Mkulu alikuwa swaumu imemkubali au aliteleza ulimi?Huu mkoa wa Zanzibar naona nao umezidi kelele, mbona wa mkoa wa Mwanza na kwingine kama Iringa, Mbeya wapo kimy tu, tunakalea kila siku lakini haka choki kudeka na kulalamika, aaaah, kama kamekua si kaende kakajitegemee bwana, kasehemu kenyewe kadogo, wilaya ya Mufindi kubwa!!!!
"...Kwa ujumla tumeridhika kuwa utekelezaji umekuwa mzuri kwa upande wa mamlaka zinazohusika na usafirishaji majini yaani SUMATRA, Zanzibar Maritime Authority na mamlaka za Bandari za nchi zetu mbili. Ushirikiano baina ya mamlaka hizo sasa ni mzuri ....."
Source: hotuba ya mkulu. link nchizetumbili
je mikoa iko miwili? Mkoa wa Tanganyika na mkoa wa Zanzibar?
Let Zanzibar go! Au tunasubiri UAMSHO uwezeshwe na US na NATO? Sasa imekuwa kawaida kwa wababe hao kutafuta mwanya wa kuzichafua nchi zetu.