Mzee Falijara: Walimu ni watu wadogo sana katika Nchi

Sishangai sana kwa wazee kama hawa kutoa kauli za namna hiyo kwa sababu wanaishi kwa ufadhili wa ccm na hawaoni tatizo ambalo linawakabili waalimu la kuishi maisha ya shida na huku wakidai haki zao miaka nendamiaka rudi. Makada hawa wanaona kili kitu kinachofanyika sasa ni nguvu toka vyama vya siasa lakini wanasahau madai ya waalimu ni ya muda mrefu na yamekuwa yakipuuzwa sasa wamefikia mwisho wa kuvumilia makada wanakimbilia sababu nyepesi. Na tatizo kubwa hawa wanasiasa watoto wao aidha wako shule za nje au wako shule za ada kubwa hivyo hata adha ya mgomo wa waalimu hawapati madhara yake kama mimi na wewe Tuwapuuze makada hawa tuwasaidie kwa kupiga kelele ili waalimu waboreshewe huduma, ili watoe elimu stahiki kwa watoto wetu.
Katika kipindi cha tuongee asubuhi,

Mzee Falijara kada wa CCM akiwa na Naibu katibu Mkuu Wizara ya Elimu ameamuru jeshi la polisi kukamata na kuwatia ndani Walimu wote wanaogoma.

Ameenda mbali na kusema Walimu ni watu wadogo sana katika nchi hii na wanatumiwa ili kuyumbisha Serikali ya Awamu ya Nne.

Amemsisitiza IGP Mwema kuwapa amri makamanda wote ya kuwakamata Walimu wote wanaoendelea kugoma.

Source: Star Tv
 
Kama washauri wa JK ndio hawa Kweli tutaweza kupigana VITA na Malawi?

Kweli wazungu hawakukosea waliposema IF YOU THINK EDUCATION IS EXPENSIVE THEN TRY IGNORANCE
 
...watu wadogo sana? akumbuke jumba liwe kubwa vipi, funguo yake huwa ni ndogo sana pengine kuliko kifaa chochote ktk jumba hilo, lakin utajua umuhimu wake siku ukipoteza.
 
Ukisikia kuchoka, kufika mwisho wa maisha ya hapa duniani ndiyo huyo Farijala na CCM yake. Huyo ni 'DEAD MAN WALKING'

Kwa hali hii Elimu itazidi kuwa duni na duni
 
who si it sorry she? |Hilo jina lenyewe ukilikatiza katiza wawezaishia kwene matusi, hebuaache tusijemtukana mtu mzima huyu
 
.....Hivi kweli mtu akidai haki yake aliyoikosa miaka zaidi ya kumi, vilevile akiwa kwenye lindi la matatizo ya kupambana na maisha kwa ugumu wake. Leo unakuja kumwambia yeye si kitu na anatumika? Bila ya hawa waalimu tusingekuwa na Madaktari, Maengineer, Wanasheria, wahasibu, wachumi, na wataalamu wengine wote. Huyu Mzee atakuwa ameongeza hasira ya waalimu dhidi ya serikali. Walifanikiwa kupandikiza chuki kwa madaktari dhidi ya wananchi, ila kwa hili la waalimu ni budi serikali ibadili namna ya kumaliza mgogoro huu uliodumu kwa muda mrefu sana.

Hapo kwenye red - naomba kuongezea - HATA RAIS WA KWANZA TANZANIA ALIKUWA MWALIMU - Hata JK alifundishwa na waalimu akafika hapo alipofika ................au wamesahau?????

Nakugongea LIKE kwa maneno yako ya UKWELI
 
Leo anafoka '"
hana lolote anauza sura tuu akamfokee mkewe/mumewe
anasema kwanza walimu ni watu wadogo sana
yeye ni nani hapa TZ mpaka awakashifu Walimu?udogo wao hauwafanyi wanyimwe haki yao,akae akijua sisimizi wakiamua wanaweza kumwangusha Tembo...
anamwambia IGP Mwema kamata wote weka ndani,pia hao watoto wanaoandamana kamata weka ndani
kauli za mtu mzima hovyo
..Rais si wakuchezewa..bla bla...
RAISI GANI ASIYEWEZA KUSIMAMIA HATA FAMILIA YAKE?NCHI ISHAMSHINDA
 
It should be noted, first and foremost, that Article 9 of Convention No. 87 states that "the extent to which the guarantees provided for in this Convention shall apply to the armed forces and the police shall be determined by national laws or regulations " (ILO, 1996a, p. 528). As a result, the Committee on Freedom of Association has refused to find an objection to legislations which deny the right to strike to such groups of workers.


Since the Committee on Freedom of Association first laid down its earliest principles on the subject of strikes, and given that strike action is one of the fundamental means for rendering effective the right of workers' organizations "to organize their … activities" (Article 3 of Convention No. 87), the Committee has chosen to recognize a general right to strike, with the sole possible exceptions being those which may be imposed for public servants and workers in essential services in the strict sense of the term.


Obviously, the Committee on Freedom of Association also accepts the prohibition of strikes in the event of an acute national emergency (ILO, 1996d, para. 527), as will be seen in a later section on this question. The Committee of Experts has in turn adopted this approach.


Public service
Both supervisory bodies were cognizant, where public servants are concerned, of the consensus reached during the preparatory discussions leading to the adoption of Convention No. 87, to the effect that "the recognition of the right of association of public servants in no way prejudges the question of the right of such officials to strike" (ILO, 1947, p. 109). The Committee on Freedom of Association and the Committee of Experts both agree that when public servants are not granted the right to strike, they should enjoy sufficient guarantees to protect their interests, including appropriate,impartial and prompt conciliation and arbitration procedures to ensure that all parties may participate at all stages and in which arbitration decisions are binding on both parties and are fully and promptly applied.

It should also be stressed that, while the provisions of Convention No. 151 and of Recommendation No. 159 on labour relations in the public service adopted in 1978 cover the settlement of disputes, among other things, no explicit mention is made of the right to strike for public servants.That being said, it should be emphasized that on the question of the right to strike in the public service, the ILO's supervisory bodies' approach is based on the fact that the concept of public servant
varies considerably from one country to another.

It may be deduced from the statements of the Committee of Experts and of the Committee on Freedom of Association that the concept of public servants, where their possible exclusion from the right to strike is concerned, relates to public servants who exercise authority in the name of the State (ILO, 1996d, para. 534). The implications of this approach are important in that the guidelines for determining those public servants who may be excluded no longer emanates from the application to them of the national law governing the public service, but from the nature of the functions that such
public servants carry out.

Thus, while the right to strike of officials in the employ of ministries and other comparable government bodies, as well as that of their assistants and of officials working in the administration of justice and of staff in the judiciary, may be subject to major restrictions or even prohibitions (ibid., paras. 537 and 538), the same does not apply, for instance, to persons employed by state enterprises.

To date, in response to complaints submitted to it, the Committee on Freedom of Association has stated that certain categories of public servant do not exercise authority in the name of the State, such as public servants in state-owned

commercial or industrial enterprises (ibid., para. 532), in oil, banking and metropolitan transport undertakings or those employed in the education sector and, more generally, those who work in state companies and enterprises (ILO, 1984a, 233rd Report, para. 668; ILO, 1983b, 226th Report, para. 343; and ILO, 1996d, note to para. 492).

Finally, it should be noted that, among the categories ofpublic servant who do not exercise authority in the name of the

State, those who carry out an essential service in the strict sense of the term may be excluded from having recourse to strike action. This concept will be examined in the following paragraphs. The Committee of Experts shares the principles of the Committee on Freedom of Association regarding situations in which the right to strike is severely restricted or even prohibited. In this connection, the Committee of Experts has observed that "a too broad definition of the concept of public servant is likely to result in a very wide restriction or even a prohibition of the right to strike for these workers" (ILO, 1994a, para. 158). The Committee has pointed out that one of the main difficulties is due to the fact that the concept itself varies considerably from one legal system to another. For example, the terms civil servant, fonctionnaire and funcionario are far from having the same coverage ; furthermore, an identical term used in the same language does not always mean the same thing in different countries ; lastly, some systems classify public servants in different categories, with different status, obligations and rights, while such distinctions do not exist in other systems
or do not have the same consequences. The Committee has considered that although it cannot overlook
the special characteristics and legal and social traditions of each country, it must endeavour to establish fairly uniform criteria in order to examine the compatibility of legislation with the provisions of Convention No. 87. For this reason it has judged it futile to try to draw up an exhaustive and universally applicable list of categories of public servant who should enjoy the right to strike or be denied such a right given that they exercise authority in the name of the
State. The Committee is aware of the fact that, except for the groups falling clearly into one category or another, the matter will frequently be one of degree. For this reason, in borderline cases, it has suggested one solution might be "not to impose a total prohibition of strikes, but rather to provide for the maintaining by a defined and limited category of staff of a negotiated minimum service when a total and prolonged stoppage might result in serious consequences
for the public" (ILO, 1994a, para. 158).
 
Sishangai na sitoshangaa kusikia kauli mufilisi kama hizo kutoka kwa viongozi walioshindwa kuongoza. Njaa hutulizwa na shibe na si kauli tamu wala za kutishia, kwani kila kitisho huzoeleka. Hao polisi wakuwakamata walimu, wanashibisha matumbo yao kwa fedha za laana na mali zilizopatikana kwa njia za dhuluma, vinginevyo wasingekuwa vifua mbele kutii amri dhalili kama hizo.

Tuwe wakweli, mkate ni shilingi 2,000/= huku wilayani, nyama kilo moja 6,500/=, mchele kilo 2,000/=, mafuta ya kula kibaba 500/=, sukari kilo 2,000/=. Kwa huo mlo mmoja wa siku ongeza maji ya kupikia ambayo dumu moja la lita 20 linauzwa shilingi 1,000/=. Unatakiwa uwe na shilingi zisizopungua 14,000/=. Ukipika harage kilo ni 2,000/=. Kwa mwezi ni shilingi 420,000/=. Masikini mwalimu wangu mnamlipa 240,000/= ati waziri bila hata aibu anajigamba tumewaongeza 15% (36,000/=), yaani mwalimu ashindie mnavu mwezi mzima, na hata kipande cha sabuni ashindwe kununua, loooooh.

Mwalimu hana pa kupatia rushwa, hana sitting allowance, hana travel allowance, hana upkeep allowance, hana intertainment allowance, halafu mnamtaka akafundishe kwa uadilifu na umakini huku akipiga miayo!!!!!!!!!!! mbona ninyi mmejirundikia miallowance kibao kwa ajili ya kuchana makuku na bia pale chako ni chako. Mnalingamiza taifa, na mtalipa ghali sana ninyi na vizazi vyenu, historia huwa haifutiki, bali inatamalaki.
 
  • Thanks
Reactions: Awo
Ameenda mbali na kusema Walimu ni watu wadogo sana katika nchi hii na wanatumiwa ili kuyumbisha Serikali ya Awamu ya Nne.

Sasa hizi ndizo dharau zenyewe tunazozisema. Kwa hiyo huu ndio Mtazamo wa CCM kwa Walimu?
 
Maskini ya mungu walimu wang ninyi ndo huwa mko mstari wa mbele kuhakikisha watawala wanatawala asa mbona wanawala eeh jamani hebu fikiria mbunge mil 11 wewe ticha cheche...me congei saaana mtajua wenyewe la kufanya....any way Tz bila CCM YAWEZEKANA EBOOOO!
 
He is just suffering from narrow mindedness, maana angekuwa na upeo wa kutosha asingethbutu kusema hayo na hawezi kuona umuhimu wa walimu kama hakwenda shule he is just empty headed
 
Ngaliba Dume
ameamuru jeshi la polisi kukamata na kuwatia ndani Walimu wote wanaogoma.
Ameenda mbali na kusema Walimu ni watu wadogo sana katika nchi hii na wanatumiwa ili kuyumbisha Serikali ya Awamu ya Nne

Mkuu, hapo kwenye red haitekelezeki. Magereza waliyapamua lini kufunga zaidi ya 50% ya watumishi wa serikali? Kuamini yaliyosemwa kwenye blue ni kujidanganya. Kama ni watu wadogo sana mbona juzi polisi walishinda wakiwatawanya wanafunzi wao kwa marungu na mabomu nchi nzima? Hao si walimu, ni wanafunzi wao! Bado wazazi wametulia kwanza! Kibarua cha polisi kilikuwa hicho tu kupigana na wanafunzi. Kisa? Walimu! Watu wadogo hao?
 
Katika kipindi cha tuongee asubuhi,

Mzee Falijara kada wa CCM akiwa na Naibu katibu Mkuu Wizara ya Elimu ameamuru jeshi la polisi kukamata na kuwatia ndani Walimu wote wanaogoma.

Ameenda mbali na kusema Walimu ni watu wadogo sana katika nchi hii na wanatumiwa ili kuyumbisha Serikali ya Awamu ya Nne.

Amemsisitiza IGP Mwema kuwapa amri makamanda wote ya kuwakamata Walimu wote wanaoendelea kugoma.

Source: Star Tv
Akafundishe yeye na mke wake
 
Ila timing ya huu mgomo ndo imeniacha na maswali mengi.kuna sensa na pia mtihani wa darasa la saba.mambo muhimu sana kwa taifa na walimu ndo wametegea hapo ili kuyavuruga endapo hawatapandishiwa mishahara kwa 100% WHICH IS IMPOSSIBLE.
Wananikumbusha mgaya alipotegea uchaguzi mkuu 2010 kisha akaitisha mgomo wa wafanyakazi wote.mwisho wake waliambiwa kama kura zenu ninyimeni tu ila madai yenu hayatekelezeki NA ATAKAYEGOMA ATAFUKUZWA KAZI NA KUPOTEZA HAKI ZAKE.
Madaktari nao wametest zari mmeona matokeo.
JE WALIMU WATAWEZA ?
 
Sishangai na sitoshangaa kusikia kauli mufilisi kama hizo kutoka kwa viongozi walioshindwa kuongoza. Njaa hutulizwa na shibe na si kauli tamu wala za kutishia, kwani kila kitisho huzoeleka. Hao polisi wakuwakamata walimu, wanashibisha matumbo yao kwa fedha za laana na mali zilizopatikana kwa njia za dhuluma, vinginevyo wasingekuwa vifua mbele kutii amri dhalili kama hizo.

Tuwe wakweli, mkate ni shilingi 2,000/= huku wilayani, nyama kilo moja 6,500/=, mchele kilo 2,000/=, mafuta ya kula kibaba 500/=, sukari kilo 2,000/=. Kwa huo mlo mmoja wa siku ongeza maji ya kupikia ambayo dumu moja la lita 20 linauzwa shilingi 1,000/=. Unatakiwa uwe na shilingi zisizopungua 14,000/=. Ukipika harage kilo ni 2,000/=. Kwa mwezi ni shilingi 420,000/=. Masikini mwalimu wangu mnamlipa 240,000/= ati waziri bila hata aibu anajigamba tumewaongeza 15% (36,000/=), yaani mwalimu ashindie mnavu mwezi mzima, na hata kipande cha sabuni ashindwe kununua, loooooh.

Mwalimu hana pa kupatia rushwa, hana sitting allowance, hana travel allowance, hana upkeep allowance, hana intertainment allowance, halafu mnamtaka akafundishe kwa uadilifu na umakini huku akipiga miayo!!!!!!!!!!! mbona ninyi mmejirundikia miallowance kibao kwa ajili ya kuchana makuku na bia pale chako ni chako. Mnalingamiza taifa, na mtalipa ghali sana ninyi na vizazi vyenu, historia huwa haifutiki, bali inatamalaki.

kwa mawazo yako mwalimu akipokea mshahara wa milioni moja ,huo mkate ataununua bei gani?
Kama serikali ikubali madai hayo na kupandisha mishahara ujue utakua unaenda sokoni na gunia la noti kununua njegere.
 
Mnamshangaa mjinga huyo, katika nchi hii wajinga wengi wapo DAR na ndio kama huyo mzee akiitiwa futari wakati huu wa mfungo na rais au mkuu wa mkoa anatamani kulamba miguu yake. shame on him.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom