Takashi,
..asante, na mimi nakuunga mkono 100%.
..sasa maadamu wewe umejitambulisha kwamba unatoka Zanzibar, je una idea yoyote ile wale wa-ZNZ wanaotaka "muungano wa mkataba" wanapendekeza mambo gani yawepo ktk huo "mkataba"?
..kura ya maoni inaogopwa hata na wafuasi wa Uamsho kama Mansour Himid. Hoja ya Mansour ni kwamba kuna wa-Znz wengi huku Tanganyika, inakadiriwa D'Salaa wapo 350,000, ambao wakipewa nafasi kupiga kura, upande unaotaka KUDUMISHA MUUNGANO utashinda.
..je, msimamo wako kuhusu kura ya maoni ni upi? je, wa-Znz wanaofaidi matunda ya muungano walioko huku Tanganyika nao wapewe nafasi ya kupiga kura ya maoni?
..suala lingine ambalo ningependa kujua msimamo wako ni suala la URAIA. Umesema unataka muungano uvunjwe. Je, utakapovunjwa how should Tanganyika deal na wa-Znz walioko huku?
Aisee kwa maelezo yako kumbe kuna Wazenji lukuki bara, tena kumbe kuna Wanyamwezi walioomba uraia huko 1963..haya yetu macho endeleeni Wazenzibar..