Ni kama kusema binadamu alitokana na nyani halafu mpaka leo nyani habadiliki kuwa binadamu.WEWE BIBI HIVI UNA HABARI KUWA UISLAM ULIANZISHWA NA MA JESUITS WA VATICAN???
Kwanini Marais wa wastaafu Zanzibar hawaja pewa tatizo nini au hawa staili?Kukuletea habari ya zawadi ya Kimataifa kupewa mzee Mwinyi imekuuma?
@FaizaFoxy You are too smart to come up with such allegations!! Kwamba uongozi ili uwe bora lazima aongoze mtu kutoka dini ya Allah.
Kumbuka Faiza humu ndani tupo sisi memba wa muda mrefu, na kwa michango yako humu ndani wengine tukawa kama wafuasi wako ukiondoa kipengee cha dini ambacho kila mtu ana uhuru wa kuabudu kwa mujibu wa imani yake.
Kwa hoja kama hii, nakuwa na mashaka kama ni umri wako unazidi kupaa na uelewa unazidi kushika au tatizo ni nini.
Nimeangalia akauti yako mara mbili mbili nikahisi labda ni parody lakini nikakumbuka hii sio twitter!
Au nikiri kwamba mimi ndio sikukufahamu ulivyo deep down! Hivi ndivyo ulivyo.
Am so disappointed.
MaA ShaA ALLAH
Maneno kuntu Da faizaMagufulia lijidai kubana, alivyominywa vindege vyake Canada na South Africa, mwenyewe akaachia. Uchumi ukawa unatetereka kwa spidi kali, Mama kaingia mambo swaaafi,mifuko sasa inatuna kama enzi za Mwinyi na Kikwete.
Mwinyi Hongera sana kwa kuitumikia dini ya Allah. Wengi hawayaoni, kwa ujinga wao tu, lakini dunia inayaona, kazi za Allah hazijifichi.
Hata hii inayosoma humu mingine haielewi kuwa kumtumikia Binaadam mwenzako ukamtoa kwenye dhiki na kumuweka kwenye faraja ni kuutumikia Uislam. Hamuelewi Mwinyi aliitoa Tanzania kwenye hali ipi?
Linapokuja suala la dini huwa nashangaa mtu ninayemwamini to the maximum anapuyanga! This is a wonderful world!Mkuu huyo ni religious fanatic, anakimbizana na mzee Mohamed Said
Sabah el khair Bibi. Umekuwa adimu mno jukwaani. Natumai uko salama.Hakuna cha kurekebisha, wanaelewa fika walichokiandika. Kuna ukoloni mbaya uliotuumiza zaidi ya wakati wa Nyerere?
Tuwe wa kweli, ulikuwepo wakati wa foleni za chakula Tanzania hii? Nani alikuja kuziondosha kabisa mpaka leo hii hazijajirudia tena?
Kwani unaumia?Uislamu bwana, kwa hiyo ukiutumikia uislamu unapewa zawadi, unatambuliwa mchango wako? Aisee.
Dini nyingine ni kichekesho.
Mbona mabeyo juzi kati kapewa na Papa mbona hatukusema kitu ila wakristo chuki zimewajaa mna chuki mbaya sana nyieUislamu bwana, kwa hiyo ukiutumikia uislamu unapewa zawadi, unatambuliwa mchango wako? Aisee.
Dini nyingine ni kichekesho.
Sio kila anaeponda msingi na mfumo mbovu wa Uislamu lazima awe mkiristo, acha kua na akili fupi.Mbona mabeyo juzi kati kapewa na Papa mbona hatukusema kitu ila wakristo chuki zimewajaa mna chuki mbaya sana nyie
ElitwegeMagufulia lijidai kubana, alivyominywa vindege vyake Canada na South Africa, mwenyewe akaachia. Uchumi ukawa unatetereka kwa spidi kali, Mama kaingia mambo swaaafi,mifuko sasa inatuna kama enzi za Mwinyi na Kikwete.
Mwinyi Hongera sana kwa kuitumikia dini ya Allah. Wengi hawayaoni, kwa ujinga wao tu, lakini dunia inayaona, kazi za Allah hazijifichi.
Hata hii inayosoma humu mingine haielewi kuwa kumtumikia Binaadam mwenzako ukamtoa kwenye dhiki na kumuweka kwenye faraja ni kuutumikia Uislam. Hamuelewi Mwinyi aliitoa Tanzania kwenye hali ipi?
Mbona unafurahisha Kwan walompa io tuzo ni wawakilish wa mungu mpk useme unapojitolea kwenye njia zake malipo hayaishi ??Imeishia wapi na bado inampa mazawadi ya kuutumikia Uislam.
Allah ameahidi, soma Qur'an 2:261 Unapojitolea kwenye njia zake malipo mema hayaishi.
Una donge?
Magufuli kuna mambo mengi mazuri kafanyaMagufulia lijidai kubana, alivyominywa vindege vyake Canada na South Africa, mwenyewe akaachia. Uchumi ukawa unatetereka kwa spidi kali, Mama kaingia mambo swaaafi,mifuko sasa inatuna kama enzi za Mwinyi na Kikwete.
Mwinyi Hongera sana kwa kuitumikia dini ya Allah. Wengi hawayaoni, kwa ujinga wao tu, lakini dunia inayaona, kazi za Allah hazijifichi.
Hata hii inayosoma humu mingine haielewi kuwa kumtumikia Binaadam mwenzako ukamtoa kwenye dhiki na kumuweka kwenye faraja ni kuutumikia Uislam. Hamuelewi Mwinyi aliitoa Tanzania kwenye hali ipi?
Hongera kwake
Kuandika na kupost comment bila kuhariri ni kusomea ujinga.Sasa wewe unafikiri ukoloni nini?
Tulivyobanwa mbavu na mkoloni wakati wa Nyerere uliwepo? Ilifikia mpa chakula kwa foleni. Usilolijua ni usiku wa kiza.
Nilichogundua wewe huna hoja bali ni udini kila mahali unanufaika na nini kwa kudhihirisha udini JF?Sasa kilichokuumiza roho ni kipi?> Achana na mleta mada, jibu hoja zake. Wewe unaona donge Mwinyi kutunukiwa zawadi kwa kuitumikia Tanzania Kiislaam?
Kama una donge kwa Mwinyi, kuitumikia nchi kwa kufata maadili mema ya Kiislaam, bila kubagua mtu, nasi utauwa na donge na Kikwete na sasa Mama Samia, sijui utakwepa vipi? Utapasuka.
Jionee tofauti za nchi ikiendeshwa na Muislaam na ikiendeshwa na asiye Muislam, mbona mema yapo wazi kabisa.