Abdul Mwinyi amesema baba yao hajawahi kuugua ktk kipindi chote cha uhai wake. Kaanza kuugua kwa mara ya kwanza miaka 2 iliyopita.
Ingia kwenye simu yako fuatilia yanayojiri ktk salaam za kumuaga marehemu mzee Mwinyi. Acha ubahiliWeka picha ya abdul tumuone
😂🐼2019 si aliwahi kulazwa au alitamani tu kwenda kulala hospitali?
Hahahaha njia ya mwongo ni fupi2019 si aliwahi kulazwa au alitamani tu kwenda kulala hospitali?
Yule dogo hakua sawa leo ndo mana jamaa akataka kumtoa alikua deep na feelings hakua sawa2019 si aliwahi kulazwa au alitamani tu kwenda kulala hospitali?
Labda kama hakuwahi kuwa serious lakini kutokuumwa si kweliAkitoa salaam za familia, mtoto wa mzee Ali Hassan Mwinyi, Abdul Mwinyi amesema baba yao hajawahi kuugua ktk kipindi chote cha uhai wake. Kaanza kuugua kwa mara ya kwanza miaka 2 iliyopita.
Hakika mzee Mwinyi ni somo zuuri.
Mungu amrehemu.
Duuh! Basi ndiyo maana kaishi maisha marefu. Mikopo inauwa watu wengi sana kwa kuwa inasababisha msongo wa mawazo.pia mwenyewe ameandika kwny kitabu chake kuwa maisha yake yote hajawahi kukopa wala kukopesha
Abdullah,huyo ndo dullah kuliko abdallah,si unaona dullah huko mwisho!!?Anaitwa Abdallah sio Abdul
Kuna tofauti ya kuumwa nakuugua....au waswahili wanasemaje?Labda kama hakuwahi kuwa serious lakini kutokuumwa si kweli