uwe na heshima na watu waliokuzidi umri, hilo ni tusi.sasa ngoja na wewe tukujibuHuyu Moyo anatumia Masaburi kuwaza...hivi nikiwauliza wazenji Tunawanyonya Kitu gani nyie?????
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Huyu Mzee wetu na yeye MUAMSHO nini?
Ni pale tutakapokuwa na demokrasia ya kweli tukianza na demokrasia ndani ya suala zima la Muungano; ni pale ambapo tutakuwa na uvumilivu wa kuthamini mawazo ya mtu bila ya kumpachika jina la dini, itikadi ya kisiasa au jimbo; ni pale ambapo tutaanza kujadili na kushughulikia maendeleo badala ya kulalamika. Kwa vile siku hivyo bado, sio Mzee Moyo, Mtanzania yeyote ambae ana mawazo tafauti na ya wengine, atasakamwa na kupachkwa majina ya kila namna.waswahili bwana, kila mwenye mawazo tofauti ana kasoro...bara ataitwa MUAMSHO na Znz ataitwa HIZBU!!!
ni lini watu watajadili issues na si mitazamo ya watu??!!!!
Ni pale tutakapokuwa na demokrasia ya kweli tukianza na demokrasia ndani ya suala zima la Muungano; ni pale ambapo tutakuwa na uvumilivu wa kuthamini mawazo ya mtu bila ya kumpachika jina la dini, itikadi ya kisiasa au jimbo; ni pale ambapo tutaanza kujadili na kushughulikia maendeleo badala ya kulalamika. Kwa vile siku hivyo bado, sio Mzee Moyo, Mtanzania yeyote ambae ana mawazo tafauti na ya wengine, atasakamwa na kupachkwa majina ya kila namna.
......Kwa vile siku hivyo bado, sio Mzee Moyo, Mtanzania yeyote ambae ana mawazo tafauti na ya wengine, atasakamwa na kupachkwa majina ya kila namna.
MAMMAMIA hapa tulipo fikia tuiache Zanzibar iamue mstakabali wake. Wiki iliyopita niliposoma hotuba ya Alli Ameir nilitambua kwamba analalilia Muungano kwasababu zake binafsi siyo kwa maslahi ya Zanzibar.
Kama utaangalia jawabu yangu hii ambayo umeniuliza maswali, utagundua kuwa kwanye badiko langu la #2nilitumia neno MUAMSHO kwa kejeli kutokana na tabia iliyozuka hapa ya kuwapachika jina hilo wale wote wanaotetea mabadiliko ya Muungano, hata kama wanatoka ndani ya GNU au wanachama wa CCM, jambo ambalo sio kweli na ninalipinga.Well said...
Lakini si ni kweli hatua huanza na moja??? vinginevyo ni kipi kinakufanya uone siku hiyo haijafika na kama ni kweli kuwa haijafika ni kipi kitakujulisha kuwa siku hiyo imefika....na kama maswali hayo hayatoshi, ni nani wa kutuonyesha njia ya kuelekea katika siku hiyo mpaka iwe..............
Nadhani wewe, mimi na yule tusiwe ni miongoni mwa wenye sifa hizo za kupachika watu majina.....it should begin with us, otherwise, who else???
Mkuu, inapofikia mahali Mzee kama huyu naye anasema tu bila kuwa na ground, lipo tatizo.
Wznz wanataka sana muungano hawasemi tu ndiyo maana wamebaki kuzunguka mbuyu wakiimba serikali 3, mkataba, ushirikiano, mkataba wa Uswis n.k. Kelele zote za Vunja muungano sasa kimyaaa!
Wanajaribu kutikisa kibiriti, wamuulize Salimin Amour aliyekwenda Dodoma kwa mbwembe, baada ya kikao akarudi na kukuta kila kitu 'upside down' wakiwemo walinzi wake. Kuanzia siku hiyo hadi leo Komandoo Kimyaa.
Huyu Moyo mtoto wake si alitaka kugombea Ubunge Bara kama alivyokuwa wa Mwinyi n.k. Sasa analeta kelele mtoto wake atagombea wapi next time, maana Tanganyika inazinduka, hakuna kumuonea mtu huruma.
ZNZ semeni, mkataba unahusu nini?
Serikali 3 mtachangia nini kuendesha hiyo ya tatu?
Serikali 3, hiyo ya tatu itafanya kitu gani zaidi ya zile mbili?
LET ZNZ GO!
Watu wengine bana sasa kama anataka kudai Jamhuri ya Watu wa Zanzibar kwanini asirudishe kadi tu ya CCM na kuasisi chama kitakachodai Jamhuri hiyo? Tena kutokana na uzoefu wake angeweza kuwa ni msaada mkubwa sana kwa wale wanaotaka Zanzibar itokwe kwenye Muungano.