kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 811
Hivi jamani hadi hii leo bado kuna baadhi ya watu kiswahili kinawapa tabu kiasi hichi yaaani kinawapa mashaka kukifahamu? Mzee Hassan alisema kama hivi ifuatavyo ... ikiwa atamuwa kurejesha kadi yaani kwa hiyari yake basi atampa Mzee piusi msekwa kwani ndie aliyebakia muasisi mwenziwe wa CCM (kumbe kulikuwa na haja ya kuweka kiswahili kuwa lugha ya taifa)
ahsante kwa kuliona hili watu tunachangia mjadala bila kusoma na kuelewa