumzia udini kama Mtei,wakati kuna maeneo mkoa mzima hawakuthubutu kuweka mgombea muislam.(Dar es salaam,Kilimanjaro,Mwanza,Arusha..) Na hii inadhihirisha kuwa Chadema,ukristo kwanza,ndio sifa nyingine zitazamwe. Na hii inathitisha ukristo ndio dini rasmi ya chama(CDM). Kwa maana nyingine,muislam unaruhusiwa kwenda kuchukua fomu ya kugombea nafasi mbalimbali,ila kwenye mchujo wa kupata mgombea there is a line that you will never cross as long as you are a muslim!

Magamba bana kwa pumba hamjambo,

Hapa unachanganya vitu viwili,

kuteuliwa - ambayo inategemea nia na madhumuni ya mteuzi
kugombea - ambayo ni beyond nia na madhumuni ya mteuzi(if you can call it that way).

Wagombea wa chadema walijitokeza wenyewe, Mtei had nothing to do with it,
Wajumbe wa hii kamati hawakujitokeza wenyewe, Kikwete kawateua.

Umeona tofauti sasa?
 
Bokassa,
Hiyo uliyompa ni mifano michache, balance ya kidini anayoitaka Edwin Mtei-Muasisi wa Chadema,balance hii ndani ya chama alichokiasisi ikoje? Uwiano wa waislam na wakristo ukoje? Mbona hatujamsikia aki-defend religious inbalance ndani ya CDM? Zungumzia kuhusu wajumbe wa baraza kuu la chadema,kamati kuu,mkutano mkuu,BAWACHA,BAVICHA,wabunge,..Au uwiano usio sahihi ameuona kwenye tume peke yake? Labda mnaotetea sumu ya udini na Mtei mngelitolea ufafanuzi na hili.
Hawa walikuwa ni wagombea wa ubunge wa Chadema 2010. Hili nalo walizungumziaje?
Jina la mgombea na jimbo atokaloDini
KILIMANJARO.
1 Moshi Mjini. Philemon NdesamburoMkristo
2 Hai Freeman MboweMkristo
3Moshi Vijijini. Anthony KomuMkristo
4 Rombo Joseph Selasini.Mkristo
5 Vunjo John Mrema.Mkristo
6 Mwanga Shafi Yaperi Msuya.Muislam
7 Siha Eng. Humprey Tuni.Mkristo
8 Same Magharibi Eneza Elikunda Mshana.Mkristo
9 Same Mashariki Naghenjwa Livingstone KaboyokaMkristo
MANYARA.Mkristo
1 Kiteto Victor Kimesera.Mkristo
2 Mbulu Mustapha AkunaayMkristo
4 Hanang Rose KamiliMkristo
5 Babati Mjini Pauline Philipo GekulMkristo
6 Babati Vijijini Francis Peter QamaraMkristo
MARA
1 Tarime Mwita MwikwabeMkristo
2 Rorya Martine Ochola Ndira.Mkristo
3 Musoma Mjini. Vincent Nyerere.Mkristo
4 Mwibara David ChirikoMkristo
5 Bunda Elias Kajeri MaarunguMkristo
6 Serengeti Marwa Ryoba ChachaMkristo
7 Musoma Vijijini Michael M. MakenjiMkristo
DAR ES SALAAM
1 Ubungo John Mnyika.Mkristo
2 Kawe Halima Mdee.Mkristo
3 Ukonga James BinagiMkristo
4 Kinondoni Philip Nyanchini MogendiMkristo
5 Kigamboni Maulidah Komu.Mkristo
6 Ilala Naomi Kaihula.Mkristo
7 Temeke Dikson NghillyMkristo
8 Segerea Fred Mpendazoe.Mkristo
MWANZA
1 Ukerewe Eng. Salvatory Machemuli.Mkristo
2 Kwimba Leticia NyerereMkristo
3 Nyamagana Ezekiah WenjeMkristo
4 Buchosa Martine KaswahiliMkristo
5 Geita Florence MsabilaMkristo
6 Ilemela Hyness David KiwiaMkristo
6 Magu Ndimanya BahatiMkristo
7 Busega Jacta Katinde Levi.Mkristo
8 Nyanghwale Nduru Bright TanganyikaMkristo
9 Busanda Finias Magessa.Mkristo
11 Misungwi Jane Deogratias Kajoki.Mkristo
12 Sumve Milton Fikiri Lutabana.Mkristo
KAGERA
1 Muleba Kaskzn Msedemu MilangaMkristo
2 Karagwe Deusdedit JovinMkristo
3 Bukoba Mjini Wilfred LwakatareMkristo
4 Kyerwa Innocent katoMkristo
6 Nkenge Walter Nyahoza.Mkristo
7 Bukoba vijijini Artides NdibalemaMkristo
8 Biharamulo Magharibi Dr. Anthony G. MbassaMkristo
9 Biharamulo Mashariki Vedastus LukumbuzyaMkristo
10 Ngara Robson Robert MushikaMkristo
MBEYA.
1 Mbeya Mjini. Joseph Mbilinyi.Mkristo
2 Mbeya Vijijini Sambwee ShitambalaMkristo
3 Mbarali Jidawa Hangwa KazamoyoMkristo
4 Kyela Eddo MakataMkristo
5 Mbozi Magharb Silinde David.Mkristo
6 Mbozi Mashark Mwampamba Mtela.Mkristo
7 Rungwe Mash. Balton Gwakisa.Mkristo
8 Rungwe Magh. Yusuph Asukile.Muislam
ARUSHA
1 Karatu Israel Yohana NatseMkristo
2 Arumeru Magh. Martine Ole KisambuMkristo
3 Arusha Mjini Godbless LemaMkristo
4 Arumeru Mash. Joshua Samwel NassariMkristo
5 Longido Paulina LaizerMkristo
6 Monduli Rev. Ole Silanga MollelMkristo
7 Ngorongoro Moringe Lazaro ParkipunyiMkristo
RUKWA
1 Mpanda kati Said ArfiMuislam
2 Nkasi Kaskazini Keissy Salum SoodMuislam
3 Sumbawanga Mjini Veronika Salma MwasaMkristo
4 Kwela Amir NkuluMkristo
5 Kalambo Leonard ChilamboMkristo
6 Mpanda Magh. Daniel Masanja. 7Mkristo
8 Nkasi Kusini Hypolito John KaningaMkristo
SINGIDA
1 Iramba Mash. Aaron Kikaya.Mkristo
2 Singida Mash. Tundu A M. Lissu.Mkristo
3 Singida Mjini Josephat Isango Hadu NyimbaMkristo
4 Iramba Magh. Mkumbo ndasi ShamdabulaMkristo
5 Singida Kask. Msaghaa Omari Kimea.Muislam
6 Manyoni Mash. Musa MalecelaMkristo
7 Manyoni Magh. Donald Madeje LupaaMkristo
8 Singida Mash. Dr. Chritowaja MtindaMkristo
IRINGA.
1 Iringa Mjini. Rev. Peter Simon MsigwaMkristo
2 Njombe Kaskz. Alatanga Nyagawa.Mkristo
4 Kalenga Eng. Ben Isdor KihomweMkristo
5 Makete Moses Klaunt KyandoMkristo
7 Kilolo Dr. Michael MgattaMkristo
8 Njombe Magh. Thomas NyimboMkristo
RUVUMA
1 Songea Mjini Adv. Edson MboggoroMkristo
2 Mbinga Mash Boniface Ngonyani.Mkristo
3 Peramiho Joseph MuhagamaMkristo
4 Mbinga Magh. Cuthbert Ngwatta.Mkristo
7 Tunduru kaskz Abdalah landi DaidiMuislam
SHINYANGA
1 Shinyanga Mjini Phillip ShelembiMkristo
2 Kisesa Erasto TumboMkristo
3 Kahama Charles LubalaMkristo
4 Msalala Edward MlolwaMkristo
5 Meatu Meshakh OpurukwaMkristo
6 Kishapu Paulo Maghembe KanoguMkristo
7 Bukombe Prof. Kulikoyela Kahigi.Mkristo
8 Maswa Mash. Sylvesta KasulumbayiMkristo
9 Bariadi Magh. Zacharia Thomas MakonoMkristo
10 Bariadi Mash. Emmanuel Alphonce KuchibandaMkristo
11 Maswa Magh. John Magale ShibudaMkristo
DODOMA.
1 Kibakwe Benson KigailaMkristo
2 Dodoma Mjini Enock Paulo MhembanoMkristo
5 Bahi Antoni Lyamunda.Mkristo
6 Chilonwa Joel MwakaMkristo
7 Kondoa Kaskz Abbas KondoMuislam
8 Mtera John Lamecky LuboteMkristo
MOROGORO
1 Mvomero Owden matokeoMkristo
2 Kilombero Regia MtemaMkristo
3 Morogoro Kusini Juma Abdul TemboMuislam
4 Morogoro kusn mash Aquiline MagalambuMkristo
5 Morogoro Mjini Aman MwaipajaMkristo
6 Kilosa Zainab KisegereMuislam
7 Mikumi Onesmo Sambo MwaikamboMkristo
8 Gairo Daniel Yustin KambiMkristo
9 Ulanga Magh. Prof. Melchior Emeran MlambitiMkristo
TANGA
1 Korogwe Mjini Calistus Amiri SheikbahaMkristo
2 Tanga Mjini Kassimu Amari MbarakMuislam
3 Handeni Said Salehe MbwetoMuislam
4 Kilindi Pius Mseja MbettaMkristo
5 Korogwe Vijijini Aaron MashumveMkristo
6 Lushoto Deogratius Pio KisanduMkristo
7 Mlalo Charles Kagonji.Mkristo
8 Muheza Jumbe SaidMuislam
9 Pangani Abdallah Mzee OmaryMuislam
PWANI
1 Kibaha Mjini Habib MchangeMuislam
3 Kibaha Vijijini Agnes JuliusMkristo
4 Mkuranga Sifa MajuraMkristo
5 Chalinze Mustapha BalicheMuislam
9 Kisarawe Seleman Rajab MuhandoMuislam
MTWARA
1 Mtwara Athumani Jeda EdwinMuislam
2 Masasi Moses Ambros ChiwangaMkristo
3 Newala Adam Sijaona HangwandaMkristo
4 Lulindi Phanuel James MhaikiMkristo
5 Tandahimba Rashid Abubakar matumlaMuislam
6 Mtwara Vijijini AbdulRahman Said SinaniMuislam
LINDI
1 Nachingwea Ali Omar ChitandaMuislam
2 Ruangwa Juma Khamis Lichonyo.Muislam
3 Lindi Mjini Samson Ali NyagaliMkristo
4 Mchinga Rashid Abdallah Njecherani.Muislam
TABORA
1 Urambo Mashariki Msafiri MtemelwaMkristo
3 Igalula Faraji Hussein Katalambula.Muislam
4 Nzega John Masanja Mezza.Mkristo
5 Tabora kaskazini Subiri Salum mmetaMuislam
6 Tabora mjini Alhaji Jaji Musa Almasi Kikwima.Muislam
7 Bukene Dr. Joseph Buganga.Mkristo
8 Igunga Fredrick David KassitaMkristo
KIGOMA
1 Kigoma Kaskzn Zitto KabweMuislam
2 Kigoma Ujiji Ally KhalifaniMuislam
3 Kigoma Kusini Muslim HassanalMuislam
4 Muhambwe Arcardo NtagazwaMkristo
5 Kasulu Mjini Ishimaili Jonathan Luyagaza.Mkristo
6 Kasulu Vijijini Thadeo Gaudence Lukimisha.Mkristo
7 Buyungu Revocatus Sylivanus MasunzuMkristo
8 Kasulu Magharibi Basilus Budidantizirusha BudidaMkristo
Si wote ni wakristu ktk list yako+ Ujue waislam walidhoofishwa kujiunga kutokana na propaganda za CCM na CUF.Kuanzia ukabila na baadaye udini.Kwa hiyo waislam wakajiweka kkt CCM na CUF zaidi.Tuwe fair.Km waislam wangekuwa na nia na chadema wangechukua nafasi kuanzia za udiwani hadi ubunge.Sidhani km Chadem walikuwa wanapeleka watu katika kata na majimbo ambayo kuna watu wa kabila tofauti na wachanga au dini tofauti na Ukwristu.Waislam wa maeneo husika hawakuwa commited enough.Walioona mbali walijiweka chadema as km kichwa ipo safi na nafasi ipo huhitaji tembeza hela au chochote cha aina ya CCM na CUF
 
mzee mtei ukutenda vema!,kama kweli alichokisema amezamilia nasisi tunapaswa kuoji kwanini uongozi wa juu wa chadema wote ni wakirsito tana wanatoka sehemu moja ya tanzania?
 
waislam wamekwisha ona mbali kuhusu chadema kwa kuanzia ndani ya chama tu,je ikikamata dola? siitakuwa vatikani tanzani@namnani
 
waislam wamekwisha ona mbali kuhusu chadema kwa kuanzia ndani ya chama tu,je ikikamata dola? siitakuwa vatikani tanzani@namnani

Sidhani km unachohamasisha ni kizuri hivyo.Prof Safari yupo Makini,asingekuwepo ndani.But hembu tuangalie kwa upande mwingine ili angalau ujifunze fikiri zaidi. Ungependa ishi wapi Vatican au pakistan,afghanistan,bagdad, au nchi gani ktk mashariki ya kati?Dont say Qatar,Dubai kwani zimetengenezwa na makafir sana,bahrain unaijua ilivyo.
 
Fikiria kwa makini alichokisema

Kisha uamue kama alichokisema ni uongo au ukweli?

ishu hapa ni kwamba kuna maslahi ya aina mbalimbali ktk katiba tunayoitaka.Moja ambayo ni sensitive na controversial ni ya kadhi,mahakama.Nyingine ni OIC,membership.Tume iliyoundwa imelalamikiwa kwa kukosa balance ya members kwa dini zao.ukristo,uislam.Kwa baadhi ya watu, kukosekana kwa hii balance kumepelekea kuashiria kuwa dini fulani ina hidden agenda.Lakini, inawezekana kabisa adidu za rejea za hii tume ni kuratibu maoni ya Watanzania wote na siyo maoni ya tume.kama ndivyo basi,ubora wa kazi ya tume utategemea uadilifu,ujuzi,udhibiti wa ubora wa kazi yenyewe kuanzia mwanzo wa mchakato hadi mwisho tume itakapotoa ripoti yake.Hizi ni baadhi ya sifa husika tu.Lakini pia, uthibitisho kwa umma kwamba ripoti iliyotolewa na tume hii ndiyo ambayo in fact umma umepewa taarifa zitokanazo nayo. Kama tume hii na utendaji wake vimekosa sifa nilizozitaja au zaidi, basi hata mimi I SMELL A RAT kama mzee Mtei!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom