Mzee Falijara: Walimu ni watu wadogo sana katika Nchi

Katika kipindi cha tuongee asubuhi,

Mzee Falijara kada wa CCM akiwa na Naibu katibu Mkuu Wizara ya Elimu ameamuru jeshi la polisi kukamata na kuwatia ndani Walimu wote wanaogoma.

Ameenda mbali na kusema Walimu ni watu wadogo sana katika nchi hii na wanatumiwa ili kuyumbisha Serikali ya Awamu ya Nne.

Amemsisitiza IGP Mwema kuwapa amri makamanda wote ya kuwakamata Walimu wote wanaoendelea kugoma.

Source: Star Tv

kama una hakika ulimsikia huyo mtu verbatim sikuelewi ni kwa nini kwenye jina lake unatanguliza prefix ya Mzee?! au ni Mzee jina? maana huyu angelikuwa mzee kweli angelikuwa anajiheshimu na kuheshimu wanataaluma hawa ambao ndio chanzo cha kuwa tulivyo sisi tunaojiona leo tuna nafasi nzuri na vigogo!! he must be suffering from some unknown mental disorder. down with his superiority complex!
 
Katika kipindi cha tuongee asubuhi,

Mzee Falijara kada wa CCM akiwa na Naibu katibu Mkuu Wizara ya Elimu ameamuru jeshi la polisi kukamata na kuwatia ndani Walimu wote wanaogoma.

Ameenda mbali na kusema Walimu ni watu wadogo sana katika nchi hii na wanatumiwa ili kuyumbisha Serikali ya Awamu ya Nne.

Amemsisitiza IGP Mwema kuwapa amri makamanda wote ya kuwakamata Walimu wote wanaoendelea kugoma.

Source: Star Tv

serikali yenyewe imeshayumba kiasi cha kutaka kudondoka wakati wowote.
 
alijua akisema hivyo pengine mkuu atamuona anafaa kumbe mwenzake ana list yake na yeye ninauhakika hayupo. aache ujinga na maneno yasiyo na akili.laiti angekuwa amekwenda shule asingalisema utumbo kama huu, hivi walimu wote wasipokwenda makazini anajua madhara yake kwa nchi na maendeleo ya nchi hiyo, au anadhania mwalimu alikuwa mjinga aliposisitiza elimu nchini? pamb.............................fu zake.
 
Ila timing ya huu mgomo ndo imeniacha na maswali mengi.kuna sensa na pia mtihani wa darasa la saba.mambo muhimu sana kwa taifa na walimu ndo wametegea hapo ili kuyavuruga endapo hawatapandishiwa mishahara kwa 100% WHICH IS IMPOSSIBLE.
Wananikumbusha mgaya alipotegea uchaguzi mkuu 2010 kisha akaitisha mgomo wa wafanyakazi wote.mwisho wake waliambiwa kama kura zenu ninyimeni tu ila madai yenu hayatekelezeki NA ATAKAYEGOMA ATAFUKUZWA KAZI NA KUPOTEZA HAKI ZAKE.
Madaktari nao wametest zari mmeona matokeo.
JE WALIMU WATAWEZA ?
magwepande,,,mkiizoea,,,,misitu ni mingi kule mkuranga na bagamoyo,,chamakweza,,,,,msim,,husi kutoa kucha na meno tu,,,,itakua sinema,,,,,mukoba,,,mukoba,,,mukoba,,,,,,,,tahadhai ookhooo watu wamechoka hawana muda wa kubembeleza,,,,
 
hawa wazee waliochezea maisha wamegeuka punguani wanaishi kwa kutegemea kuipamba ccm na serikali yake la sivyo hata mwaka hawamalizi.. kusema hivyo wala simshangai ndio wazee waliobaki tunaoweza kuwatumia kwa mifano mibaya.
 
Katika kipindi cha tuongee asubuhi,

Mzee Falijara kada wa CCM akiwa na Naibu katibu Mkuu Wizara ya Elimu ameamuru jeshi la polisi kukamata na kuwatia ndani Walimu wote wanaogoma.

Ameenda mbali na kusema Walimu ni watu wadogo sana katika nchi hii na wanatumiwa ili kuyumbisha Serikali ya Awamu ya Nne.

Amemsisitiza IGP Mwema kuwapa amri makamanda wote ya kuwakamata Walimu wote wanaoendelea kugoma.

Source: Star Tv

Huyu mzee lazima atakuwa na tatizo ktk ubongo. Hivi anadhani watu bado wana fikra zile za enzia za ujima? Nadhani huwa anaishi kwa kutegemea fadhila ya makada wa ccm ndio maana anakauka koo kutetea upumbavu.
 
"Furaha ya mpumbavu ni upumbavu wake" Let the moron shout. Using his last days breath..........
 
Niseme mambo mawili hapa. Moja ni kwamba attitude hii ya kuwaona walimu kuwa ni watu wadogo ndiyo iliyopelekea kupuuzwa kwa elimu nchini na kubezwa kwa walimu, na kutufikisha hapa. It is not a healthy attitude. In fact it is extremely destructive. Jambo la pili inaonekana dhahiri kabisa watu wanashindwa kusoma alama za nyakati. Hawaelewi kwamba hatuishi tena katika aina za himaya zilizoendeshwa kwa style ya Stalin. Mimi si mshari. Lakini kama mwalimu nimesukumwa sukumwa, nimeonewa, nimepuuzwa na kudharauliwa kiasi cha kuchosha. Kwa nini iwe kazi yangu pekee kuhofia elimu ya walalahoi na mustakabali wa vijana wetu? Imetosha sasa.
 
kIpinidi cha leo kilikuwa kina-bore saaana!

