Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
hivi watoto bado wanaranda randa? RAISI ANASEMAJE?
Naye anarandaranda huko Lindi akifuturu
hivi watoto bado wanaranda randa? RAISI ANASEMAJE?
they need blood and they are read to shade it.kama kweli amesema hivyo basi nitaamini watawala wanahitaji kitu kikubwa zaidi ya mgomo ili wabadilike.
probably some did try and what we are seeing today are the results!Kama washauri wa JK ndio hawa Kweli tutaweza kupigana VITA na Malawi?
Kweli wazungu hawakukosea waliposema IF YOU THINK EDUCATION IS EXPENSIVE THEN TRY IGNORANCE
kama kweli amesema hivyo basi nitaamini watawala wanahitaji kitu kikubwa zaidi ya mgomo ili wabadilike.
ni katika utawala huu wa JK walimu walitandikwa bakora, sishangai.
mkuu nakushakaa wewe na Godwin mnataka kwenda kununua ardhi huko msoga kwenye ardhi yenye laana.mkuu huyu mtu sijui vp!?
kwa mawazo yako mwalimu akipokea mshahara wa milioni moja ,huo mkate ataununua bei gani?
Kama serikali ikubali madai hayo na kupandisha mishahara ujue utakua unaenda sokoni na gunia la noti kununua njegere.
nilimsikia ........mzee mngese sana yulehuwa anashiriki mijadala kwenye luninga,especially star tv. Mara kadhaa anatoaga maoni as if ni amri,wtf..! Who is this morony? Leo anafoka '" ooh naipongeza serikal ya awamu ya nne,kwanza walimu ni watu wadogo sana...namwambia igp mwema kamata wote weka ndani,pia hao watoto wanaoandamana kamata weka ndani..rais si wakuchezewa..bla bla...
Mjinga mwingine akionyesha ujinga wake.