Muendesha kipindi aliyekuwa pamoja na huyo Mzee farjala pamoja na Kaimu Katibu Mkuu, alishindwa kabsa kuendesha kipindi, na ilikuwa kama vile babu na mjukuu wake wanapiga hadithi kabla ya kulala. Mwendesha kipindi alikuwa ametulia, ameshindwa kabsa kuuliza maswali ya msingi. Alimuachia Kaimu KM, kutumia muda mwingi wa kipindi kuelezea mafanikio na changamoto za sector nzima ya Elimu, bila ya kujikita kwenye mada ya leo ya 'Mgomo wa Waalimu'. Mwendesha kipinid ilitakiwa awe, anawarudisha hao wazee kwenye mada ya leo na sio kujitengenezea mada zao.

Kifupi kipindi cha leo kime-bore saaana.
 
Katika kipindi cha tuongee asubuhi,

Mzee Falijara kada wa CCM akiwa na Naibu katibu Mkuu Wizara ya Elimu ameamuru jeshi la polisi kukamata na kuwatia ndani Walimu wote wanaogoma.

Ameenda mbali na kusema Walimu ni watu wadogo sana katika nchi hii na wanatumiwa ili kuyumbisha Serikali ya Awamu ya Nne.

Amemsisitiza IGP Mwema kuwapa amri makamanda wote ya kuwakamata Walimu wote wanaoendelea kugoma.

Source: Star Tv



Bila shaka, kama serikali, aliona kuwa elimu ni ghali sana akajaribu ujinga. Hayo ndiyo matokeo. Kama mwalimu ni mtu mdogo sana, mkubwa kwake ni nani? Ni nani huyo mkubwa ambaye hakupitia kwa mwalimu? Vilevile kwa mtu kama huyo kwa kuwa mwalimu ni mtu mdogo sana kwake hata elimu ni kitu kidogo sana. Ndiyo maana hana elimu hata kama kasoma maana kusoma si kuelimika. Amekumbatia ujinga! Mtaalam wa elimu ni mwalimu. Kama yeye mtaalam ni mtu mdogo basi hata taaluma yake kadhalika.
Ni mawazo duni yanayoshabikiwa na watu dhaifu. Amejaribu ujinga!
 
kIpinidi cha leo kilikuwa kina-bore saaana!

Muendesha kipindi aliyekuwa pamoja na huyo Mzee farjala pamoja na Kaimu Katibu Mkuu, alishindwa kabsa kuendesha kipindi, na ilikuwa kama vile babu na mjukuu wake wanapiga hadithi kabla ya kulala. Mwendesha kipindi alikuwa ametulia, ameshindwa kabsa kuuliza maswali ya msingi. Alimuachia Kaimu KM, kutumia muda mwingi wa kipindi kuelezea mafanikio na changamoto za sector nzima ya Elimu, bila ya kujikita kwenye mada ya leo ya 'Mgomo wa Waalimu'. Mwendesha kipinid ilitakiwa awe, anawarudisha hao wazee kwenye mada ya leo na sio kujitengenezea mada zao.

Kifupi kipindi cha leo kime-bore saaana.

Mara nyingine hii inaweza kuwa "blessing in disguise".

Unaona watu wanaosema utumbo wakiachwa uninterrupted wanafikiri vipi.
 
Katika kipindi cha tuongee asubuhi,

Mzee Falijara kada wa CCM akiwa na Naibu katibu Mkuu Wizara ya Elimu ameamuru jeshi la polisi kukamata na kuwatia ndani Walimu wote wanaogoma.

Ameenda mbali na kusema Walimu ni watu wadogo sana katika nchi hii na wanatumiwa ili kuyumbisha Serikali ya Awamu ya Nne.

Amemsisitiza IGP Mwema kuwapa amri makamanda wote ya kuwakamata Walimu wote wanaoendelea kugoma.

Source: Star Tv
Hatuendelei kwa sababu nyingi sana na hii kuwa na watu kama Falijara ngazi ya uongozi ni mojawapo...
 
Wazee kama hao kwa Tz hii hawana ata chembe ya huruma kwa kweli ni kuwapotezea tuuu! Kusoma hajui ata kuangalia picha?
 
.... hao watoto wanaoandamana kamata weka ndani..Rais si wakuchezewa..bla bla...
Mbona sielewi hapo! waalimu wanadai haki zao na kamwe hawana nia ya kumchezea RAISI. Je? watu wadogo wadogo hawana haki? Mungu tusaidie tunanyanyasika kwenye nchi yetu wenyewe.VIVA Tanzania, VIVA Nyerere!
 
Mlimwona yule jamaa aliesoma ukumu kuhusu kufungiwa gazeti ya MWANAHALISI? kwa kweli tz tuna watu,leo tena mwingine kaibuka na vichekesho? yani uyu hana ata ndugu ambaye ni mwalimu? kwani angeona ata mchangowake ktk familia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom